Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,448
- 845
Hahahaha hongera sana mkuu, wewe ndiye uliyeanzisha uzi, michango yake ilikuvutia zaidi au ana Uzi aliofungua kuelezea haya? Walakini huu ni Uzi Bora sana na ni kama unajitosheleza kabisa... kwenye elimu ya uwekezaji huu.Uko vzr sana mkuu, big up kwa moyo huo, umekuwa teacher hpa, nilijiunga baada ya kuwa inspired na ww.
Mkuu, hata wewe ubarikiwe mno kwa uzi huu na namna ambavyo imekuwa ukijibu maswali ya wadau, hakika umefanya vizuri sana mkuu.
Big up sana!!!