Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Ni kweli hawa jamaa wamebarikiwa.

Utaona story ya Daudi na Goliath inavyojirudia pale middle east.
Mwaka 1967 Waisrael waliwapiga mataifa matano ya Kiarabu kwa siku sita. Siku ya saba wakapumzika, kama vile Mungu alivyoumba Mbingu na dunia sikU sits , na siku ya 7 akapumzika.

Walikua na jeshi dogo, silaha chache, ndege chache lakini walishusha kichapo kilichowaogopesha hadi Taifa la Kisovieti LA Urusi.

Haya hayawezi kutokea bila kua na Baraka za Mungu.

Yapo majaribio kadhaa ya kuwafuta katika Uso wa nchi yamefanywa na waarabu, wajerumani, yakashindwa vibaya sana.
Utaona kila taifa lililoiunga mkono Israel lilipiga hatua kubwa kinyume na Yale yaliopingana nayo hata Leo.

USA ilibarikiwa sana ilipoanza juhudi za kuwaunga mkono, hali yao ilizorota pale walipokua wakiwakandamiza kisera.
Urusi iliangushwa.
Waarabu mpaka Leo wameshindwa kuungana dhidi ya Israel.

Obama aliwapinga sana matokeo yake chama chake kikashindwa dhdi ya bwana Trump,

Nyerere alikataa kuwasaidia wasiokoe mateka wao Uganda lakini Kenya walikubali matokeo yake IDD Amin akavamia Tanzania.na so Kenya.

Kwa ufupi hata Leo wako watakaosema waisrael si lolote kwasababu ya uchache wao nk. Ila wakithubutu wanaangamia.

Israel ndio INA asili ya manabii, mitume watakatifu wanaosomwa zaidi duniani, akiwemo mkombozi Yesu Kristo.
Kupitia Israel mataifa yote yatabarikiwa.
So kwa ufupi IPO baraka katika Israel
umentoa tongotongo
 
Mataifa matano? Ujerumani kapiga dunia nzima tena sio mara moja mara mbili kwenye vita vyote vikuu vya dunia. Wanakuja kumshinda kwa kumuekea vikwazo kukosa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu.

Leo hii dunia ikimchangia israel itakuwaje? Kama Iran tu pale inamuhenyesha?

Kama wao wana akili cyber war yao na iran kwanini waliingiza nguvu za bunduki? Iran walihack website zao kibao wao wakawa wanawaua kwa kuwatumia assasins, mtu mwenye akili akishindwa kitu cha akili anatumia mabavu?

Na mwisho wa siku mtu mwenye akili analiwa tigo? Iweje taifa hili lenye watu wenye akili kuna.mashoga wengi hivi.

Tel aviv ni jiji zuri kwa mashoga kuliko new york, london, toronto etc

Tel Aviv declared world's best gay travel destination
hili nalo jipya mkuu,. u mean kabila la yesu sasahivi ni mashoga uyoga🙁😉
 
Ni kweli hawa jamaa wamebarikiwa.

Utaona story ya Daudi na Goliath inavyojirudia pale middle east.
Mwaka 1967 Waisrael waliwapiga mataifa matano ya Kiarabu kwa siku sita. Siku ya saba wakapumzika, kama vile Mungu alivyoumba Mbingu na dunia sikU sits , na siku ya 7 akapumzika.

Walikua na jeshi dogo, silaha chache, ndege chache lakini walishusha kichapo kilichowaogopesha hadi Taifa la Kisovieti LA Urusi.

Haya hayawezi kutokea bila kua na Baraka za Mungu.

Yapo majaribio kadhaa ya kuwafuta katika Uso wa nchi yamefanywa na waarabu, wajerumani, yakashindwa vibaya sana.
Utaona kila taifa lililoiunga mkono Israel lilipiga hatua kubwa kinyume na Yale yaliopingana nayo hata Leo.

