Je, ni kweli Ugali wa Dona ni bora kuliko wa Sembe?

mkuu kwahiyo faida kuu ya dona ni choo kua chepesi
 
Acha kuishi kwa mazoea....
 
Kwa hiyo kwa sababu yananenepesha mifugo pia yanaweza kutunenepesha sisi? Mwili wa binadamu hauproduce enzyme ya cellulase kwa ajili ya kudigest hizo pumba tofauti na wanyawa. So kwako wewe kazi ya hizo pumba ni kulainisha choo tu, kazi inayoweza kufanywa na vyakula vya aina nyingine. Mbna watu mnakuwa na vichwa vigumu?
 
Well articulated. Nakupongeza mwandishi. Safi sana.....
 
Kwa hyo Ina maana ikilainisha choo hayo makapi yanabakia humo humo tumboni kwa kuwa hayameng'enywi..?
 
Dona ni unga mzuri sana bora hasa kwa wale wanao lialia nguvu za kiume. Ila chakuzingatia ni kupata mahindi yali hifadhiwa bila dawa au yaliotoka shambani moja kwa moja.
mkuu sio tu kuwa umetoka shamban
dona kwa kilimo hichi cha kisasa cha mahindi haufai kiafya
kwanza ukiuhifadhi zaidi ya miezi miwili hata kama umetoka kuvuna shambani ukausaga moja kwa moja
unakuwa mchungu hii ni kutokana na mbegu hizi za kilimo cha kisasa pamoja na mbolea na madawa mengi tangu HINDI likiwa shambani
sipati picha zile mbegu za GMO zingeruhusiwa na tulivyoiamini dona jinsi madhara tungeyapata
DONA ni bora sana tena sana lakini teknolojia na mabadiliko ya kimazingira na sayansi ya kilimo si rafiki tena kwa binadamu binafsi BIBI yangu ameishi miaka 101 amefariki miaka 15 iliyopita katika maisha hakuwai kula sembe yeye ni dona tu
lkn kwa maisha haya ya sasa kula dona hvyo hata 50 hutoboi

hvyo kwa sasa bora sembe tu
 
hapana mkuu kwa mahindi sembe ni chakula salama kiasi kwa kilimo hichi cha kisasa
ila kwa Ubora wa virutubisho hitaji mwilini DONA ni bora zaidi
ila kwa mabadiliko haya ya kimazingira na sayansi ya kilimo sembe ni bora
lakini kwa virutubisho Uhitaji wa mwili DONA ni bora zaidi
dhana ya vumbi uchafu haina mashiko
tabu ni viua sumu mbolea na hizi mbegu za kisasa
tafuta documentary flani inaitwa FOOD PRODUTION utaelewa kwann sembe ni salama ila DONA ni bora
hata maji yanaweza kuwa safi lakini yasiwe salama na yanaweza kuwa safi na salama lakini yasiwe bora kiafya
kumbuka ukizungumzia ubora kwenye CHAKURA na AFYA ni kitu ambacho kinakuumiza taratibu matokea ya madhara hutolea hata miaka 3 mpk 10 mbere baada kula chakula ambacho si bora leo hii
hvyo muhimu kuzingatia tunavyokurla leo lakini ukila chakula ama maji ambayo si salama kama tumbo lako ni legelege hakikwepeshi utapata majibu yake tu ndani ya masaa 24
 
Protein zinapatikana kwenye mayai. Nyama. Maziws. Maharagwe.
 
in general ugali wa dona ndo una virutubisho
 
Ugali uwe dona ama sembe chakula cha hovyo kabisa...
 
Sawa wacha mi nipite ili kesho nikirudi nitakuwa na cha kusema juu ya hili.
 
Kwa Mara ya kwanza kutumia sembe nilikaa wiki na siku kadhaa bila kwenda chooni halafu hata hiyo haja huipati ipasavyo hii ni kwa sababu ulioitoa mwenyewe kwenye point ya kwanza kwa hiyo acha wengine tuendelee na dona yetu chamsingi Hayo mahindi yaoshwe kabla ya kusaga
 
Na hyo ndo ilikuwa point yakee kubwa ya kuifadhilisha sembe dhidi ya dona..
 
Mleta mada nakusifu kwa kuandika makala hii ndefu..

Mimi pia ni mtaalamu wa Nutrition lakini kiukweli ni mvivu kuandika...
Umenena vizuri sana mkubwa, mwenye macho na aone asisubr kuadithiwa, wanaume wa dar washazoea kula sembe afu miguu juu kutizama season mazoezi hawafanyi matokeo yake kila mtu ana kitambi na uzito uliokithiri
 
Umeeleza vzr sana mzee lkn umesahau kitu kinachoitwa mfumo wa utoaji taka mwilini kulingana na mwenyewe maelezo yako hapo juu tu Dona litabaki kuwa bora kwakuwa unapata choo kwa haraka na chepesi kuliko Sembe ambapo waweza kaa hata wiki nzima bila kupata haja inayoeleweka na ukijakutoa utakunya kma mbuzi wacha tupige Dona bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…