Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

Nilimshangaa yule Muislamu Mpakistani yeye na demu wake(sijui mkewe) walimtesa yule mtoto wake wa kike mpaka kufa kisha kukimbilia kwao Pakistani.
Kaona Pakistani kwao hakuna maisha karudi tena Uingereza kuchezea maisha gerezani. Kweli Ulaya kuzuri Aisee! Uhuru wa Kuishi maisha bila vikwazo vya ajabu ajabu vya dini una thamani kubwa kabisa.
 
Anao huo Uhuru kwanza wa kubadili dini bila kuhofia kukatwa shingo!?
 
Achana na hizo aya za porojo. Huo Uhuru wa kuabudu dini tofauti huko Uarabuni upo!?
 
Wahamiaji kutoka Asia wanazaliana sana kwa hiyo ongezeko lao bado lipo tu.
 
Trump mwenyewe hataki wahamiaji, itawezekanaje aruhusu dini za hao wahamiaji zitamalaki?
 
ni kweli kuwa wakristo ni wengi bado mie nachosemea ni rate of growth kwa waislamu ni kubwa,na pia wazungu,acha wahamiaji sasa ni wanazuoni wa dini ya kiislamu,wanadalisha na wamesoma sana kuruani,kwanini ni hivyo mie sijui
 
Hiyo Hadith ya Mtume wenu mmepigwa kwasabau maneno aliyokuwa akiongea mtume wenu ni ya iblis aliyemuingilia ndio maana ni kama ya kichaa fulani 100% Nakuchanganulia Alafu huyo Musnad, most muslim wanamkataa kuwa sio Sahihi mnachagua ujinga unaoonekana unawapendeza and ujinga wa Musnad mnaukataa.

1. Aliyesema hayo maneno ni Mudy na Sio Allah. na Mudy hajawahi kuongea ukweli zaidi ya stupidity

2. Usiku na Mchana upo hapa hapa tulipo yaani giza linaingia na jua linawaka hakuna uislam unaoingia..

3. Kuna mabara hayaishi watu haswa antarctica au Uislam utawafikia Penguin?

4. Uislam kuingia nyumba zote tokea huo mwaka alio tamka hayo maneno hadi leo bado kakwama fake prophet so hamna huo uhakika. ni fix kamba uongo.

5. Hadith ya Abu hurayrah 145 inasema Uislam ulianza kwa uchache na utaisha kwa uchache kama joka lizamalo kwenye shimo lake.. na Joka ndio Shetani lenyewe pia Mtume wenu alisema itafikia hadi kabuli lake litakojolewa na dogs. no more islams hahaha na wanazuoni wa kiislam watapotea wote

6. Kama uislam ukiinga kwa nyumba tunaucheka na kuukimbiza utabili wa mjinga. labda alimaanisha Waislam na sio uislam.

7. Mtume wenu amewaambia kuwa mwisho wa Dunia watu wote watakuwa Christians wafuasi wa Yashua Jesus
 
Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao.
Wewe ndo una propaganda na hii dini maana kila siku wewe ni kuishambulia tu
Muda mwingine uwe unaleta hata nyuzi za kina Aziz ki na Mobetto
 
Mimi ni Murtadi

Nimempokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa MAISHA yangu
Hukuwa muislam kamili hakuna muislam alikulia katika malezi mazuri ya kiislamu akawa murtadi, ndio maana hata unayobwabwaja hapa hayana mantiki nashindwa kuchangia hata kuelewa sielewi elewi uwe unatulia unaweka hoja vizuri ili watu na elimu zao waweze kujibu na wengine wajifunze sasa wewe unaenda kulupu kulupu na majibu unayo yakwako unamaana umekuja kubisha tu na kuleta vurugu
 
"Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa."
Ni wewe tu umeogopa kwa ujinga wako, kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo
 

View: https://x.com/Shariakill/status/1892137880845222128
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…