Je, ni kweli wakili Mwabukusi ni mhaini?

Ukweli serikali ya CCM imeamua kututesa hadi Yesu atakaporejea, Watetezi wa wanyonge ndiyo mnawabambikia kesi za ajabu.
Hivyo ni nani anayemshauri Mama.
aliyeshasema kwamba yeye na mwendazake ni kitu kimoja!
 
watu wa usalama wana uelewa wa hali ya juu sana kuliko unavyofikiri, wako watu wazito nyuma ya huyo Mwabukusi, na kinga ni bora kuliko tiba. Vyombo vyetu lazima viwe makini sana na watu km hao mapema iwezekanavyo.
 
Walimsingizia Mbowe ugaidi, akaumbika gaidi halisi Hamza kada wa CCM,

Leo wanamsingizia Mwambukusi uhaini, watavuna wanachopanda.

Putino na Wagner, Wana ziara Afrika!!
 
Maneno mengi kwenye keyboard, toka nje upinge kama wenzio
 
We bwabwaja tu,mwenzio anabinywa kende aseme Tanganyika na watanganyika viko wapi!?..na Kwa namna gani atawashawishi watu wasilipe Kodi?...uhuru wa manyani,manyani mmepewa uhuru mmeonesha unyani wenu
 
MENE MENE TEKELI & PERESI

Haya maandishi ukutani hata JPM aliambiwa hivyo, na akayapuuzia. Yaliandikwa kupitia matendo ya akina Kingai na Wambura hawa hawa.

Mama ukifanya dhuluma juu ya wenye haki kutokana tu na ubinafsi na tamaa za mali ya umma, ama kwa hakika utaanguka tu. Sauti ya mwenye haki ni sauti ya Mungu, basi na utambue kilio cha mwenye haki ni hasara yako wewe mwenyewe.
 
CCM imeishiwa pumzi
 
Unayemuongelesha anaamini wasaidiizi wake wote ni nusu malaika nusu mitume. Hawana hila, makosa wala nia ovu.....


Tusubiri uchaguzi tumuongeleshe vizuri kwa kura zetu
 
Unayemuongelesha anaamini wasaidiizi wake wote ni nusu malaika nusu mitume. Hawana hila, makosa wala nia ovu.....


Tusubiri uchaguzi tumuongeleshe vizuri kwa kura zetu
Kwa tume ipi ya uchaguzi?
 
Her days are numbered
 
We bwabwaja tu,mwenzio anabinywa kende aseme Tanganyika na watanganyika viko wapi!?..na Kwa namna gani atawashawishi watu wasilipe Kodi?...uhuru wa manyani,manyani mmepewa uhuru mmeonesha unyani wenu
Nyani babayo
 
watu wa usalama wana uelewa wa hali ya juu sana kuliko unavyofikiri, wako watu wazito nyuma ya huyo Mwabukusi, na kinga ni bora kuliko tiba. Vyombo vyetu lazima viwe makini sana na watu km hao mapema iwezekanavyo.
Hawa usalama wanaoajiriwa kwa vimemo? Kisa baba ni kada wa chama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…