Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Mkuu hiyo bond , gawio la mwezi linaingia kwenye simu au Hadi muanze kupanga folen
Unawaeleza kwa kujaza form ziingie wqpi. Pia unaweza wekeza tena faida unayopata badala ya kuzichukua hivyo automatically zitakuja kwenye account au utaongeza kwenye uwekezaji
 
Basi huu Ni ujinga kwanini Wasiseti kama nataka malipo Kwa mwezi iwe inaingia automatically.

Yani hela ni hela yangu Hadi kila mwez niwe narequest tena hela itoke Kwa Siku 10 tena za kazi !
Inafuatana na mfuko. Mfuko wa Bond invest kufuatana na uchaguzi wako utazipata automatically kwenye account yako, lakin hapo ni pale unapokuwa na uwekezaji wa kuanzia sh 10m. Ukiwa na 5m utalipwa faida kila baada ya miezi 6
 
Yaani hata wangesema wanatoa 14% kwa mwaka,hio 2mil kwa 3yrs haiwezi hata kukuzalishia laki 9 kwa miaka yote mitatu.
Hiyo 2m yako wekeza mfano bond au liquid na uendelee kuwekeza. Uzuri hakuna makato na ile faida ndogo unayoipata pia endelea kuiwekeza. Kwenye bond kima cha chini ili uanze kulipwa faida ni 10m na faida utapata kila mwezi, utaichukua au utaendelea kuiwekeza; na sh 5m hii ni kila baada ya miezi 6 ndipo unapewa faida ambayo pia aidha utaichukua au unaweza ongezea kwenye mtaji wako na kuendelea kuwekeza
 
Hiyo 2m yako wekeza mfano bond au liquid na uendelee kuwekeza. Uzuri hakuna makato na ile faida ndogo unayoipata pia endelea kuiwekeza. Kwenye bond kima cha chini ili uanze kulipwa faida ni 10m na faida utapata kila mwezi, utaichukua au utaendelea kuiwekeza; na sh 5m hii ni kila baada ya miezi 6 ndipo unapewa faida ambayo pia aidha utaichukua au unaweza ongezea kwenye mtaji wako na kuendelea kuwekeza
Mkuu samahani naomba kueleweshwa
Kwa mfano nimewekeza kiasi cha sh 10 milioni sasa nikakaa miezi 2 nikapata changamoto nikataka kutoa kiasi kidogo kama cha 2 milioni, je inakubalika kutoa kiasi kiasi kidogo au mpaka utoe hela zote ulizowekeza kama mtaji wako?
 
Mkuu samahani naomba kueleweshwa
Kwa mfano nimewekeza kiasi cha sh 10 milioni sasa nikakaa miezi 2 nikapata changamoto nikataka kutoa kiasi kidogo kama cha 2 milioni, je inakubalika kutoa kiasi kiasi kidogo au mpaka utoe hela zote ulizowekeza kama mtaji wako?
Ndio maana wanashauri kuchagua mfuko wa liquid,ukitaka milioni mbili katika hiyo 10 inabidi uuze vipande vyako vyenye thaman ya milioni 2,ndani ya siku tatu za kazi unapata hela zako...million 8 inabaki.
 
Mkuu samahani naomba kueleweshwa
Kwa mfano nimewekeza kiasi cha sh 10 milioni sasa nikakaa miezi 2 nikapata changamoto nikataka kutoa kiasi kidogo kama cha 2 milioni, je inakubalika kutoa kiasi kiasi kidogo au mpaka utoe hela zote ulizowekeza kama mtaji wako?
Utaratibu ni kwamba unaweza kutoa Hela yako yote Hadi miezi mitatu iishee.
 
Ndio maana wanashauri kuchagua mfuko wa liquid,ukitaka milioni mbili katika hiyo 10 inabidi uuze vipande vyako vyenye thaman ya milioni 2,ndani ya siku tatu za kazi unapata hela zako...million 8 inabaki.
Asante sana
Kwa hiyo kama umeweka mfuko wa bond tofauti na mfuko wa liquid napo ni siku 3 za kazi au inakuaje?
Utaratibu ni kwamba unaweza kutoa Hela yako yote Hadi miezi mitatu iishee.
Kwa hiyo nikipata shida kabla ya miezi 3 kuisha siwezi kutoa kiasi flani cha pesa?
 
