Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
- Thread starter
- #61
si wewe tu hata mimi piaNi utata hasa, ila me sikupenda kwakwel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si wewe tu hata mimi piaNi utata hasa, ila me sikupenda kwakwel.
Superfly
Bloodshot
Underground
The death cure
Mwanzo nilifikiri hivyo ila sio, dogo alikua anaona blur image kama vile jamaa alivyokua anaona wakati akimkumbuka mwanaye aliyefariki so ni kama dogo naye imemtokea ile hali baada ya jamaa kufariki.Kama umenote kitu mwisho wa movie wakati yule dogo yuko kwenye pool starring hajafa,stay tuned
Itafute mkuu, bonge moja la action movie. Am sure utaipenda
The last ship series
2. Kingsman 2
3.merlin season
4. Prison break
Sent using Jamii Forums mobile app
Single ladies, kila episode unaenjoy.Spartacus ingeendela,
Wrong Turn kimyaa,
Van Helsing miss u,
Dracula untold bado sijakata tamaa,
Interview with a vampire daah wajitokeze wana waipige part two,
Single ladies nimemiss machachari ya Keisha,
Secret Circle sio fair kabisa kutuacha njia panda.
Sorry nimemix movies na series.
HIII NILIONaga tu kwa jamaa flani ila sikuitilia mkazo vipi nayo ni kisanga?Terminator: Dark Fate
Ilitoka season moja pekee, itafute halafu rudi nijibu. View attachment 1471501View attachment 1471502ehhh na hii?
Acha tu, niliipenda zaidi season one,Single ladies, kila episode unaenjoy.
hivi ni kwa nini wanatuachia majonzi hivi hawa jamaa😖😖Spartacus ingeendela,
Wrong Turn kimyaa,
Van Helsing miss u,
Dracula untold bado sijakata tamaa,
Interview with a vampire daah wajitokeze wana waipige part two,
Single ladies nimemiss machachari ya Keisha,
Secret Circle sio fair kabisa kutuacha njia panda.
Sorry nimemix movies na series.
Hasa series ndio tunaonewa mnooo,hivi ni kwa nini wanatuachia majonzi hivi hawa jamaa[emoji37][emoji37]
hizi movie zimenifanya mpaka nisahau kuwa bongo nako kuna bongo movie 😀 😀 sikumbuki kbsa mara yangu ya mwisho kuzichekiHasa series ndio tunaonewa mnooo,
[emoji24][emoji24]
My favorite Captain,ki ukweli ktk muvi hii jamaa wametuacha na maswali meng bila wao kujijua. vipi na hiki chuma cha pirate of the caribbean ushakimulika ?
Ukizama kwenye Hollywood movies, hata Wakorea utawaona miyeyusho hao Bongo movie sijui hata kama bado wana act.hizi movie zimenifanya mpaka nisahau kuwa bongo nako kuna bongo movie 😀 😀 sikumbuki kbsa mara yangu ya mwisho kuzicheki
JACK alionekana man of the match kila kukicha hata will analijua hilo.My favorite Captain,
Johnny Deep was born to be a Jack Sparrow no body can replace him,
Kama ambavyo Angelina Jolie alivyozaliwa kua Maleficent,
Lol.