Je, ni kweli Mazoezi ya ku squat kwa mwanaume humfanya kuwa na Makalio makubwa

Je, ni kweli Mazoezi ya ku squat kwa mwanaume humfanya kuwa na Makalio makubwa

Squat ambayo ukifanya unaenda moja kwa moja chini mpaka makalio yanakaribia kugusa visigino alafu wakati huo huo ukawa kichwa umeelekeza mbele(kama umeinamia mbele flani) ukifanya hivyo ndio unaongeza makalio.

Kwa sababu ukiwa katika hyo position ukifanya squat ule uzito unaenda moja kww moja kwenye makalio na kutanua muscles za makalio na kufanya yaongezeke ukubwq.

Lakini sqats hizo hizo ukifanya kwa namna ya kunyooka na usifike chini kwbisa ukawa unaishia juu tu basi hapo unaongeza misuli ya mapaja na sio makalio.

Mfano wa hyo squat ya hapo pichani ndio skwat ambayo haiongezi makalio na ndio wanaume wwnafanya skwati za aina hiyo.
Asante Sana ndg nimekupata vzr
 
Piga squat,alafu piga mateke ya hewani ya kutosha kunyoosha misuli ya paja,nyonga,kiuno na makalio.

mazoezi ya squat yanasaidia miguu kua na nguvu na imara,pia ni ulinzi kwako(self defence).
 
Hakuna kitu kama hicho na wala hakiwezekani sababu biologically mwili wa mwanaume umeumbwa tofauti na wa mwanamke.
Mwanamke biologically ameumbwa na kiuno kipana, hips pana na makalio makubwa mostly wamejaza mafuta sababu ya shughuli maalum ya uzazi.
Hivyo mwanamke akipiga hilo zoezi lazima aongezeke hayo maeneo sababu kuna nafasi hiyo.

Mwanaume ameumbwa ili awe na physical strength au kuwa strong pekee, hivyo ukipiga hilo zoezi utajaza tu misuli ya miguu na kuzidi kuwa strong na mwenye nguvu zaidi pia miguu kukaza kama bati la msauzi.
Kiasi cha kuangusha ukuta wa nyumba ya udongo kama ukipiga teke zito au kuvunja mbavu za mtu na kutembea au kukimbia hapa na south afrika kwa mguu bila kuchoka.

Piga zoezi sababu mwili wako biologically hautoruhusu sababu wewe sio mwanamke na haujaumbwa kama mwanamke.
Kutofanya hilo zoezi ndio kutafanya uwe laini na legelege, kiasi cha miguu kuchoka kwa kutembea umbali mfupi tu.
Kufikiria hivyo ni imani potofu.
 
Mazoezi ya james delicious
Wewe ushawahi kupita jeshini?
Unafahamu kwamba unatakiwa kubeba begi la kilo 30 kwa ajiri ya kusurvive na hapohapo umbebe mwenzako akiumia mwenye kilo karibu 90 na ni marufuku kumuacha.
Hizo nguvu za miguu unazitoa wapi kama una miguu legelege kama binti wa miaka 12? ni mazoezi na ndio maana hili zoezi ni lazima jeshini.
Hivyo ita mazoezi ya jeshi na mwili wa mwanaume utabaki kuwa wa kiume tu, hayo mengine ni mawazo yenu machafu na potofu.

Unafahamu kwamba mwanaume rijali hatakakiwi kuwa na mawazo machafu kama yako sababu ni dalili kwamba akili yako imekuwa exposed na huo uchafu hivyo imechafuka na kuanza kuzoea means unaanza kuona kawaida, nakukumbusha that's not normal.
Mawazo potofu na kuchafua hali ya hewa plus kuharibiana siku.

Acheni kuandika na kusambaza huu uchafu na laana kila sehemu.
 
Wewe ushawahi kupita jeshini?
Unafahamu kwamba unatakiwa kubeba begi la kilo 30 kwa ajiri ya kusurvive na hapohapo umbebe mwenzako akiumia mwenye kilo karibu 90 na ni marufuku kumuacha.
Hizo nguvu za miguu unazitoa wapi kama una miguu legelege kama binti wa miaka 12? ni mazoezi na ndio maana hili zoezi ni lazima jeshini.
Hivyo ita mazoezi ya jeshi na mwili wa mwanaume utabaki kuwa wa kiume tu, hayo mengine ni mawazo yenu machafu na potofu.