Ndio maana wanashauri kuchagua mfuko wa liquid,ukitaka milioni mbili katika hiyo 10 inabidi uuze vipande vyako vyenye thaman ya milioni 2,ndani ya siku tatu za kazi unapata hela zako...million 8 inabaki.
Kwa hiyo mkuu tofauti na mfuko wa liquid kama nimeweka kwenye mfuko wa bond huo utaratibu wa kutoa kias flani cha pesa hauwezekani?
 
Asante sana
Kwa hiyo kama umeweka mfuko wa bond tofauti na mfuko wa liquid napo ni siku 3 za kazi au inakuaje?

Kwa hiyo nikipata shida kabla ya miezi 3 kuisha siwezi kutoa kiasi flani cha pesa?
huwezi itoa, kuna option ya kupewa hela ya kujikimu kila mwezi. ila huwezi kutoa principal amount yote kabla ya miezi 3
 
Habar zenu ndugu zang samahan najua si sehem husika ila kuuliza hili Ila binge penda kuuliza kutokana na ufaham wa watu wenda hil nalo nikapata ufumbuzi

Nahitaj kuwa connected na mtu ambaye tayal ana nunua HISA za CRDB,NMB,TCC,TWIGER CEMENT na zngne Au anae ijua Vzr zaid huu uwezekaji wa hisa
 
Habar zenu ndugu zang samahan najua si sehem husika ila kuuliza hili Ila binge penda kuuliza kutokana na ufaham wa watu wenda hil nalo nikapata ufumbuzi

Nahitaj kuwa connected na mtu ambaye tayal ana nunua HISA za CRDB,NMB,TCC,TWIGER CEMENT na zngne Au anae ijua Vzr zaid huu uwezekaji wa hisa
Nunua hisa CRDB na NMB pia, NMB kunajambo jema naona kama linakuja

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Habar zenu ndugu zang samahan najua si sehem husika ila kuuliza hili Ila binge penda kuuliza kutokana na ufaham wa watu wenda hil nalo nikapata ufumbuzi

Nahitaj kuwa connected na mtu ambaye tayal ana nunua HISA za CRDB,NMB,TCC,TWIGER CEMENT na zngne Au anae ijua Vzr zaid huu uwezekaji wa hisa
mkuu mi sijawekeza popote bado ila nimesoma sana kuhusu stocks na bonds, nimebaini kwamba ukitaka kuishi bila stress hapa duniani basi kuwa BONDHOLDERS Na siyo SHAREHOLDERS. Why??
bondholders kwa lugha nyepesi ni mkataba wa mkopo ambao unaonesha kuwa unamkopa mtu flani kama vile serikari,kampuni,shirika kwa masharti ya kwamba baadae urudishiwe pesa yako pamoja na riba juu.

SHAREHOLDERS, ni namna ya kununua umiliki kwa kampuni flani.. unanunua units ambazo ndo hisa kwa jina lingine.. yaani unachukua hela yako unampa mwenye kampuni ili aongeze capital na mwisho wa siku unufaike na wewe kwa faida na hasara itakayopatikana kwenye kampuni hiyo, sasa dhamani ya units zako zinapanda na kushuka haziko fixed yaani.. ikitokea kampuni imefirisika basi na wewe unakuwa umepoteza pesa zako nazani umeanza kupata picha mkuu, kununua umiliki ni much risks kwa sababu hela yako huna uhakika 100% stocks ni more risk better utrade forex tu japo nayo ni risk.

mkuu sasa nazani umeeelewa unataka kukopesha pesa zako kwa kampuni flani au unataka kununua umiliki wa kampuni flani???

best option and it is low risk ni kuikopesha serikari kwa riba maana serikari haitokuja kufirisika leo wala kesho.. sasa unaikopeshaje serikari? serikari itaomba mkopo kwako kwa kutoa BONDS za muda mfupi (treasury bond) na za muda mrefu.

wapi napata hizo bonds?
1. BONDS zinatolewa na benkii kuu hapa utapata gawio lako ama faida ya riba yako mala mbili kwa mwaka.

