Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 Je, ni Mawaziri wangapi wa Kenya waliopita bila kupingwa?

Kenya 2022 General Election
Wakili wa Chadema aliyewasaidia akina Lema kukimbilia Canada Wajackoya kaambulia kura elfu Kumi hadi sasa kwenye kura za uraisi
Kumbuka wengine wanajua hawawezi kushinda lakini wanachotaka ni CV tu
 
Hakuwatuma mnunuliwe na lowassa.

Miaka nenda rudi Ccm inashinda ila mlivyo wapuuzi mnamlalamikia mtu mmoja tu na sio mfumo uliomuweka huyo mnayemuita kichaa
Yule kichaa na Mahera ndio walileta ile aibu!
 
Halafu mzee Kikwete eti ndie ameenda kusimamia uchaguzi wa haki hapo Kenya!,binafsi nipo hapa Lwegu (kwa muda)na matokeo nayaona live!,nani ameliorate gharama zake pale Kenya?,na waangalizi wa nini?kila kitu kipo wazi
 
Kenya ni majirani zetu ila wako mbali sana, Wana haki ya kupata maendeleo
Uchumi wa Kenya ni karibu mara 2 ya huu wa Tanzania. Huu uchaguzi unathibitisha kwa nini wametuzidi kwa kiasi kikubwa namna hiyo
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Vipi wewe chama chako cha Chadema kinaonaje kinapofeli kila mwaka wa uchaguzi ??!!
 
Hivi huyu jamaa bado ndiyo Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa uchaguzi ya Tanzania?

1660125779039.png
 
Wapinzani wenyewe njaa sana ,wepesi kuzira kususa bado sana kuwafikia wakenya
Bila shaka unamaanisha Mbowe, Lipumba, Mbatia, Zitto, nk yotr hayo weka kapu moja "matumbocracy"
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Jamhuri ya Watu wa Kenya imekuwa nchi ya kutolea mfano baada ya Ghana.
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Kenya ndio baba wa demokrasia East Africa now.
 
Unajua kinachowafaidisha CCM ni nini katika chaguzi mbalimbali nchi hii ni umimi wa sisi raia

Mfano wewe tu mleta mada umeandika kwa kuwaelezea chadema tu ndio kama vile walikatwa peke yao kwenye uchaguzi ule

Yaani kifupi umezungumzia madhira kwa chadema na sio kwa uchaguzi wote kwa wale walionyimwa haki zao

Kwa namna hii wale viumbe CCM wataendelea sana kutawala hii nchi hadi pale ubinafsi(Ujinga) utakapopungua katika jamii

Tatzo vyama tu vya upinzani hawaaminiani na kila chama kinajiona wao ndio wanastahili kuonekana wana akili timamu kuliko wenzao

Ndugu CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa kila chama kujipambania chenyewe

Tujiandae tu na kusikiliza vilio vya watu wakilia kuibiwa kura ila kwa akili hizi CCM inakwenda kushinda tena 2025 hata wakiweka mwembe ugombee.
Naizungumzia Chadema ninayoijua na Tishio kamili la ccm
 
Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.

Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.

Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.

Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)

Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.

View attachment 2319930
Hivi ni kweli hujasikia kuwa kuna mtu kapigwa risasi ya kichwa na mgombea hadi akafa! Toa sifa stahiki bila kupitiliza!
 
Back
Top Bottom