Je, ni kweli Mazoezi ya ku squat kwa mwanaume humfanya kuwa na Makalio makubwa

Je, ni kweli Mazoezi ya ku squat kwa mwanaume humfanya kuwa na Makalio makubwa

Chai tu za vijiwe vya kahawa bongo ,mbona watafiti wanahimiza wanaume tufanye kwa mara kwa mara kwa sababu inaimarisha nguvu za kushiriki tendo ?
 
Wewe kuwa muwazi mkuu kuwa shida yako ni kuwa na makalio & umbo namba nane ukimbize mjini


Kwani zoezi ni moja tu
 
Kuna mamodo wa kiume ambao wanapendaga kulaga karoti kinyumenyume ndo hulitumia hilo zoezi vibaya. Vinginevyo ni zoezi bora kabisa.
 
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume

Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Usifike chini na kubinua makalio kwa nyuma, utapata shape ya kike wakumendee
 
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume

Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Ukiona manyoya.......
 
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume

Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Squat ambayo ukifanya unaenda moja kwa moja chini mpaka makalio yanakaribia kugusa visigino alafu wakati huo huo ukawa kichwa umeelekeza mbele(kama umeinamia mbele flani) ukifanya hivyo ndio unaongeza makalio.

Kwa sababu ukiwa katika hyo position ukifanya squat ule uzito unaenda moja kww moja kwenye makalio na kutanua muscles za makalio na kufanya yaongezeke ukubwq.

Lakini sqats hizo hizo ukifanya kwa namna ya kunyooka na usifike chini kwbisa ukawa unaishia juu tu basi hapo unaongeza misuli ya mapaja na sio makalio.

Mfano wa hyo squat ya hapo pichani ndio skwat ambayo haiongezi makalio na ndio wanaume wwnafanya skwati za aina hiyo.
 
Back
Top Bottom