2.UTT BONDS, hii ni mutual fund iko chini ya wizara ya fedha na mipango, hapa unapewa gawio lako kwa mwezi.. japo niliwahi kuwapigia simu nikapata maelezo mazuri kuhusu hesabu inayotumika kupata gawio la mwezi... maana kuna pesa unalipwa ya kujikimu na nyingine inabaki kwenye account yako ya UTT, ukichukua pesa yako uliyoweka ukagawa kwa dhamani ya kipande cha bond jibu utakalopata ni hela yako ya kujikimu halafu ukichukua asilimia moja ya pesa zako ulizowekeza ukatoa pesa ya kujikumu hiyo ndo itakuwa ni balance itakuwa inasomeka kwenye account yako ya UTT ila pia na yenyewe unaweza itoa kwa kujaza fomu crdb bank na kuitoa.. pesa ya kujikimu yenyewe inaingia automatically kwenye account yako bank.. na ile balance itakayokuwa inasomeka kwenye app ya UTT utaitoa kwa kujaza fomu CRDB bank.

hii ni knowledge yangu tu, sijafanya bado kwa vitendo.
ila napambana kufa na kupona nimiliki BOND za deep cash.
asanteni.
 
mkuu mi sijawekeza popote bado ila nimesoma sana kuhusu stocks na bonds, nimebaini kwamba ukitaka kuishi bila stress hapa duniani basi kuwa BONDHOLDERS Na siyo SHAREHOLDERS. Why??
bondholders kwa lugha nyepesi ni mkataba wa mkopo ambao unaonesha kuwa unamkopa mtu flani kama vile serikari,kampuni,shirika kwa masharti ya kwamba baadae urudishiwe pesa yako pamoja na riba juu.

SHAREHOLDERS, ni namna ya kununua umiliki kwa kampuni flani.. unanunua units ambazo ndo hisa kwa jina lingine.. yaani unachukua hela yako unampa mwenye kampuni ili aongeze capital na mwisho wa siku unufaike na wewe kwa faida na hasara itakayopatikana kwenye kampuni hiyo, sasa dhamani ya units zako zinapanda na kushuka haziko fixed yaani.. ikitokea kampuni imefirisika basi na wewe unakuwa umepoteza pesa zako nazani umeanza kupata picha mkuu, kununua umiliki ni much risks kwa sababu hela yako huna uhakika 100% stocks ni more risk better utrade forex tu japo nayo ni risk.

mkuu sasa nazani umeeelewa unataka kukopesha pesa zako kwa kampuni flani au unataka kununua umiliki wa kampuni flani???

best option and it is low risk ni kuikopesha serikari kwa riba maana serikari haitokuja kufirisika leo wala kesho.. sasa unaikopeshaje serikari? serikari itaomba mkopo kwako kwa kutoa BONDS za muda mfupi (treasury bond) na za muda mrefu.

wapi napata hizo bonds?
1. BONDS zinatolewa na benkii kuu hapa utapata gawio lako ama faida ya riba yako mala mbili kwa mwaka.

2.UTT BONDS, hii ni mutual fund iko chini ya wizara ya fedha na mipango, hapa unapewa gawio lako kwa mwezi.. japo niliwahi kuwapigia simu nikapata maelezo mazuri kuhusu hesabu inayotumika kupata gawio la mwezi... maana kuna pesa unalipwa ya kujikimu na nyingine inabaki kwenye account yako ya UTT, ukichukua pesa yako uliyoweka ukagawa kwa dhamani ya kipande cha bond jibu utakalopata ni hela yako ya kujikimu halafu ukichukua asilimia moja ya pesa zako ulizowekeza ukatoa pesa ya kujikumu hiyo ndo itakuwa ni balance itakuwa inasomeka kwenye account yako ya UTT ila pia na yenyewe unaweza itoa kwa kujaza fomu crdb bank na kuitoa.. pesa ya kujikimu yenyewe inaingia automatically kwenye account yako bank.. na ile balance itakayokuwa inasomeka kwenye app ya UTT utaitoa kwa kujaza fomu CRDB bank.

