danhosnoop
JF-Expert Member
- Oct 21, 2014
- 2,721
- 10,524
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu itakua ulikua 'unababuliwa' mapema tuuNjia nzuri ni ile ya kuchagua. Viongozi wawili wa timu wanapokezana kuchagua... Sasa hapo ndo unajua uhodari wako. Kulikua na watu wanakataliwa adi huruma! Mi walikua wananikataa kwenye rede [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]