Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Nashukuru sana wadau wote mliochangia hapa. Nimepata Elimu niliyokuwa naitafuta kwa muda mrefu. Jamii forum ni jukwaa muhimu sana. Maxce mello uliyepata wazo la kuanzisha jamii forums barikiwa sana.

Soon naenda kuwa mwekezaji wa uttt baada ya biashara kadhaa nilizojaribu kwa kupata abcs humu humu kugundua haziendani na Mim.

Nadhani jamii forums inabidi ianze kupata ruzuku serikalini (just kidding) maana ni msaada mkubwa kwa wanaoitumia vizuri
 
Kuwekeza hela ndogo kwa return ya 13 kwa mwaka haifai.
Mimi kwa uelewa wangu watu wanafanya diversification kuminimize risks, si vema ukawa na biashara moja unatakiwa kuwa na biashara kuanzia nne nakuendelea nyingi zikiwa na indirect involvement. Sasa hapo unainvest kwenye financial sector Kama vile UTT , bonds, stocks etc, unawekeza kwenye real estate kidogo, ukiweza transpot kidogo nk Ukifuatilia mijadala ya wenzetu huko QUORA nilichokuja kugundua wenzetu wametuacha mbali sana, si kwamba sisi hatuna mitaji hapana, hatujeza kutumia akili sawasawa ili kuweza kutoka kimaisha.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu wapendwa nina swal
Kwa mfano ukaweka 100k kwa mwez kuptia UMOJA fund...it means mwez unaofata unapata 1% ya hyo pesa

Sas ukaweka tena 100k mwez wa 2 jumla ikawa 200k na ile ya nyuma
So utapata tena 1% ya hyo lak2 c ndio ??

Au utaendelea pata 1% ya ile lak100 ya ulio anzia kuweka???
 
Ndugu wapendwa nina swal
Kwa mfano ukaweka 100k kwa mwez kuptia UMOJA fund...it means mwez unaofata unapata 1% ya hyo pesa

Sas ukaweka tena 100k mwez wa 2 jumla ikawa 200k na ile ya nyuma
So utapata tena 1% ya hyo lak2 c ndio ??

Au utaendelea pata 1% ya ile lak100 ya ulio anzia kuweka???
Mwezi unaofata Utapata ya 200k, na ukiongeza nayo inakuwa ya total uliyowekeza
 
Mkuu elezea kuhusu faida inavyokuwa.. Mfano nimenuanua kipate kwa sh 817.. nikanunua viaonde vya million 40, inamana nitanunua vipande 49,000. sasa kwa mwaka wamemsema unapata faida ya sh 12 kw kipande.. Nikajiuliza inamaana faida ya kuwekeza kwa mwaka ni sh 12 kwa kipande X 49000= inamaan nitapata gawio la sh 588,000 Tsh. Jamani si nihasara kubwa sana au sijaelewa. nakama sijaelewa naomba mtu afafanue jinsi mtu aaye nununa vipande anavyopata faida?
Asante
 
Kubadilisha inaruhusiwa lakini huwezi toka umoja kwenda bond fund. Kwa nini? Kwa sababu UTT hela zilizochangwa kwenye mifuko hiyo wanaiwekeza katika sehemu tofauti.
Unaweza kuhama toka liquid kwenda bond. Au bond kwenda liquid.
Watoto(umri ukizingatiwa) kwenda umoja.
Hata Kutoka Umoja kwenda bond au Liquid pia inawezekana
 
Mkuu elezea kuhusu faida inavyokuwa.. Mfano nimenuanua kipate kwa sh 817.. nikanunua viaonde vya million 40, inamana nitanunua vipande 49,000. sasa kwa mwaka wamemsema unapata faida ya sh 12 kw kipande.. Nikajiuliza inamaana faida ya kuwekeza kwa mwaka ni sh 12 kwa kipande X 49000= inamaan nitapata gawio la sh 588,000 Tsh. Jamani si nihasara kubwa sana au sijaelewa. nakama sijaelewa naomba mtu afafanue jinsi mtu aaye nununa vipande anavyopata faida?
Asante
Sidhani kama mahesabu yako sawa.
 
Faida za mifuko ya utt hazitofautiani sana. Hivyo nadhani mfuko uchaguao utokane hasa na lengo lako.

