Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Hahahah sasa watu si waoe wakina dada wa kihutu,wao ni sura ngumu/kukomaa/poligony lkn kazi za suruba wanachapa 'kweri kweri'.

Unaweza kumuachia shamba akawa analima hata nusu ekari kila siku,akitoka shamba anaenda kuchota maji mtoni then anakata kuni mti mzima pekee yake we ukirudi home ni kupiga miti tu,oeni wachapa kazi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli hiyo bro
jMali
 
Huyu dada ni muhutu
 
Ushuhuda ni huu juzi kAti nilikuja na uzi wangu mrefu tafuta usome ule kwenye kula kimasihara ndo nilimla huyo demu wa rwanda after 1 week ananiambia ana mimba nikaruka futi 100.
 
Mkuu pole sana [emoji23][emoji23][emoji23] tatizo mmezidi ujasusi
 
Kuna kidada baba mnyarwanda na mama msukuma,kilikuwa kikiona wanyarwanda kinapagawa hatari,kitajisogeza ili kimpe papa
 
Wazuri sana, yupo mmoja nilikula mbususu Kampala na pia mwingine nilimkosakosa kizembe na tulipokuwa naye aliwahi nionesha picha za watoto wake wawili wakiume yaani typically Tutsi lakini ndio hiyo from Mbarara
 
Whatever the truth.., Ukweli ni Kwamba huwezi uka-control Binadamu...

Yaani hata mtu akiwa ni wa damu fulani ukubwani hakuna guarantee kwamba atakuwa mlengo wako..., People are complicated and can not be manipulated as chess pieces; and to keep such conspiracy going for long requires extraordinary powers which human beings lack...
 
Ushuhuda ni huu juzi kAti nilikuja na uzi wangu mrefu tafuta usome ule kwenye kula kimasihara ndo nilimla huyo demu wa rwanda after 1 week ananiambia ana mimba nikaruka futi 100.
Naomba link ya comments yako ya kimasihara niisome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…