Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Je, ni kweli mwanamke mwenye kitambi hupoteza mvuto?

Pole .(nahisi ni wewe mwenyewe).jaribu kupunguza vya mafuta na sukari kupita kiasi,soda, supu na nyama nyekundu.
Kila mtu kahisi ni mm kutokana na nilivyoovaa uhusikaa.... Anyway lkn siyo mby km ni mm
 
Habari za mida hii wapedwaaa???

Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)

Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...

......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????


Kwangu mimi ni kweli, yaani siwamind kabisa mademu wanene na wenye vitambi. Kulala na demu kama huyu kunanipa hofu ya kuwaza nafanya mapenzi na dume mwenzangu.
 
Ukweli napenda wanawske wanene ila shida kama ana kitambi ukimlalia ili ule deda mara anasema tumbo linamuuma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
  • Thanks
Reactions: lup
Habari za mida hii wapedwaaa???

Msaada:::: Nina rafiki yangu ana kitambii si kikubwa sanaa ila kinaonekanaa mfano akivaa blauzi ya kumbanaa..... Mara nyingi huwa analalamika analichukia tumboo lake na amejaribu kufanya mazoezi kashidwaaa...... Na anaogopa kuingia kwenye relationship coz hapo awali aliwahi kutoka na wanaume wawili kwa nyakati tofauti wakawa wanamsema vibaya kuhusu tumbo lake(kitambi)

Kwahiyo anaogopa kuingia tena kwenye mahusiano ......anahisi atatedwaa tena kutokana na tumbo lakeee...

......swali::je nikweli wanaume wengi hawapendi mwanamke awe na kitambii!!!?? Na km umetokea kumpenda msichana alafu ana kitambi nawewe hukipendi utafanyajeee????
USHAURI: Je, kuna njia nyingine anayoweza kuitumia ili kitambi kipungue km si kuisha kabisaaa????
Mwambie aje kwangu, atapata mazoezi ya kumkata kitambi, tena jinsi ninavyowapenda wenye vitambi wala hapati shida[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
 
Mwambie aje kwangu, atapata mazoezi ya kumkata kitambi, tena jinsi ninavyowapenda wenye vitambi wala hapati shida[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23]
Nakuona nakuona unachangamkia fursaa
 
kuna vijitambi fulani hivi vya kishikaji powa tu,

image.jpg


image.jpg
 
Waulize wenye picha zanguu km nakitambia au wale walio nigegeda humu Jf km wapooo....je walinikuta na kitambii????

Cc:Michael
Asante kwa Testimony shukran sana Michael kwa kutuwakilisha kwenye mgegedo[emoji41] [emoji41]
 
Back
Top Bottom