Iwapo hiyo 1m kwa mfano, au kiasi chochote, unataka ikae utt kwa mwaka au kwa kipindi fulani, halafu uje kuwithdraw na kutumia, mfuko unaokufaa zaidi ni Liquid. Hata usipojua ni kwa miezi mingapi fedha zitakuwa huko sio shida.

Bond inawafaa zaidi waliopata fedha nyingi na wanaziweka utt ili faida yake itumike kuwalipa kiasi fulani kila mwezi. Ukiweka say 100m kwa mfano, utapata kila mwezi a bit over 1m, huku ile 100m yako nayo ikiongezeka kutokana na salio la faida linalobaki baada ya monthly payment.

Kwa hiyo katika bond sehemu kubwa ya faida unagawiwa monthly (au wengine huchagua kila miezi 6), na sehemu ndogo ya faida inayobaki hukuza mtaji.

Umoja hasa ni kwa ajili ya wapendao kusave kwa ajili ya future. Yaani kutokula faida au mtaji siku za karibuni. Unawafaa sana vijana na watu wa umri wa kati wapendao kusave kwa ajili ya uzeeni. Waweza kuingiza huko kiasi kila mara. Mfano wangu mimi nilianza na Umoja nikawa natumbukiza huko kila mara. Nilipostaafu nikaswitch kuingia mfuko wa Bond, ambako sasa napata kitu kila mwezi.

Naona by default anayeingia utt kama hajaspecify mfuko atakao wanamwingiza Umoja.
Mkuu hiyo bond , gawio la mwezi linaingia kwenye simu au Hadi muanze kupanga folen
 
Yan nmesoma mwanzo mwisho txt kalbia 250+...
Sas n muda wangu [emoji1320]

Mwanzo niliona kwa Mh Kigwangala alizungumzka hii issue ya UTT kupitia Twitter na nikaifatilia na baadae mpaka nikaenda CRDB...ingawa bado sikuelewa km nilivyo elewa leo hii

Yan uzi umechambliwa vzr sanaa ukiwa Na experience ndan yakeee

Yan kila kitu kimechambuliwa kutoka kweny nn maana aya UTT.

Jinc ya kununua vipande na mpapa sas namna ya
Faida na ongezeko la faida kwa sku aiseee [emoji120][emoji120]


Na kaka ulie kama kiongoz ubalikiwe sanaaaa
Share basi kitu ulichochambuliwa
 
Hivi navyoongea ndo natoka ofsi za UTT- Amis kufanya further inquiries juu ya uwekezaji huu.

Nimepata kufahamu mambo mengi japo mengine tayari yapo kwenye ufafanuzi mzuri wa ndugu yetu pmwasyoke lakini kuna mambo zaidi nimepata kujifunza na hapa nitaongeza mambo machache

1. Reliability ya uwekezaji; UTT-Amis ipo chini ya Wizara ya fedha kwa hiyo ni sem-government Organ. Hii binafsi imenipatia confidence zaidi ya kuweka kiasi kikubwa cha pesa.

2. Mifuko ya: Umoja, Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto na mfuko wa kujikimu inaunganishwa na soko la hisa hivyo faida yake huwa ina fluctuate

3. Mifuko ya ukwasi na Bond haiathiriwi na soko la hisa kwani mifuko hii haijaingizwa kwenye soko la hisa

4. Kutoa pesa kutoka ukwasi na bond inachukua siku 10

5. Wekeza maisha mwisho ni kwa watu wenye miaka 55 tu. Huu mfuko umeambatanishwa na bima ya maisha, ajali, ulemavu wa kudumu na gharama za mazishi

Kwa ujumla nimeona ni sehemu sahihi kwangu ya kuwekeza pesa.

NB: baada ya sherehe za idd nitaenda na wife tufungueView attachment 2208786
.

Nikishaweka mzigo wa 100M nitaleta mrejesho tena.
MFANO WEWE ULIONA NI MFUKO GNAI BORA KAMA UNA 40 mILLION?
 
Ndugu yangu Kimla kwa kiasi cha kuanzia million 10 kwenda mbele mfuko mzuri ni Liquid/Ukwasi.

Ufafanuzi wa faida kwa million 40 kwa mwaka siyo kama ulivyoonyesha hapo juu bali uko hivi; kwa mfuko huu mwekezaji unapewa 12% ya pesa yako kwa mwaka, sawa na 1% kwa mwezi.