USA ilibarikiwa sana ilipoanza juhudi za kuwaunga mkono, hali yao ilizorota pale walipokua wakiwakandamiza kisera.
Urusi iliangushwa.
Waarabu mpaka Leo wameshindwa kuungana dhidi ya Israel.

Obama aliwapinga sana matokeo yake chama chake kikashindwa dhdi ya bwana Trump,

Nyerere alikataa kuwasaidia wasiokoe mateka wao Uganda lakini Kenya walikubali matokeo yake IDD Amin akavamia Tanzania.na so Kenya.

Kwa ufupi hata Leo wako watakaosema waisrael si lolote kwasababu ya uchache wao nk. Ila wakithubutu wanaangamia.

Israel ndio INA asili ya manabii, mitume watakatifu wanaosomwa zaidi duniani, akiwemo mkombozi Yesu Kristo.
Kupitia Israel mataifa yote yatabarikiwa.
So kwa ufupi IPO baraka katika Israel
.....Why God was so biased?
 
Ni kweli hawa jamaa wamebarikiwa.

Utaona story ya Daudi na Goliath inavyojirudia pale middle east.
Mwaka 1967 Waisrael waliwapiga mataifa matano ya Kiarabu kwa siku sita. Siku ya saba wakapumzika, kama vile Mungu alivyoumba Mbingu na dunia sikU sits , na siku ya 7 akapumzika.

Walikua na jeshi dogo, silaha chache, ndege chache lakini walishusha kichapo kilichowaogopesha hadi Taifa la Kisovieti LA Urusi.

Haya hayawezi kutokea bila kua na Baraka za Mungu.

Yapo majaribio kadhaa ya kuwafuta katika Uso wa nchi yamefanywa na waarabu, wajerumani, yakashindwa vibaya sana.
Utaona kila taifa lililoiunga mkono Israel lilipiga hatua kubwa kinyume na Yale yaliopingana nayo hata Leo.

USA ilibarikiwa sana ilipoanza juhudi za kuwaunga mkono, hali yao ilizorota pale walipokua wakiwakandamiza kisera.
Urusi iliangushwa.
Waarabu mpaka Leo wameshindwa kuungana dhidi ya Israel.

Obama aliwapinga sana matokeo yake chama chake kikashindwa dhdi ya bwana Trump,

Nyerere alikataa kuwasaidia wasiokoe mateka wao Uganda lakini Kenya walikubali matokeo yake IDD Amin akavamia Tanzania.na so Kenya.

Kwa ufupi hata Leo wako watakaosema waisrael si lolote kwasababu ya uchache wao nk. Ila wakithubutu wanaangamia.

Israel ndio INA asili ya manabii, mitume watakatifu wanaosomwa zaidi duniani, akiwemo mkombozi Yesu Kristo.
Kupitia Israel mataifa yote yatabarikiwa.
So kwa ufupi IPO baraka katika Israel
adolf Hitler aliwaua waisrael Zaidi ya milioni sita ,,,mbona hawakujiokoa? kama sio kule RUSSIA baada ya jeshi la Hitler kushindwa vita sababu ya barafu sasa hivi Waisrael wasingekuwepo kwenye ramani ya dunia
 
waisraeli tuseme wayahudi wamesoma na wana hela sana duniani kwa sababu kuu mbili.

1. zamani dini ya kikristo ilikataza biashara ya kukopesha kwa riba lakini dini ya kiyahudi iliruhusu. hili lilipelekea wayahudi kutajirika kupitia biashara ya kukopesha pesa na hatimaye mabenki. pia sote tunajua kuwa matajiri huwapa watoto wao elimu bora kabisa.

2. zama ulaya wayahudi walikuwa wakinyanyaswa sana maeneo ya mashambani. hivyo wengi wakakimbilia kwenye majiji na kuwa wafanyabiashara. na mijini ndiko kuna vyuo, mashule na michongo yote. hata walivyoamia Marekani walihama na umisheni town wao.

kwa kuongezea ni kuwa hawa jamaa wanasaidiana sana kwa kupeana michongo na mitaji.tofauti na wabongo ambako mtu aktoka anataka kuwa mungu mtu. tukiacha ufala na sisi tutaitwa wabarikiwa.
 
