Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Njoo PM nioneNdiyo,kila asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM nioneNdiyo,kila asubuhi
SawaNjoo PM nione
NakusubiriSawa
Umemsahau "Fei total" hapo....kajamaa kanavuta tela la maana[emoji2][emoji2]Angalia baadhi ya footballers
Hazard
Lukaku
Djuma Shaaban
Ivanovich
Sterling
Ajibu
By the way faida zake ni nyingi, kuliko hicho unachokihofia
Usifike chini na kubinua makalio kwa nyuma, utapata shape ya kike wakumendeeHivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume
Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Vyote hasa kama unajibinua sanaHivi squat inajaza hips au kalio?
Ooh itanibidi nianzeVyote hasa kama unajibinua sana
Hahaa...aisee arif umenichekesha sna.Nakuja Arusha pasaka hii ..tukutane pande za kidimbwiNi kweli maana manzi wangu alikuwa ana flat chapati ila baada ya kaunza squat sasa hivi ana chura wa kihansi.
Ukiona manyoya.......Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume
Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Squat ambayo ukifanya unaenda moja kwa moja chini mpaka makalio yanakaribia kugusa visigino alafu wakati huo huo ukawa kichwa umeelekeza mbele(kama umeinamia mbele flani) ukifanya hivyo ndio unaongeza makalio.Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume
Msaada tafadhari!!View attachment 2158889