Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Hahahahhahahaha naona nguvu ya propaganda ya vyombo vya habari inafanya kazi yake owk unasema Albert Einstein. alikuwa ni Muisrael unaweza kunambia alikuwa ni.wa jamii gani kati ya jamii hizi za israel ?

Ashkenazi jews, Sephardi jews, Turkisa jews, Italian jews , Romaniotes, Gergian , Crimean karaites jews

Nijibu hilo then tutaelimishana vizuri
Hata ukigoogle google zote utaambiwa Albert Einstein ni Mwizirael ki asili.
 
Ibrahim alimzaa Isaka,. Isaka akamzaa Essau na Yakobo(mapacha na walikua wakipgana 2mboni wakigombea kutoka hata walipokua wanazaliwa Yakobo alikua kashkilia mguu wa Essau ili atangulie yeye), kwa sababu ya njaa Esau akamuuzia mdogowake uzaliwa wa kwanza na Yakobo kwakua ndo alichotaka akafurah ili. Mzee Isaka alikua kapofuka macho hakujua knachoendelea ila mama alijua lkn akawa upande wa mdogo Yakobo. Mzee akamwambia mwanae wa kwanza Essau amuandalie chakula kzr ili ampe baraka. lkn Mama na mdogo Yakobo wakacheza mchezo wkt Essau kaenda kuwinda, Mzee akambariki Yakobo badala ya Essau. Mungu akambariki Yakobo akampa jina Israel na watoto 12(ndo wanaounda makabila 12 ya Israel) kuptia kwa wake zake Lea na Rachel. Yakobo alimpenda sana Rachel(hapa pana stori) na Rachel alimzaa Yusufu na Benjamin, Yusufu alipendwa na baba yake kiac kaka zake wa mke mkubwa kwa wivu wakamuuza kwa wafanyabiashara wa Misri wakiwa machjungani. Israel ni kizazi cha Yakobo na ndio Mwanzo Wa Taifa huko Misri(hapa pana Stori pia).
 
Kabla ya kusema chochote juu ya Israel naomba nikuulize maswali kidogo
1 Je inawezekana ndani au katikati ya Africa kukawa na nchi ya wazungu tupu? au katikati ya bara la Ulaya kukawa na nchi yenye watu weusi tupu?

2 Je katika jamii zote nne za binadamu ni jamii gani ina nywele za blonde

3 Je ina maana wakati waisrael wanakwenda au kusambaa dunia nzima ina maana waliondoka wote nchi nzima?

4 Kwa nini Waisrael waliotoka nchi za ulaya na America ndio wanakaribiswa ndani ya israel tofauti na waisrael waliobaki au kutoka sehemu nyingine mfano Africa wanabaguliwa?

5 Nitajie wanasanyansi 3 Duniani waliofanya maajabu kwa uwezo wao mkubwa wa akili na ufahamu ambao ni waisrael
Albert Einstein mvumbuz wa atomic bomb n myahud if u dont knw kaaa kmyaaa
 
Kama wewe unaona ni propaganda. ..sasa mm nitakuamini vp kama nawe unachonambia sio propaganda. .lets assume everything we be told is propaganda then..
Mkuu achana na imani hiyo hakuna kitu pale!
wale ni washenzi tu na hata siku moja Mungu wa kweli hawezi kuwabari watu washenzi.
 
Back
Top Bottom