DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Wewe kuwa alive sio guarantee kwamba ulaji wa dona ni salama.Nadhani hilo andiko la sumu ya kuvu hukulielewa vizuri. Nenda kalisome tena kwa jicho la kitaaluma. sio kilaymen. Kama ungekuwa sahihi, basi mimi ningekuwa marehemu sasa, Maana dozi yangu ya ugali ni aina ya dona
Anyway endelea kula dona mpaka uwe dona kantree(donor country)ile ya magu