Wamelaaniwa kuliko viumbe vyote wa Mungu laana iko juu yao dunian na Akhera
 
Hata sisi waafrika tumebarikiwa na migegedo mikubwa na dada zetu makalio makubwa.[emoji12]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
I totally hate that! Ni ujinga ulio komaa kabisa! Watoto watakula hayo mavitu? Tena ni laana kabisa!
 
Unachokisema kina ukweli kiasi fulani ndio maana unaona ujenzi wa maelfu ya makazi ya Wayahudi huko Ukingo wa Magharibi, yaani inamaana miaka cyo mingi Wayahudi wanarudi kwao.
Nachukia unyanyasaji wa viumbe wa Mwenye Enzi Mungu
 
Wa Israel halisi hawapo pale Israel,wako kwenye mataifa wamesambaa wakifanya kazi.biblia inamaanisha watakua utumwani.na ni kweli wana akili nyingi sana.unaowaona sasa hivi pale Israel ni wazungu fulani tu wakorofi korofi hivi.Israel wenyewe halisi wako duniani pote hasa mataifa hayo hayo makubwa wanatumikishwa kufanya kazi za kitaalamu.na kadri miaka inavyoenda kuna siku watajikusanya wote na vizazi vyao na kurudi pale Israel,binafsi nachoamini hao watakapoamua kurudi na kujenga Israel halisi ndipo utakapoona hakuna cha mmarekani wala mrusi wala mchina atakaekua na nguvu kuliko wao

Wana wa Israel walivuka Red Sea na kusambaa bara la Afrika.
 
Inasemekana (sina source ya information) kwamba uchumi wa Marekani unategemea sana Israelites. Ndo mana kila anaejaribu kuigusa Israeli marekani huingilia kati. Hawa jamaa wana akili saana.
Hiyo kuhusu kubarikiwa kuliko binadamu wote duniani ni kibiblia zaidi.
 
Wana akili kwenye nini? Umetumia standard gani mpaka ukafikiria kwamba wana akili?

Mfano angalia hizi ni nchi 15 bora duniani kwa uvumbuzi wa vitu

The 15 most innovative countries in the world

Kati ya nchi hizo 15 israel haipo,

Mimi nimetumia standard yangu kwamba ili uonekane na akili inabidi uvumbue na israel hawamo kwenye wavumbuzi bora.

Ukija kwenye iq nchi zenye watu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri baadhi ya research nilizoziona hata top 40 hawamo

https://iq-research.info/en/page/average-iq-by-country#
Accomplishmenents walizofikia Israeli is a short period ni remarkable. Hawa watu walitawanyika dunia nzima walipopewe ardhi na kuunda nchi ya Israel mwaka 1948. Yaani walikusanya watu wao dunia nzima, hawakuacha damu yao itangetange.
Just imagine nchi tulizopata uhuru 1960s, tunaweza jilinganisha na Israel?

Guide: Why are Israel and the Palestinians fighting over Gaza? - CBBC Newsround
Ukitaka kujua akili za hawa jamaa waulize Palestine. Israel walipewa sehemu ndogo ya Palestine with claims kwamba its their God given land kutokana na evidence za kibiblia, ila sasahivi wamewashika masikio Palestine. Imagine, umemkaribisha mgeni kwako alafu ajifanye ndo mwenye nyumba.
 
