Kumbuka wengine wanajua hawawezi kushinda lakini wanachotaka ni CV tuWakili wa Chadema aliyewasaidia akina Lema kukimbilia Canada Wajackoya kaambulia kura elfu Kumi hadi sasa kwenye kura za uraisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka wengine wanajua hawawezi kushinda lakini wanachotaka ni CV tuWakili wa Chadema aliyewasaidia akina Lema kukimbilia Canada Wajackoya kaambulia kura elfu Kumi hadi sasa kwenye kura za uraisi
Wizi wa ccm unaligharimu taifa.Wapinzani wenyewe njaa sana ,wepesi kuzira kususa bado sana kuwafikia wakenya
Yule kichaa na Mahera ndio walileta ile aibu!
Wizi wa ccm unaligharimu taifa.
Kwa sababu ya ujinga na upumbavu mnaruka mkojo mnakanyaga mavi.Sio lazima tuige kila kitu Kenya, hata Rwanda, Burundi na Uganda Ni mifano mizuri pia. Sie tumeamua kwenda na Uganda na Rwanda
Uchumi wa Kenya ni karibu mara 2 ya huu wa Tanzania. Huu uchaguzi unathibitisha kwa nini wametuzidi kwa kiasi kikubwa namna hiyoKenya ni majirani zetu ila wako mbali sana, Wana haki ya kupata maendeleo
Vipi wewe chama chako cha Chadema kinaonaje kinapofeli kila mwaka wa uchaguzi ??!!Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Bila shaka unamaanisha Mbowe, Lipumba, Mbatia, Zitto, nk yotr hayo weka kapu moja "matumbocracy"Wapinzani wenyewe njaa sana ,wepesi kuzira kususa bado sana kuwafikia wakenya
Jamhuri ya Watu wa Kenya imekuwa nchi ya kutolea mfano baada ya Ghana.Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Bado ni yeye mkuu. Kwani wewe unamuonaje?Hivi huyu jamaa bado ndiyo Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa uchaguzi ya Tanzania?
View attachment 2319987
Kenya ndio baba wa demokrasia East Africa now.Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
Hakijawahi kufeli ila ccm inaiba kura.Vipi wewe chama chako cha Chadema kinaonaje kinapofeli kila mwaka wa uchaguzi ??!!
Naizungumzia Chadema ninayoijua na Tishio kamili la ccmUnajua kinachowafaidisha CCM ni nini katika chaguzi mbalimbali nchi hii ni umimi wa sisi raia
Mfano wewe tu mleta mada umeandika kwa kuwaelezea chadema tu ndio kama vile walikatwa peke yao kwenye uchaguzi ule
Yaani kifupi umezungumzia madhira kwa chadema na sio kwa uchaguzi wote kwa wale walionyimwa haki zao
Kwa namna hii wale viumbe CCM wataendelea sana kutawala hii nchi hadi pale ubinafsi(Ujinga) utakapopungua katika jamii
Tatzo vyama tu vya upinzani hawaaminiani na kila chama kinajiona wao ndio wanastahili kuonekana wana akili timamu kuliko wenzao
Ndugu CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa kila chama kujipambania chenyewe
Tujiandae tu na kusikiliza vilio vya watu wakilia kuibiwa kura ila kwa akili hizi CCM inakwenda kushinda tena 2025 hata wakiweka mwembe ugombee.
Hivi ni kweli hujasikia kuwa kuna mtu kapigwa risasi ya kichwa na mgombea hadi akafa! Toa sifa stahiki bila kupitiliza!Kwenye Uchaguzi unaoendelea Nchini Kenya kuna jambo la kujifunza, kila mwenye haki ya kugombea na aliyetimiza vigezo ameachwa agombee , ashinde ama ashindwe mwenyewe.
Mpaka sasa sijasikia mgombea yeyote aliyepita bila kupingwa, wala sijasikia Wagombea waliotekwa , kupigwa ama kuporwa fomu, wala sijasikia Mamlaka ya kudhibiti rushwa ikimsingizia mgombea yoyote kesi ya uongo Kama ilivyotokea jimbo la Bumbuli, Mtama na Rwangwa 2020.
Hii ni kwa uchache, ambako Wagombea wa Upinzani walishughulikiwa kinyama, Akiwemo Suleiman Methew aliyegombea ubunge kupitia Chadema, ambaye alikamatwa ndani ya ofisi ya Mkurugenzi wakati wa kuhakiki fomu zake na kupewa kesi ya uongo ili NAPE NNAUYE APITE BILA KUPINGWA, hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa Tanzania.
Wala Kenya haikuzima mitandao ya simu wala internet , KAMA ILIVYOZIMWA TANZANIA KWENYE UCHAGUZI WA 2020 na kulazimisha wananchi kutumia VPN (Wabarikiwe wazungu waliotuwekea VPN)
Nauliza tena ni Wagombea wangapi wa Kenya walioondolewa kugombea uongozi kwa sababu walikosea kujaza fomu , kama walivyoondolewa wagombea wa Chadema Tanzania 2020 ?
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya.
View attachment 2319930
BadoHivi huyu jamaa bado ndiyo Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa uchaguzi ya Tanzania?
View attachment 2319987