BabuMkubwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 2,417
- 3,590
Wana umri ganiKuna jamaaa kapanga chumba kimoja analala na dada yake mama mmoja baba mmoja! [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana umri ganiKuna jamaaa kapanga chumba kimoja analala na dada yake mama mmoja baba mmoja! [emoji1787]
Kabisa niliona mtu ametoka kigoma na mtoto wa kike anaenda zanzibar kwenye mwendokas ana angaika na mizigo wakamuuliza mama yake yupo wapi wa huyu mtoto ana cheka tuFikiria umetoka Dar unaelekea mbeya vijijin, ukifik Mbeya inatakiwa ulale gest halafu upo na mwanao wa miaka 6 au 7.
Hata kama utamchukulia ni mwanao ila macho ya watu watakuwekea viulizo.
Kimsingi mwanao ni sawa na dada yako sidhani kama utapata matamanio.
Kajinga wewe 😂😂😂Too late nilishaisevu.
Watu wazima kama miaka 24+Wana umri gani
Kwa hiyo akiitoa huko huku hatustahili kuona....? Acha ujuajiUmeitoa Facebook hii maada na picha kwenye page ya hello..me naona haifai kwa sababu kichwa cha chini hakina akili hata moja
Sijawahi aisee hapana hii sio sawaHello
Naomba kujua ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi kama mama yake hayupo kwa mazingira ya sasa hivi?
View attachment 2436803
Hakuna mchaga aliyepungukiwa na akili namna hiyo amuache mtoto bila kuwepo muangalizi wa kikeNo sijawai kuwa na acccount fb naonaga mtandao wa wanafunzi wa sekondari na waswahili kuna jirani yetu hapa nasikia analala na bint yake mama yake kaenda kwao kusalimia uchagani
Waozeshe mkuuWatu wazima kama miaka 24+
Upuuzi sasa 😂😂Mhmhmh hapana. Siwezi. Akiwa below 5 naweza. Ila zaidi ya hapo akalale mwenyewe na wenzake.
Nalala uchi, ageuke anishike dudu tena lenye mavuzi?
Mama yake akishika nasisimka.Upuuzi sasa 😂😂
Kuna jamaaa kapanga chumba kimoja analala na dada yake mama mmoja baba mmoja! [emoji1787]
Mzee binti Miaka 12 si mkubwa huyu?Yes with no doubt mi naweza kabisa kulala na binti yangu,ila akiwa chini ya miaka 12..yaani akiwa bado mtoto coz binti akishakuwa anahitaji faragha zaidi na muda wa kuwa na mama yake kuliko baba.
Mzee binti Miaka 12 si mkubwa huyu?
kwa ulaya ni sahihi ila kwa afrika sio sahihi kabisa.Hello
Naomba kujua ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi kama mama yake hayupo kwa mazingira ya sasa hivi?
View attachment 2436803