hii ni knowledge yangu tu, sijafanya bado kwa vitendo.
ila napambana kufa na kupona nimiliki BOND za deep cash.
asanteni.
umeeleka vyema mkuu
bondhders kwangu ndo best investment
 
umeeleka vyema mkuu
bondhders kwangu ndo best investment
bondholders wanashinda chumbani tu wanapapasa mapaja ya mamawatoto 24 hours. halafu mwisho wa mwezi wanakutana na gawio as salarry anayopekea mtumishi wa uma. halafu inakuwa ni life time kabisa chukulia utt una bond unakula gawio tu.. halafu benki kuu napo una bonds halafu baada ya miaka 25 kwa bond ya benkii kuu unaambiwa imeiva.. unakuta umekula gawio na at the end of time unakula pension yako as that principal amount deposited.
majilani na ndugu wanabaki wanashangaa kwa kusema huyu jamaa atakuwa jambazi au kajiunga freemason, kumbe umeamua kuishi lifestyle ya india.
 
mkuu mi sijawekeza popote bado ila nimesoma sana kuhusu stocks na bonds, nimebaini kwamba ukitaka kuishi bila stress hapa duniani basi kuwa BONDHOLDERS Na siyo SHAREHOLDERS. Why??
bondholders kwa lugha nyepesi ni mkataba wa mkopo ambao unaonesha kuwa unamkopa mtu flani kama vile serikari,kampuni,shirika kwa masharti ya kwamba baadae urudishiwe pesa yako pamoja na riba juu.

SHAREHOLDERS, ni namna ya kununua umiliki kwa kampuni flani.. unanunua units ambazo ndo hisa kwa jina lingine.. yaani unachukua hela yako unampa mwenye kampuni ili aongeze capital na mwisho wa siku unufaike na wewe kwa faida na hasara itakayopatikana kwenye kampuni hiyo, sasa dhamani ya units zako zinapanda na kushuka haziko fixed yaani.. ikitokea kampuni imefirisika basi na wewe unakuwa umepoteza pesa zako nazani umeanza kupata picha mkuu, kununua umiliki ni much risks kwa sababu hela yako huna uhakika 100% stocks ni more risk better utrade forex tu japo nayo ni risk.

mkuu sasa nazani umeeelewa unataka kukopesha pesa zako kwa kampuni flani au unataka kununua umiliki wa kampuni flani???

best option and it is low risk ni kuikopesha serikari kwa riba maana serikari haitokuja kufirisika leo wala kesho.. sasa unaikopeshaje serikari? serikari itaomba mkopo kwako kwa kutoa BONDS za muda mfupi (treasury bond) na za muda mrefu.

wapi napata hizo bonds?
1. BONDS zinatolewa na benkii kuu hapa utapata gawio lako ama faida ya riba yako mala mbili kwa mwaka.

2.UTT BONDS, hii ni mutual fund iko chini ya wizara ya fedha na mipango, hapa unapewa gawio lako kwa mwezi.. japo niliwahi kuwapigia simu nikapata maelezo mazuri kuhusu hesabu inayotumika kupata gawio la mwezi... maana kuna pesa unalipwa ya kujikimu na nyingine inabaki kwenye account yako ya UTT, ukichukua pesa yako uliyoweka ukagawa kwa dhamani ya kipande cha bond jibu utakalopata ni hela yako ya kujikimu halafu ukichukua asilimia moja ya pesa zako ulizowekeza ukatoa pesa ya kujikumu hiyo ndo itakuwa ni balance itakuwa inasomeka kwenye account yako ya UTT ila pia na yenyewe unaweza itoa kwa kujaza fomu crdb bank na kuitoa.. pesa ya kujikimu yenyewe inaingia automatically kwenye account yako bank.. na ile balance itakayokuwa inasomeka kwenye app ya UTT utaitoa kwa kujaza fomu CRDB bank.

hii ni knowledge yangu tu, sijafanya bado kwa vitendo.
ila napambana kufa na kupona nimiliki BOND za deep cash.
asanteni.
Fanya mkuu, nunua gvt bond na pia weka liquid fund au bond fund. kwa sasa percent za gvt bonds za miaka 20 na 25 hazitofautiani na percent za liquid fund na bond fund.Brokers wanashauri kuwekeza UTT Liquid fund na bond fund . Hii mifuko more than 90% zinawekeza kwenye hati fungani 10% wanawekeza kwingine sio kwenye hisa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
mkuu mi sijawekeza popote bado ila nimesoma sana kuhusu stocks na bonds, nimebaini kwamba ukitaka kuishi bila stress hapa duniani basi kuwa BONDHOLDERS Na siyo SHAREHOLDERS. Why??
bondholders kwa lugha nyepesi ni mkataba wa mkopo ambao unaonesha kuwa unamkopa mtu flani kama vile serikari,kampuni,shirika kwa masharti ya kwamba baadae urudishiwe pesa yako pamoja na riba juu.

