Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Wa Israel halisi hawapo pale Israel,wako kwenye mataifa wamesambaa wakifanya kazi.biblia inamaanisha watakua utumwani.na ni kweli wana akili nyingi sana.unaowaona sasa hivi pale Israel ni wazungu fulani tu wakorofi korofi hivi.Israel wenyewe halisi wako duniani pote hasa mataifa hayo hayo makubwa wanatumikishwa kufanya kazi za kitaalamu.na kadri miaka inavyoenda kuna siku watajikusanya wote na vizazi vyao na kurudi pale Israel,binafsi nachoamini hao watakapoamua kurudi na kujenga Israel halisi ndipo utakapoona hakuna cha mmarekani wala mrusi wala mchina atakaekua na nguvu kuliko wao
Blacks are true Israelites we are true Israelites
 
Na sio wayahudi au wazungu wote wana akili wengi tu mburula hata si tunawazidi Kwa Mali na ufahamu shida ni inferiority complex na kuwa na mpangilio wa Mzuri wa matumizi.
 
swali hilo muulizeni Chamilton atawajibu
 
Waisrael wakweli ni wa palestina,yaani ukijumlisha wote waliokuwa wanaishi palestina kabla ya uvamizi wa mazayuni( mazayuni si kabila wala rangi,wzayuni ni mtu yoyote aliyekuwa anapinga uvamizi wa wageni palestina) Waisrael origin yao ni uzao wa shem( moja ya watoto wa Noah) hawa akina netanyau ni watu kutoka russia ujerumani waliochukuliwa sehem mbalimbali duniani kuhalalisha uvamizi wa taifa la palestina kwa maslahi ya wajanja wa kilimwengu kama akina Roschchild ili kuchafua hali ya hewa mashariki ya kati kwa ajili ya ku control mafuta.marekani ilidanganywa tu kuingia kwenye huo mgogoro ili nae awe kiranja wa kuwahadaa walimwengu wakubali kuhalalisha uvamizi huo
Nimeongea mengi yasiyohusu swali lako ili tu upate picha kuwa hao wanaojiita wana akili jinsi gani wanaitumia hiyo mentality kuutawala ulimwengu.Ukiwa huna akili utaamini kuwa ni kweli waisrael wanaakili kukupita ila kama unatumia ubongo wako vizuri utaamini kila mtu anaakili awe msukuma au muisrael
We kweli ni bora waisrael wana akili sana !! Kuliko kutuaminisha historia isiyokuepo wala hata kuendana na ukweli!!...yaan wewe unaona kama humu ndan kuna vilaza ndo maana unatuletea hadithi zako unazosimuliwa na babu yako!! Au umeota hivo!!... Eti walikusanywa ili wanyonye mafuta ya middle East ...... Akili za wajinga n kaz kweli kweli .....sipat picha ukimrithisha hata mwanao huu ujinga
 
anaefahamu naomba anijuze ?nasikia hawa watu wanaakili sana na ndio maana hitla aliwaua mamia kwamaelfu navilevile nasikia kwamba nchi za kiarabu zimeshindwa kabisa kuifyeka hii israel eti wanabaki kubweka huku wameficha mkia kama mbwa alie mface chatu sijui nikweli? Great tel me plz
Kama ni Mkristo kasome Biblia imeweka wazi kila kitu Israel ni Taifa Teule la Mungu na kwa taarifa tuuu karibu vitu vyoote tunavyovitumia katika ulimwengu wa leo wavumbuzi ni waisrael kasome historia japo wengi wametapakaa mataifa mbalimbali baada ya vita ya pili ya Dunia lakini asili ya mvumbuzi unakuta ni mwizrael japo atakuwa anaishi marekani au kazaliwa marekani wazazi ukifuatilia utakuta ni wa huko
 
Wana akili kwenye nini? Umetumia standard gani mpaka ukafikiria kwamba wana akili?

Mfano angalia hizi ni nchi 15 bora duniani kwa uvumbuzi wa vitu

The 15 most innovative countries in the world

Kati ya nchi hizo 15 israel haipo,

Mimi nimetumia standard yangu kwamba ili uonekane na akili inabidi uvumbue na israel hawamo kwenye wavumbuzi bora.

