Je, ni nini lengo la ziara ya Ghafla ya Paul Kagame hapa Tanzania 27-04-2023?

KUNA MENGI UMEONGEA POINTI ILA MACHACHE UMEWEKA USHABIKI WA KISIASA.HAKUNA NCHI DUNIANI ISIYOPENDA USHARIKA NA MAREKANI SABABU KIJESHI KUNA FAIDA YAKE NA MAREKANI ITABAKI SUPER POWER SIKU ZOTE WATU WAPENDE WASIPENDE UKWELI NDIO HUO NA YANAYOTOKEA UKRAINE YALIWAHI KUTOKEA AFGHANISTAN CHINI YA USSR HAKUNA JIPYA MKUU.NI KWELI CHINA NA URUSI ZINAJITAHIDI KUTAFUTA WASHIRIKA ILA KINACHOWAANGUSHA NI UCHUMI WAO USIOTABIRIKA NA SOCIAL INTEGRATION NA MIGRATION POLICY ZA NCHI ZAO.....KUHUSU KAGAME NI KWAMBA ANAMSHAWISHI MAMA SAMIA ASIKUBALI USHAWISHI WA MUSEVENI ILI MABAKI YA (FAR) WAWEKE KAMBI ZAO TANZANIA NA UGANDA HAKUNA JIPYA MKUU.
 
Nikiona mtu anaandika maandishi kwa herufi kubwa automatic mtu huyo dish limeyumba
 
MKUU NILIDHANI WEWE MCHAMBUZI MKONGWE WA SIASA ZA DUNIA KAMA SISI WADAU.......KUMBE BADALA YA KUSOMA MAONI UNATUKANA......BASI HAINA HAJA YA MIMI KUCHANGIA ULICHOANDIKA
Ukipewa ushauri acha kushupaza shingo. Kuandika maandishi yote kwa herufi kubwa ni ushamba na unaonekana kama mtoto wa shule ya msingi.
 
Mkuu Hao FAR ni nani?
 
Ukipewa ushauri acha kushupaza shingo. Kuandika maandishi yote kwa herufi kubwa ni ushamba na unaonekana kama mtoto wa shule ya msingi.
MKUU UMESOMA NILICHOANDIKA AU WEWE SIO MCHAMBUZI WA SIASA ZA DUNIA BALI NI MSHABIKI WA SIASA ZA DUNIA???????SOMA KILICHOANDIKWA KWANZA AFU NDIO UTOE MAONI AU KEJELI HAKUNA SHIDA KATIKA HILO.
 
MKUU UMESOMA NILICHOANDIKA AU WEWE SIO MCHAMBUZI WA SIASA ZA DUNIA BALI NI MSHABIKI WA SIASA ZA DUNIA???????SOMA KILICHOANDIKWA KWANZA AFU NDIO UTOE MAONI AU KEJELI HAKUNA SHIDA KATIKA HILO.
Mzee andika kwa herufi za kawaida. Ukiandika kwa herufi kubwa hata content uliyoiweka inakuwa haina maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…