Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu.

Wako wanaofurahia propaganda hizo.

Wako wanaoamini propaganda hizo.

Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo.

Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media kupitia waandishi


Lakini wapo waandishi waliotaka kujua ukweli wa ugaidi. Kuwa ni magaidi wenyewe ndio wanaojinasibisha na Uislam au ni waandishi wenziwao ndio wanaoufungamanisha Uislam na Ugaidi.

Mmoja wa waandishi hao ni AZORY. Hata hivyo alipotaka kutekeleza jukumu hilo alipotezwa na watu wasiojilikana. Kila mmoja unaelewa ni nani wasiojilikana kuwa ni watu waliosikiliza amri kutoka juu.

Hata hivyo limejitokeza akina Azory wa Bandia. Wameweza kukusanya uchunguzi na kuzungumzia ugaidi wa waislam.

Kundi hilo linauzungumzia ugaidi kwa ustadi zaidi ya waongoza muvi za BOLLYWOOD wa na wasimulia muvi wa kule tandale.

Cha ajabu wameyafanya yote na hatimae kuanza kusambaza kwenye mitandao.

Hata hivyo kikundi hiki kinafanya yote haya kama kwamba tz ni sehemu salama kwao kujificha kwa kutengeza na kusambaza uongo uliotengezwa huku wakikingiwa kifua.


Hata hivyo kwa nyakati kadhaa wakili Peter Madeleka ameitahadharisha jamii na hasa wanahabari kuandika taarifa za kiuchunguzi za uongo zinazopelekelea waislam kuteseka na kuumizwa na kunyang'anywa mali.

Angalia clip hii hasa kuanzia dkk ya 7

View: https://youtu.be/72rIuu-GSf0?si=r6qSCzYwU5qL6llP


Waislam nchini wanaitahadharisha SERIKALI izingatia zaidi maslahi ya Taifa katika kuiendea na kuishughulikia dhana ya ugaidi nchini.

Kuna waandishi hao ambao jf inawalinda wameendelea kuandika makala zinazozungumzia ugaidi wa Waislamu nchini na kwa nchi za jirani.

Kuna waraka wenye anuani ya Njua ya Kibiti kwenda kwenye laana Cabo Delgado.

Moja ya suala linalojitokeza katika makala hiyo ni Uislamu na ugaidi, ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi lakini kwa hakika yeye (Mwandishi) ndiye anayehusisha Uislamu na Ugaidi.

Tunawashauri viongozi wazingatie zaidi maslahi ya Taifa katika suala hili la ugaidi, kwani sasa zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi zinazo wanasibisha Waislamu.

Tunaishauri serikali ifute kabisa sheria ya ugaidi na badala yake itumie shera ya uhalifu ambao ipo ili kuwapumzisha na kuwaondolea waislam wasiwasi wa operasheni zinazoibuka baada ya kuanza kwa propadanga hizi ili niweze kuhalalisha uovu wa baadhi ya watendaji wa serikali waovu, wavuta bangi waliopandikizwa chuki kupitia propaganda hizi dhidi ya Waislamu.

Tunaikumbusha Serikali kwamba, Taifa la Tanzania limejengwa juu misingi mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.

Na huu mpango mpya wa propaganda zenye uongo uliotengenezwa si ktk misingi sahihi ya kuendesha serikali.

Waraka huu umesomwa na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa waislam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda.

Ameeleza kuwa mwaka 2002, wakati wa mchakato wa Sheria ya Ugaidi, Wabunge walisema maneno mazito Bungeni, na kufafanua kuwa Tanzania hakuna ugaidi na Sheria hiyo ya Ugaidi inawalenga zaidi raia Waislamu.

Akasema, hivi sasa matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo yanaonekana wazi kwani wanaokamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi wengi wao ni Masheikh na Waislamu wa kawaida.

Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba hata kesi zake mahakamani zinakwama kusikilizwa na Waislamu wakabaki wafungwa mahabusu wa muda mrefu.

Akizungumzia kuhusu makala hayo Sheikh Ponda, anasema ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi, lakini makala hiyo ipo wazi kuwa yeye ndiye anayehusisha Uislamu na ugaidi.

