Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Hahahah sasa watu si waoe wakina dada wa kihutu,wao ni sura ngumu/kukomaa/poligony lkn kazi za suruba wanachapa 'kweri kweri'.

Unaweza kumuachia shamba akawa analima hata nusu ekari kila siku,akitoka shamba anaenda kuchota maji mtoni then anakata kuni mti mzima pekee yake we ukirudi home ni kupiga miti tu,oeni wachapa kazi aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii story niliisikia kitambo ikaniogopesha kuoa Hawa watu wazuri wa uso kutoka Rwanda.

Kwamba ukioa Mtutsi, eti ukizaa watoto watano ujue mmoja au wawili sio wako.

bidada huyo atafanya juu chini agegedwe na ndugu Yake au mtutsi mwenzake aliyekaribu nae ili ampe mimba.

Huyo mtoto anahesabiwa ni wao hata akizeeka na wanajuana kwenye system yao. Wewe baba hasa mwenye uwezo au mwanasiasa mkubwa anatumika tu kama mbeleko ya kunawirishia kabila hili lenye warembo wa kuvutia.

Wakuu Kuna ukweli wowote au story tu za wazee wetu Kwenye ghahawa
Kweli hiyo bro
jMali
 
Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]


Blackberry
Huyu dada ni muhutu
 
Ushuhuda ni huu juzi kAti nilikuja na uzi wangu mrefu tafuta usome ule kwenye kula kimasihara ndo nilimla huyo demu wa rwanda after 1 week ananiambia ana mimba nikaruka futi 100.
 
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole sana [emoji23][emoji23][emoji23] tatizo mmezidi ujasusi
 
Kuna kidada baba mnyarwanda na mama msukuma,kilikuwa kikiona wanyarwanda kinapagawa hatari,kitajisogeza ili kimpe papa
 
Wazuri sana, yupo mmoja nilikula mbususu Kampala na pia mwingine nilimkosakosa kizembe na tulipokuwa naye aliwahi nionesha picha za watoto wake wawili wakiume yaani typically Tutsi lakini ndio hiyo from Mbarara
 
Whatever the truth.., Ukweli ni Kwamba huwezi uka-control Binadamu...

Yaani hata mtu akiwa ni wa damu fulani ukubwani hakuna guarantee kwamba atakuwa mlengo wako..., People are complicated and can not be manipulated as chess pieces; and to keep such conspiracy going for long requires extraordinary powers which human beings lack...
 
Ushuhuda ni huu juzi kAti nilikuja na uzi wangu mrefu tafuta usome ule kwenye kula kimasihara ndo nilimla huyo demu wa rwanda after 1 week ananiambia ana mimba nikaruka futi 100.
Naomba link ya comments yako ya kimasihara niisome.
 
Back
Top Bottom