Ukija kwenye iq nchi zenye watu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri baadhi ya research nilizoziona hata top 40 hawamo

https://iq-research.info/en/page/average-iq-by-country#
Si kweli kasome tena hao wavumbuzi chimbuko lao ni wapi usipepese macho
 
Still mkuu huu si ushahidi kuwa wamebarikiwa na wana akili,
Wamebarikiwa sana mkuu.
Wamefanikiwa kutoa ma icons wakubwa katika historia ya kiimani duniani.
Yesu Kristo, Mfalme Daudi, Nabii Yohana, Eliya, Isaya, Moses, Mariamu, Israel(Jacob) Just to mention the few.
 
We kweli ni bora waisrael wana akili sana !! Kuliko kutuaminisha historia isiyokuepo wala hata kuendana na ukweli!!...yaan wewe unaona kama humu ndan kuna vilaza ndo maana unatuletea hadithi zako unazosimuliwa na babu yako!! Au umeota hivo!!... Eti walikusanywa ili wanyonye mafuta ya middle East ...... Akili za wajinga n kaz kweli kweli .....sipat picha ukimrithisha hata mwanao huu ujinga
unabwabwaja tu,toa evidence za kitaalamu,kasome kitabu kinaitwa Thirteen Tribes,by somebody Arthur,hivi kuna uhusiano hata wa kimuonekano kati ya hao waisrael waliovamia paletina na waisrael walioko palestina leo? ndio nyie mnahubiriwa makanisani kuwa waisrael wanao vamia palestina leo ni waeule wa Mungu ndio maan unshindwa hata kutoa fact,ongea kwa ushahidi,kafuatilie wasomi wana historia wa kiisrael wanasemaje kuhusu hili
 
Wana akili kwenye nini? Umetumia standard gani mpaka ukafikiria kwamba wana akili?

Mfano angalia hizi ni nchi 15 bora duniani kwa uvumbuzi wa vitu

The 15 most innovative countries in the world

Kati ya nchi hizo 15 israel haipo,

Mimi nimetumia standard yangu kwamba ili uonekane na akili inabidi uvumbue na israel hawamo kwenye wavumbuzi bora.

Ukija kwenye iq nchi zenye watu wenye uwezo mkubwa zaidi wa kufikiri baadhi ya research nilizoziona hata top 40 hawamo

https://iq-research.info/en/page/average-iq-by-country#
Nonsense cha kutuongopea sijui hizo data zako umezitoa wapi? shame on you
 
Kwa taarifa yako hawa wa. Mosad ndiyo waoongoza kwa ushoga na kama wewe ni mkristo tambua kabisa kwamba asilimia kubwa ya hawa waisrael wa mosad sio wakristo bali ni Jewish.
Waisrael waliozungumziwa kwenye vitabu vya dini sio hawa wa Netanyahu.

The religious affiliation of the Israeli population as of 2011 was 75.4% Jewish, 16.9% Muslim, 2.1% Christian, and 1.7% Druze, with the remaining 4.0% belonging to minor faiths such as Samaritanism, Baha'iism or no religion. Israel does not have a constitution
Pumbaaaaaa tupu[emoji51]
 
Yaan we jina tu ISIS !! Afu unadhan nitaamin chochote toka kwako kuhusu Israel!!... we ningekwambia wasyria ndo wanaakil dunian tungeelewana!!... Bt for that I'm sorry ISIS
Nafuu umemuelew mkuu
 
Si kweli kasome tena hao wavumbuzi chimbuko lao ni wapi usipepese macho
Dah mpaka nitachoka kujibu, kuna waisraeli wenye vimacho vidogo? (Wachina, japan, korea etc) hebu angalia uvumbuzi wa hao jamaa miaka ya karibuni na usome tena link zangu.

Nchi kama finland imetuletea mapinduzi makubwa kabisa kwenye ulimwengu kuanzia network za simu, kina nokia, linux, etc nao wao ni waisrael?