SHAREHOLDERS, ni namna ya kununua umiliki kwa kampuni flani.. unanunua units ambazo ndo hisa kwa jina lingine.. yaani unachukua hela yako unampa mwenye kampuni ili aongeze capital na mwisho wa siku unufaike na wewe kwa faida na hasara itakayopatikana kwenye kampuni hiyo, sasa dhamani ya units zako zinapanda na kushuka haziko fixed yaani.. ikitokea kampuni imefirisika basi na wewe unakuwa umepoteza pesa zako nazani umeanza kupata picha mkuu, kununua umiliki ni much risks kwa sababu hela yako huna uhakika 100% stocks ni more risk better utrade forex tu japo nayo ni risk.

mkuu sasa nazani umeeelewa unataka kukopesha pesa zako kwa kampuni flani au unataka kununua umiliki wa kampuni flani???

best option and it is low risk ni kuikopesha serikari kwa riba maana serikari haitokuja kufirisika leo wala kesho.. sasa unaikopeshaje serikari? serikari itaomba mkopo kwako kwa kutoa BONDS za muda mfupi (treasury bond) na za muda mrefu.

wapi napata hizo bonds?
1. BONDS zinatolewa na benkii kuu hapa utapata gawio lako ama faida ya riba yako mala mbili kwa mwaka.

2.UTT BONDS, hii ni mutual fund iko chini ya wizara ya fedha na mipango, hapa unapewa gawio lako kwa mwezi.. japo niliwahi kuwapigia simu nikapata maelezo mazuri kuhusu hesabu inayotumika kupata gawio la mwezi... maana kuna pesa unalipwa ya kujikimu na nyingine inabaki kwenye account yako ya UTT, ukichukua pesa yako uliyoweka ukagawa kwa dhamani ya kipande cha bond jibu utakalopata ni hela yako ya kujikimu halafu ukichukua asilimia moja ya pesa zako ulizowekeza ukatoa pesa ya kujikumu hiyo ndo itakuwa ni balance itakuwa inasomeka kwenye account yako ya UTT ila pia na yenyewe unaweza itoa kwa kujaza fomu crdb bank na kuitoa.. pesa ya kujikimu yenyewe inaingia automatically kwenye account yako bank.. na ile balance itakayokuwa inasomeka kwenye app ya UTT utaitoa kwa kujaza fomu CRDB bank.

hii ni knowledge yangu tu, sijafanya bado kwa vitendo.
ila napambana kufa na kupona nimiliki BOND za deep cash.
asanteni.

Nmekuelewa Vzr mnooo mnoooo hatutofautian kwan hata m nina mawazo hayo hayo kwa baadae
 
Oky ast ndugu sas najuaje km hisa za CRDB zmetangazwa na n wakat gan wa kununua n mala moja kwa mwaka or mala 2
Imekaaje hapo kaka
Ni hivi, unaweza kupakua app ya hisa kiganjani DSE then unafungua account. Soko linafunguliwa saa nne asubui kuanzia saa nne na nusu unaweza kuanzia kununua minimum ni hisa 10. Malipo ni vema ulipie kupitia wakala wa benki, bank, au kwa njia ya simu ingawa wanakata salio. Hisa zinapatikana muda wote ambao soko limefunguliwa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ni hivi, unaweza kupakua app ya hisa kiganjani DSE then unafungua account. Soko linafunguliwa saa nne asubui kuanzia saa nne na nusu unaweza kuanzia kununua minimum ni hisa 10. Malipo ni vema ulipie kupitia wakala wa benki, bank, au kwa njia ya simu ingawa wanakata salio. Hisa zinapatikana muda wote ambao soko limefunguliwa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app

Ahaa saw na inakuwaje mda wa kuuza or znauzwa kwa mda maalum
Sry Kwa maswal kaka
 
Back
Top Bottom