ujanja kupata...!!!Kama ipo bifu chanzo ni masanja huyu jamaa ametoka sana kupitia joti na mpoki....
Unaposema kundi la commedian ni mpoki na joti....
Ila jinsi masanya alivyotokea nakuwapita wenzake even me ningekaa pembeni.
Bila jot na mpoki hakuna comedi.....
Kwahiyo masanja na yeye ajiandae.....
Kumekuwa na sintofaham kwa mashabiki wa kundi la vichekesho la original comedy la hapa nchini linaloundwa na vijana sita akiwemo Mpoki, Masanja, Joti, Mark Regan kipara na wengineo kwa kuwataja wachache kwamba huenda hilo kundi limevunjika na pengine kuna beef kati ya kutokana na mfululizo wa matukio ya hivi karibu.
1. Kutokutoa kazi mpya kwa muda mrefu
Kubwa ni ukimya wa hili kundi wa kutoa kazi mpya. Wamekuwa kimya sana hawa wasanii kwenye kutoa kazi mpya kupelekea watu kujiuliza pengine limekufa.
2. Kila mtu anafanya kazi yake
Kwa sasa kila mtu anafanya kazi yake kwa Mpoki yeye ni muajiriwa kituo cha radio cha E fm. Masanja amejiajiri kwenye miradi kadhaa ikiwemo ule aliofungua muda si mrefu wa uuzaji mgahawa.
3. Kutokushirikiana kwenye shughuli za kijamii
Kwa sasa baadhi ya hawa wasanii wamekuwa hawahudhurii kwenye baadhi ya shughuli za kijamii ikiwemo harusi na sherehe. Mfano hivi karibu mmoja kati ya hawa wasanii Masanja alikuwa anaoa. Wengi walihudhuria lakini Mpoki hakuonekana kwenye shamrashamra za harusi hiyo kuweza kutia hofu kwa mashabiki zao.
Je kundi limekufa?
Weka mbali siasa, kama unampenda sana huyo Lowasa umpe mkeo .Walimtukana sana Lowasa, laana inaanza kuwatafuna
Basi unaona mbali sana wewe nimekukubali. Uliwaona "mwezi ujao?"Sidhani kama wanamtafaruku maana mwezi ujao niliwaona mpoki na joti airport mwanz walikua wako pamoja wakisubiria ndegw y kwend dar
Maish yamebadilika mtoa mada,kufatanafatana kama kuku sasa hvi hakuna
Hahahahahaha mwez uliopita hahaha ngoja ni editBasi unaona mbali sana wewe nimekukubali. Uliwaona "mwezi ujao?"
we lowassa babako mbona unamtaja taja sana? watoto wake hawalalamiki baba yao kutukanwa wewe kajamba nani ndo lowassa lowassaWalimtukana sana Lowasa, laana inaanza kuwatafuna
Sidhani kama wanamtafaruku maana mwezi ujao niliwaona mpoki na joti airport mwanz walikua wako pamoja wakisubiria ndegw y kwend dar
Maish yamebadilika mtoa mada,kufatanafatana kama kuku sasa hvi hakuna
Kwenye ukutaWeka mbali siasa, kama unampenda sana huyo Lowasa umpe mkeo .
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi unaona mbali sana wewe nimekukubali. Uliwaona "mwezi ujao?"
[emoji15] [emoji15]Weka mbali siasa, kama unampenda sana huyo Lowasa umpe mkeo .
Huo wivuKama ipo bifu chanzo ni masanja huyu jamaa ametoka sana kupitia joti na mpoki....
Unaposema kundi la commedian ni mpoki na joti....
Ila jinsi masanya alivyotokea nakuwapita wenzake even me ningekaa pembeni.
Bila jot na mpoki hakuna comedi.....
Kwahiyo masanja na yeye ajiandae.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Basi unaona mbali sana wewe nimekukubali. Uliwaona "mwezi ujao?"