Akifafanua Sheikh Ponda, amesema Mwandishi wa Makala hiyo amewataja Waislamu wasomi wa Vyuo vya Kiislamu kama Magaidi huku Misikiti, Madrasa, Asasi kama vile vituo vya Yatima na Shule za Kiislamu amevitaja kuwa ni vituo vya Kigaidi.

Aidha amesema, katika makala yake hiyo ameyataja mataifa kadhaa aliyodai kuwa yanayoelekea kusambaratika kutokana na hicho alichokiita ni ugaidi.

Sheikh Ponda amemtanabahisha mwandishi huyo kuwa uandishi wake unatakiwa azingatie maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kuhusu suala hili zito linalohusu uhai wa watu na mustakbali wa Taifa, badala ya kuja na uchambuzi wa taarifa bandia za Intelijensia.

Kwani taarifa sahihi anazo Azory.
 

Attachments

  • images.jpeg-32.jpg
    images.jpeg-32.jpg
    21.8 KB · Views: 10
Azory alienda sehemu hatari,kibiti haikua mahali sahihi kwake,hivyo safisha safisha ilimkumba vibaya Anyway mkuu kuna video nyingi tu magaidi wakiua wanataja miungu yao ya kiislam je nao wanakua wamekaririshwa kuchafua dini ama?
 
Azory alienda sehemu hatari,kibiti haikua mahali sahihi kwake,hivyo safisha safisha ilimkumba vibaya Anyway mkuu kuna video nyingi tu magaidi wakiua wanataja miungu yao ya kiislam je nao wanakua wamekaririshwa kuchafua dini ama?
kwa hiyo nembo ni mtu kusema Mungu ni mkubwa ? basi kwa kiarabu ndio muislamu .

Nataka kuona hapa kundi la kigaidi limeenda Mecca kuhij ndio nitaamini , hawa hata kule hawafiki 😀 😀 😀
 
Duh aisee mara hii unawakana hamas walioshangilia kuua na mkawa mnalia wanaonewa kisa dini yao leo unasema ile ni lugha tu hivyo hawawahusu dadadeeekiiii

Kama mwijaku kaweza kufika kule hao magaidi wapo kule wa kutosha ila ndo vile hawawezi ua ndugu zao katika imani.
kwa hiyo nembo ni mtu kusema Mungu ni mkubwa ? basi kwa kiarabu ndio muislamu .

Nataka kuona hapa kundi la kigaidi limeenda Mecca kuhij ndio nitaamini , hawa hata kule hawafiki 😀 😀 😀
 
Duh aisee mara hii unawakana hamas walioshangilia kuua na mkawa mnalia wanaonewa kisa dini yao leo unasema ile ni lugha tu hivyo hawawahusu dadadeeekiiii

Kama mwijaku kaweza kufika kule hao magaidi wapo kule wa kutosha ila ndo vile hawawezi ua ndugu zao katika imani.
Hamas walivamia wapi huku Africa? Wale wanaoua watoto miaka kibao sio magaidi pale Taifa la Mungu 😀 😀
 
Tatizo linaanzia pale waislamu na vitabu vyao kubagua watu wenye Imani tofauti na yao na kuwaita KAFIRI, dini zote zinahubiri kuungama dhambi na kusamehewa hata kama umefanya dhambi gani kasoro dini ya kiislamu tu DUNIANI, na ajabu kuna dhambi kwenye kitabu chao cha dini wanaelekeza kuchinja kama kuku, kupiga mtu mawe hadi kufa, halafu eti wanainama kumuomba Mungu wakati Jana yake wameua?,

Hakuna dini ya kinafiki Duniani chini ya jua kama dini ya kiislamu na watu wanafiki kama WAISLAMU, ndo maana hata nchi za kiarabu hazisaidiani.

Nyingine zipo upande wa Marekani na Israel nyingine upande wa Palestina, nyingine hazieleweki. Hakuna mkristo aliyewahi kujilipua na mabomu sababu dini haijamfundisha habari za thawabu na mabikra 72 akifa. Ni ujinga na upuuzi kutetea uislam.
 
Azory alienda sehemu hatari,kibiti haikua mahali sahihi kwake,hivyo safisha safisha ilimkumba vibaya Anyway mkuu kuna video nyingi tu magaidi wakiua wanataja miungu yao ya kiislam je nao wanakua wamekaririshwa kuchafua dini ama?
############
Mohamed Abubakar

Tuongee kwa fact. Kuna watu ktk maisha yao hapa Tanzania wamekuja kujua kuna Uislamu na waislam baada ya kufika Dar. Wengine wanefika mbali zaidi na kwenda kuishi Zanzibar.