Hebu pitia tena hizo link usiongee kwa kudhani dhani
 
Nonsense cha kutuongopea sijui hizo data zako umezitoa wapi? shame on you
Asante,

Ila mimi niweka source, wewe za kwako zipo wapi? Umewahi hata kutoka nje ya Tanzania, hicho unachokitete umekitoa tu mtaani au una ushahidi gani?
 
Aende SAA iz aone kama ataweza ua hata mia!!...
Mi nafikiri mkuu uwezo wako wa kufikir n mdogo!! Sidhan kama hata kama midaharo ulikua unahudhuria kama ulihudhuria bas nafikir ulikua msikilizaji!!.. Maana syo kwa hoja hizi!!.
Ivi uliona wapi mateka anakua jeuri au ananafasi ya kupambana kama alivyokua huru!!.. Ivi ww ukiwa gerezan unaweza endesha vita au kujitetea na maasi juu yako!!?
Hitler aliwaweza kwasababu walikua wapo nchini kwake syo nchini kwao!!.. Nguvu yote alikua NATO silaha,jeshi na vyombo vyote vya dola!!... Ni sawa tu Leo serikali ikaanza kuua kabila flan !!?? Ikatumia dhana zote za jeshi,mabomu bunduki n.k wakat raia hawamiliki silaha kwa hapo unafikir kuna atakae salimika!!??
Ndivo ilivokua

Walivokua utumwani misri hivyo hivyo waliuliwa haikuepo namna lakin saaiz nani atawasogelea.....
Uwe unafikir mkuu
nani atawasogelea? Israel wanaishi kwa misaada ya Marekani ni Taifa masikini kama Tanzania....umeshawahi kusikia bidhaa yoyote kutoka ISRAELI? Uchumi wao uko wapi ikiwa hata sabuni ya kuogea hawawezi kutengeneza?
 
Nani baba kati israel na marekani?..kama marekani ni baba kwanini..kila rais wao wa chama chochote kile akitaka kura ni lazima akaombe kura kwa kundi la israel liishilo marekani...tena kwa kuwa na mkutano nao ambao ni maalum..na ni lazima aeleze wazi sera zake zinazoihusu israel?..vinginevyo hapewi kura..sasa hapo nani baba?
Israel ni Taifa masikini linaishi kwa kutegemea misaada ya Wamarekani.........hawajawahi kutengeneza hata sabuni ya kuogea ki ufupi ni vilaza hawajui chochote
 
Ok vizuri hii ndio faida ya JF watu kutumia akili si kukubali tu kila kinachoandikwa hapa nakupongeza kwa hilo mkuu

kujibu hoja yako nitajibu kama ifatavyo

1 Toka mwaka 1929-1948 idadi ya waisrael 133,630 ndio waliongezeka yani mwaka 1929 walikuwa 15,630,000 na mwaka 1948 walikuwa 15763630 So utaona ndani ya miaka 19 waliomgezeka 133,630 tu

2 Hii ni idadi ya waisrael dunia nzima ambao walikuwa milion 15 + or -

3 Waisrael waliopata tabu sana wakati wa vita ya dunia walikuwa wale waliopo ulaya tu si sehemu nyingine dunian na ulaya ikikuwa na waisrael milion 9.5 tu ambapo Germany walkuwa waisrael milion 4 tu

4 Vita vya dunia vilipiganwa kwa nchi na nchi na kushirikisha makoloni ya nchi hizo so israel aikuwa nchi walikuwa ni watu so waliopigana vita vile walikuwa ni wachache sana wengi walikufa kwa sababu za kujiokoa au kukimbia vita lakini hakuna nchi iliyokuwa na wapiganaji wa waisrael ktk jeshi lake

5 Mwaka 1943 takimu za uhamiaji za US zinaonyesha wakimbizi zaidi ya 584,860 wa israel walipatiwa hifadhi na kuingia US kutoka Ulaya na wengine 969,000 walikuwa wameshaikimbia ulaya na kukimbilia sehemu zingine dunian
Hitler aliwaua waisrael Zaidi ya milioni 6 .............
 
Back
Top Bottom