anaefahamu naomba anijuze ?nasikia hawa watu wanaakili sana na ndio maana hitla aliwaua mamia kwamaelfu navilevile nasikia kwamba nchi za kiarabu zimeshindwa kabisa kuifyeka hii israel eti wanabaki kubweka huku wameficha mkia kama mbwa alie mface chatu sijui nikweli? Great tel me plz
Its true!!... We waache wanaobishana waendelee!!
Hawa jamaa n nomaa!! Ni blessed from God like no others!!
In short waarabu wamewapiga na kupanda nao lakini WAME BOUNCE in 1000 times!!...
Toka taifa hili lilivoanzishwa 1948 Waarabu wamekua wakipambana kuiondoa Israel wameshindwa hadi Leo ...waisrael wenyewe wachache tu lakin kwa udogo wao wameshindikana Waarabu na washirika wao wanahaha kila kona!!... These pple are blessed we ukiona mtu mapovu yanamtoka ujue n mshirika wa waarabu!!...
INAVOSEMEKANA "NA WALITAWANYIKA DUNIA NZIMA UTUMWANI NA WATAPORUDI HAMNA TAIFA LITAKALO WEZA KUWANG'OA.."" Nasikia haya kunasehem yameandkwa I'm not good in religious matter
 
Accomplishmenents walizofikia Israeli is a short period ni remarkable. Hawa watu walitawanyika dunia nzima walipopewe ardhi na kuunda nchi ya Israel mwaka 1948. Yaani walikusanya watu wao dunia nzima, hawakuacha damu yao itangetange.
Just imagine nchi tulizopata uhuru 1960s, tunaweza jilinganisha na Israel?

Guide: Why are Israel and the Palestinians fighting over Gaza? - CBBC Newsround
Ukitaka kujua akili za hawa jamaa waulize Palestine. Israel walipewa sehemu ndogo ya Palestine with claims kwamba its their God given land kutokana na evidence za kibiblia, ila sasahivi wamewashika masikio Palestine. Imagine, umemkaribisha mgeni kwako alafu ajifanye ndo mwenye nyumba.
Naomba google Jesuit
 
Its true!!... We waache wanaobishana waendelee!!
Hawa jamaa n nomaa!! Ni blessed from God like no others!!
In short waarabu wamewapiga na kupanda nao lakini WAME BOUNCE in 1000 times!!...
Toka taifa hili lilivoanzishwa 1948 Waarabu wamekua wakipambana kuiondoa Israel wameshindwa hadi Leo ...waisrael wenyewe wachache tu lakin kwa udogo wao wameshindikana Waarabu na washirika wao wanahaha kila kona!!... These pple are blessed we ukiona mtu mapovu yanamtoka ujue n mshirika wa waarabu!!...
INAVOSEMEKANA "NA WALITAWANYIKA DUNIA NZIMA UTUMWANI NA WATAPORUDI HAMNA TAIFA LITAKALO WEZA KUWANG'OA.."" Nasikia haya kunasehem yameandkwa I'm not good in religious matter
Google Jesuit,
 
anaefahamu naomba anijuze ?nasikia hawa watu wanaakili sana na ndio maana hitla aliwaua mamia kwamaelfu navilevile nasikia kwamba nchi za kiarabu zimeshindwa kabisa kuifyeka hii israel eti wanabaki kubweka huku wameficha mkia kama mbwa alie mface chatu sijui nikweli? Great tel me plz
Hao walikua taifa kipenzi cha Mungu.. Lakini baada ya kuua manabii wengi... Mungu aliwasalitisha kwa mataifa Adui... Kwa hio siku zote wanaishi under stress na tahadhari ya hali ya huu... Mtu yoyote anayeishi katika hali hio anaonekana ana akili nyingi lkn si kweli. Kwa mfano asilimia kubwa ya wahindi waishio Tanzania au nchi nyingine ni watu wenye uwezo... Lakini huko kwao maskini ni wengi sana.. .. Athari ya tahadhari.... Na si kweli kwamba myahudi ni bingwa sana wa kupigana Ila ni kubebwa na Marekani na Uingereza. Hilo nadhani liko wazi kama wewe ni mfuatiliaji wa habari za ulimwengu. Anwaar Saadat alisema wazi kwamba mimi sishindwi kupigana na Israel bali siwezi kushindana na Marekani na Uingereza. Na Israel ni sehemu Ambako Yesu alizaliwa lkn wana-Israel hawakumkubali wakati mpaka leo.
 
Back
Top Bottom