Squats zipo aina mingi..kuna aina haina shida. Na kuna aina ni kweli inajaza nyama za makalioSio moja ndo maan nimespecifie kwenye Hilo moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Squats zipo aina mingi..kuna aina haina shida. Na kuna aina ni kweli inajaza nyama za makalioSio moja ndo maan nimespecifie kwenye Hilo moja
Umeanza lini kufanya? Wakati kalio unaloMara nyingi tunafanya ili kujaza hips kwa mwenye kalio afu hana hips
Ha ha haa,sema kweli mkuuUmeanza lini kufanya? Wakati kalio unalo
Kwangu uongo dhambi halafu ......... itoe basiHa ha haa,sema kweli mkuu
SitakiKwangu uongo dhambi halafu ......... itoe basi
Hahaha Unajua ninapomuona huwa mapigo ya moyo yanaenda mbio sanaSitaki
Ha haaa...kweli wewe ni EddyloveHahaha Unajua ninapomuona huwa mapigo ya moyo yanaenda mbio sana
[emoji23][emoji23]Mwanaume mzima kama mimi Kubinuka kama anavyoongea mtoa mada,Hapana aisee.
Hakuna ukweli wowote nina zaidi ya miezi sita nikimaliza mazoezi ya mbio beach nafanya na ya viungo likiwemo hilo kilichoongezeka ni uwezo mzuri wa kuchakata ngozi.Chai tu za vijiwe vya kahawa bongo ,mbona watafiti wanahimiza wanaume tufanye kwa mara kwa mara kwa sababu inaimarisha nguvu za kushiriki tendo ?
Piga tu Chifu, Usiogope.Ukipata chura si Ataliwa na walaji.Naacha kwanza Haya Mazoezi,Mpaka Nisome comments zote.
Ni ukweli usiopingika!!Achana na imani zetu waswaili fanya mazoez ayo mazuri sana ukifnya km mwez kamchukue shemeji uone mziki wako