Swali ni je waislam mulioweza kuishi nao kuongea nao hapa Dar, Tanga, Zanzibar wanafanana hata kidogo na hao waislam magaidi ukicompare na ndugu zenu kule chuga, Katoro, serengeti, sumbawanga ambako kila leo watu wanadondoshwa kwa radi. Wapi hasa wana roho za kigaidi
 
Hee kumbe kuna Taifa la Mungu. Nawe unaamini hivyo mkuu?

Kumbe magaidi ni africa tu kama akina boko haram ila kule kwa waarabu sio magaidi hata yakibaka na kuua watoto bila kusahau kuwachoma moto hayana hatia ee
Hamas walivamia wapi huku Africa? Wale wanaoua watoto miaka kibao sio magaidi pale Taifa la Mungu 😀 😀
 
Azory alienda sehemu hatari,kibiti haikua mahali sahihi kwake,hivyo safisha safisha ilimkumba vibaya Anyway mkuu kuna video nyingi tu magaidi wakiua wanataja miungu yao ya kiislam je nao wanakua wamekaririshwa kuchafua dini ama?
...
Gaidi ni nani? Hata MBOWE aliitwa gaidi hakuwa muislam na mkiimba nyimbo za Chadema
 
ngoja ufe ukiwa mkiristo halafu uone maisha yako huko uendako
Mkuu kuna aliyewahi kufa akarudi akakuhakikishia maisha ya huko yakoje!?,Mimi huwa nikimuona mfia dini popote pale awe mkristo au muislam huwa namuona kama PUNGUANI hivi.

Tuamini na kumwabudu Mungu, mengine tuachane nayo. Kwahiyo wachina na wahindi wasio waislamu wala wakristo na wapo karibia bilioni 3 nusu ya dunia wakifa wanaishi maisha gani!?,nijibu kwa kutumia akili zako sio mistari ya Mohamed..
 
Tatizo linaanzia pale waislamu na vitabu vyao kubagua watu wenye Imani tofauti na yao na kuwaita KAFIRI, dini zote zinahubiri kuungama dhambi na kusamehewa hata kama umefanya...
Kunipatia ushahidi wa haya nitamfata paulo badala ya yesu...... "Na ajabu kuna dhambi kwenye kitabu chao cha dini wanaelekeza kuchinja kama kuku, kupiga mtu mawe hadi kufa"

Ni hivi ndugu; ukristo na uislam ni dini mbili za utani wa jadi.

Ninyi mnaitwa makafiri lakini si sahihi.

Utani sahihi wa ukweli tulipaswa kuitana "Washirikina".

Kwasababu ninyi mnamshirikisha Mungu kagawanyika mmoja kwa watatu. Mushrik.

Lakini kuna waislam wanamshirikosha mumgu kwa kufanya mazingaombwe kuwatisha watu.

Wote ni washirikina.

Aliye bora ni wale akina sisi tulionyooka. Na kupiga vita aina zote za ushirikina.

Kwa hakika makafiri ni Atheism, Wapagani wenye kuamini Ujamaa, Umarx. Kwani Ujamaa ni imani. Imani ya kipagani.

Kwa ufupi wafuasi wa Ujamaa ndio makafiri
 
Mkuu kuna aliyewahi kufa akarudi akakuhakikishia maisha ya huko yakoje!?,Mimi huwa nikimuona mfia dini popote pale awe mkristo au muislam huwa namuona kama PUNGUANI hivi. Tuamini na kumwabudu Mungu, mengine tuachane nayo. Kwahiyo wachina na wahindi wasio waislamu wala wakristo na wapo karibia bilioni 3 nusu ya dunia wakifa wanaishi maisha gani!?,nijibu kwa kutumia akili zako sio mistari ya Mohamed..
Punguani wewe. unaona babu zako wanaondoka na hawarudi hujiulizi kwanini wakifa hawarudi? akili ulipewa ambazo umetafautishwa na myama sio za kulewa tu. ni akili za mazingatio ya kuumbwa kwako. utumie akili kwa kunywea pombe tu
 
Back
Top Bottom