Hamna ukwel wowote mkuuHaya ni mawazo mufilisi
View attachment 2158899
Kwaiyo hakuna ukwel juu ya kufanya squat na shida iyo
Mwanaume mzima kama mimi Kubinuka kama anavyoongea mtoa mada,Hapana aisee.Mkuu umeona eeeh me mwenye imebidi ni stop kwanza had nipate majibu
Kwani saa hivi uko kwenye muonekano ganiHivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume
Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Na wewe unafanyaMara nyingi tunafanya ili kujaza hips kwa mwenye kalio afu hana hips
Ndiyo,kila asubuhiNa wewe unafanya