Kwa hiyo 40,000,000/= kwa mwaka utapata kiasi hiki;

12/100= 0.12
0.4x40,000,000
=4,800,000/=

Kwa mwaka utapata 4.8M

Malipo yanafanyika kupitia account yako ya bank na kupata pesa inabidi ufanye request na pesa inaingia kwenye account ndani ya siku 10.
Basi huu Ni ujinga kwanini Wasiseti kama nataka malipo Kwa mwezi iwe inaingia automatically.

Yani hela ni hela yangu Hadi kila mwez niwe narequest tena hela itoke Kwa Siku 10 tena za kazi !
 
Basi huu Ni ujinga kwanini Wasiseti kama nataka malipo Kwa mwezi iwe inaingia automatically.

Yani hela ni hela yangu Hadi kila mwez niwe narequest tena hela itoke Kwa Siku 10 tena za kazi !

Kuna taasisi nyingine za kifedha, mfano bank ya Crdb ukiweka pesa wao malipo yanaingia kwenye account yako automatic kulingana na time scale utakayokuwa umechagua mwenyewe.

Wameanzisha mfuko unaitwa Mzigo Flex ambao wanatoa riba ya 9% kwa mwaka na pesa lazima iwe fixed kwa mda wa miaka 3.

Kama hutaki usumbufu huu wa utt-amis unaweza kuwekeza CRDB kwa riba hiyo ya 9% (binafsi sioni shida kwani kama pesa nataka iwe inaingia kwenye account kila tr1 basi kila tr 20 unafanya request)
 
Nina swali fikirishi wakuu,mfano nina milioni 10,nikaenda bank kukopa milioni 30,jumla nikawa na millioni 40......hii hela nikienda kuiweka UTT je faida ntakayopata si itakuwa sawa na makato nayokatwa bank? Ninachowaza gawio la UTT linilipie mkopo bank.
 
Nina swali fikirishi wakuu,mfano nina milioni 10,nikaenda bank kukopa milioni 30,jumla nikawa na millioni 40......hii hela nikienda kuiweka UTT je faida ntakayopata si itakuwa sawa na makato nayokatwa bank? Ninachowaza gawio la UTT linilipie mkopo bank.

Rafiki yangu clinician hilo wazo linaonekana zurj hata hivyo kwa bahati mbaya sana “mathematics” haitakubali.
Kwanza kabla ya kufanya hivyo ni lazima ujiridhishe na haya machache;
a) Bank utatakiwa kulipa pesa hiyo kwa riba kiasi gani- kumbuka UTT wanatoa riba ya 1% ya pesa yako kwa mwezi.
b) Lazima ujue mkopo huo utatakiwa kuulipa kwa mda gani.
Sina uhakika kama Tanzania bara kuna bank ambayo riba ya mkopo ni chini ya 1%- kama inawezekana basi unaweza kuchukua mkopo bank na kuweka utt ili wao wakulipie, sina uhakika na hilo hata kidogo otherwise, kila mtu angekuwa anafanya hivyo.
 
Rafiki yangu clinician hilo wazo linaonekana zurj hata hivyo kwa bahati mbaya sana “mathematics” haitakubali.
Kwanza kabla ya kufanya hivyo ni lazima ujiridhishe na haya machache;
a) Bank utatakiwa kulipa pesa hiyo kwa riba kiasi gani- kumbuka UTT wanatoa riba ya 1% ya pesa yako kwa mwezi.
b) Lazima ujue mkopo huo utatakiwa kuulipa kwa mda gani.
Sina uhakika kama Tanzania bara kuna bank ambayo riba ya mkopo ni chini ya 1%- kama inawezekana basi unaweza kuchukua mkopo bank na kuweka utt ili wao wakulipie, sina uhakika na hilo hata kidogo otherwise, kila mtu angekuwa anafanya hivyo.
Nashukuru kaka kwa shauri lako,nilitegemea faida ya UTT isitoshe kurejesha makato ya mkopo,ndio maana nikaona niongezee niongezee hela yangu cash ili kuziba hilo gap..Lakini nadhan bila details za mkopo ni ngumu kujadili kwa kina.Nitarejea ndugu yangu
 
Back
Top Bottom