Je, ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi?

Je, ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi?

Uzungu ukizidi sana hasa kwa mazingira yetu ya kiafrika kifuatacho Ni majanga
 
Kwanini

?
Fikiria umetoka Dar unaelekea mbeya vijijin, ukifik Mbeya inatakiwa ulale gest halafu upo na mwanao wa miaka 6 au 7.
Hata kama utamchukulia ni mwanao ila macho ya watu watakuwekea viulizo.

Kimsingi mwanao ni sawa na dada yako sidhani kama utapata matamanio.
 
Kuna kijana miaka around 22 alibaka mtoto miaka mi 3-4 na jamaa Ni Yuko timamu kbs Sasa Kama sio ibilisi Ni nini[emoji3][emoji3][emoji3]
Ibilisi alimshikilia mkia sema wengine ni wajinga bhna na mental problem
 
Back
Top Bottom