mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,931
- 757
anachotafuta yeye (panya) ni nutrients. Ili kujua chakula kifaacho binadamu kula, binadamu amesoma ulaji wa chakula kwa wanyama na wadudu. Sijui watu humu mnalijua hilo!!!Kabisa panya anatuzidi yy anakula mpaka mifupa ya chakula kilichotupwa, anakula nguo na godoro