Unafahamu kwamba mwanaume rijali hatakakiwi kuwa na mawazo machafu kama yako sababu ni dalili kwamba akili yako imekuwa exposed na huo uchafu hivyo imechafuka na kuanza kuzoea means unaanza kuona kawaida, nakukumbusha that's not normal.
Mawazo potofu na kuchafua hali ya hewa plus kuharibiana siku.

Acheni kuandikana na kusambaza huu uchafu na laana kila sehemu.
Umeelewa au unaleta maneno marefu sijui we mgambo sijui form six wale mlioenda huko unaleta ujuaji Sasa sikia ile kozi ya miezi sijui sita haitokupeleka huko vitani hata siki moja


Naja kweny point hayo mazoezi yanakuza hips wa walio na hormone za kike ndo maana hao mashoga kama James delicious wanafanya hayo mazoezi. Mwanaume kamili hata afanye miaka 10 haitokuja tokea

Kama unabisha hayo mazoezi hayakuzi hips kaangalie pornstars wa kike mazoezi yao

Ndo maana nikamtaja james delicious
 
Umeelewa au unaleta maneno marefu sijui we mgambo sijui form six wale mlioenda huko unaleta ujuaji Sasa sikia ile kozi ya miezi sijui sita haitokupeleka huko vitani hata siki moja


Naja kweny point hayo mazoezi yanakuza hips wa walio na hormone za kike ndo maana hao mashoga kama James delicious wanafanya hayo mazoezi. Mwanaume kamili hata afanye miaka 10 haitokuja tokea

Kama unabisha hayo mazoezi hayakuzi hips kaangalie pornstars wa kike mazoezi yao

Ndo maana nikamtaja james delicious
Bullshit hakuna mwanaume mwenye hormones za kike, hizi ni propaganda za mafala kutaka kuhalalisha tabia zao chafu za kifala.
Hao mafala ni tabia zao tu na malezi mabovu waliyolelewa kutoka kwa wazazi wajinga.

Mwili wa mwanaume utabaki kuwa wa kiume tu hata iweje.
 
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu
Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha kuwa na makalio na kuwa na umbo na 8
Sasa ndugu zangu Kati ya kitu ambacho wanaume tunaogopa nikuwa na makario makubwa au umbo na 8
Je Kuna ukweli wowote kuhusu madhara hayo ya squat kwa mwanaume

Msaada tafadhari!!View attachment 2158889
Vipi ugumu wa tako baada ya squat Mia tatu kila siku.
 
Bullshit hakuna mwanaume mwenye hormones za kike, hizi ni propaganda za mafala kutaka kuhalalisha tabia zao chafu za kifala.
Hao mafala ni tabia zao tu na malezi mabovu waliyolelewa kutoka kwa wazazi wajinga.

Mwili wa mwanaume utabaki kuwa wa kiume tu hata iweje.
Sasa kwa wale wanaume wenye hipsi matiti vipi wao hawana hormones za kike

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Mi nimepitia sana hiyo adhabu nikiwa sec na primary. Nikaona niwe najifua nikiwa home, mtoa mada hakuna muunganiko wa kuwa bum bum/ boot kubwa na kufanya "squatting" 😂😂
 
Huo ni upotoshaji hakuna zoezi common na linalokubalika na wanamazoezi kama squats,
Japo kuna namna wanawake wanaweza kufanya kwa ile dizaini wanaishia kati then wanatunisha matako nyuma hiyo inazaidia kuimarisha misuli ya seheem hizo na kuwapa muonekano huo.
Ila ukifuata principal za kiume, unapiga squash mpaka chini mgongo umenyooka (maana wakike ndo wanapindisha mgongo ili naniliu ijae), macho mita 100, hiyo ndo nguvu ya kiume sio unga wa kongo sijui afu miguu haina stamina utaumbuka
 
Huo ni upotoshaji hakuna zoezi common na linalokubalika na wanamazoezi kama squats,
Japo kuna namna wanawake wanaweza kufanya kwa ile dizaini wanaishia kati then wanatunisha matako nyuma hiyo inazaidia kuimarisha misuli ya seheem hizo na kuwapa muonekano huo.
Ila ukifuata principal za kiume, unapiga squash mpaka chini mgongo umenyooka (maana wakike ndo wanapindisha mgongo ili naniliu ijae), macho mita 100, hiyo ndo nguvu ya kiume sio unga wa kongo sijui afu miguu haina stamina utaumbuka
Mkuu Kuna mwingine kasema kupiga squat mpaka chini kwa mwanaume ndo husababisha kalio kuwepo lakini ukiishia kati inakuwa fresh yani ndo inatakiwa kwa mwanaume

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom