Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,156
Nashukuru sana wadau wote mliochangia hapa. Nimepata Elimu niliyokuwa naitafuta kwa muda mrefu. Jamii forum ni jukwaa muhimu sana. Maxce mello uliyepata wazo la kuanzisha jamii forums barikiwa sana.
Soon naenda kuwa mwekezaji wa uttt baada ya biashara kadhaa nilizojaribu kwa kupata abcs humu humu kugundua haziendani na Mim.
Nadhani jamii forums inabidi ianze kupata ruzuku serikalini (just kidding) maana ni msaada mkubwa kwa wanaoitumia vizuri
Soon naenda kuwa mwekezaji wa uttt baada ya biashara kadhaa nilizojaribu kwa kupata abcs humu humu kugundua haziendani na Mim.
Nadhani jamii forums inabidi ianze kupata ruzuku serikalini (just kidding) maana ni msaada mkubwa kwa wanaoitumia vizuri