adolf Hitler aliwaua waisrael Zaidi ya milioni sita ,,,mbona hawakujiokoa? kama sio kule RUSSIA baada ya jeshi la Hitler kushindwa vita sababu ya barafu sasa hivi Waisrael wasingekuwepo kwenye ramani ya dunia
To understand the future we have to go back mpaka mwaka 63 BCE wakat Alexandrian jews walipoamia mji wa Roma italia kabla ya vita vya pili vya dunia idadi ya waisrael walikuwa milion 9 pia inasemekana waisrael milion 6 walikuwa katika kile kinachoitwa holocaust japo mbeleni tutakuja kuchambua kwa makini tujue ni kweli idadi hii ni kweli? Waisrael na jamii hzi za kiisrael Ashkenazi jews,sephardi jews,turkisa jews,italian jews ,Romaniotes,Gergian ,crimean karaites jews walikuwa wanaishi katika nchi za France,Germany,Uk.Russia,poland,spain,Azerbaijan,Gergia,Turkey,Italia,Ukraine,Lithuania na Nchi za Baltic
Katika nchi zote waisrael wanakadiliwa kuishi Italia katika mji wa Roma kwa miaka 2000 Kipindi kirefu kuishi kuliko walivyokuwa wakiishi katika nchi nyingne za Ulaya sasa twende mpaka January 30,1933 mpaka May 8,1945 katika kile kinachoitwa mauji ya Holocaust ambae inasemekana Mr Adolf Hitler aliyafanya chini ya mwamvuli wa chama cha Nazi Germany kwanza tunatakiwa kujua idadi ya waisrael ulaya mwaka 1933 walikuwa milion 9.5 huku milion 4 wakiwa Germany So unaweza kuona Germany ndo ilikuwa na waisreal wengi kwa idadi ya nchi moja moja pia tunatakiwa kujua waisrael duniani wamejikita katika sector ya vyombo vya habari na Banks sasa basi ukiweza kumiliki vyombo vya habari then ukaweza kumiliki Banks kifupi utakuwa umeiteka dunia kwani fedha na habari ni taasisi muhimu sana ktk maisha ya binadamu kwani wanasema information is power na pia uongo wowote utakao sema utaonekana ni ukweli kwni wanadamu wengi wanaamini vyombo vya habari kama vyanzo vya taarifa
Sasa tuchambue kidogo juu ya taarifa za mauwaji haya ya kutisha wanayosemekana yametokea na Mr Hitler ndo master mind
1 Idadi ya waisrael nchini Germany aikuwai kuzidi milion 4.5 hii ni mpaka mwaka 1945
2 Idadi ya waisrael inayotajwa kabla na baada ya vita vya ii vya dunia
* Idadi ya waisrael duniani
1929-15,630,000
1936-15,753,633
1938-15,748,091
Idadi ya waisrael katika vita
1940-15,319,359
1942-15,192,089
1947-15,688,259
1948-15,763,630
So ukiangalia kwa makini utaona idadi ya waisrael duniani toka mwaka 1929-1948 inacheza kwenye milion 15 sasa ao milion 6 ilikuwaje???
Kabla ya vita na mpaka mwaka 1942 kulikuwa na idadi kubwa ya wahamiaji wa kiisrael wakiama kutoka nchi za Germany,Austria, Czechoslovakia na Baltic states idadi yao inakadiliwa kufikia 969,000
Baada ya vita yani 1948-1970 waisrael 1,548,000 waliama kutoka ulaya na kwenda US,Israel,South America,Canada na Australia
Mwaka 1943 takimu za uhamiaji za US zinaonyesha wakimbizi zaidi ya 584,860 wa israel walipatiwa hifadhi na kuingia US kutoka Ulaya
Mwaka 1985 wizara ya fedha ya Germany ilikuwa inatoa Survior pensions kwa waathirika ya vita vya dunia lakini cha kushangaza zaidi ya maombi 6-7 Milion yalitoka israel kitu cha kushangaza ni kwa nini yawe maombi mengi hvyo wakat Germany ilikuwa na waisrael milion 4tu na wengine walkimbia hata kabla ya vita vya dunia ??? na pia inasemekana waisrael milion 6 wamekufa na wauaji ni Germany?? mpaka sasa ni ngumu kuthibitisha juu ya mauaji hayo kwani kwenye camps za Germany zilizotumika kuwatesa waisrael ni Auschwitz 1.1 Milion,Majdanek 60,000 Belzec 483,000 Sobibor 170,000 Treblinka 870,00 pamoja na camps nyingne ndogo ndogo jumla ilikuwa ni 221,436
Sasa ukijumlisha idadi yote hata useme walikufa wote bado idadi itakuwa 2,121,434 japo wengi walifanikiwa kutoroka
Sasa basi nakuachia jibu ww kuwa mauwaji wa waisrael milion 6 ni kweli au si kweli but kumbuka hakuna jibu la YES or NO dunian jibu ni maelezo maneno yes na No si kwa ajili ya kujibia maswali yana kazi yake nyingne
laki si pesa.
https://www.jamiiforums.com/members/laki-si-pesa.305198/