Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Sijawahi kukuona Kwenye jukwaa tofauti na la siasa😅🧢Hakuna ubaya baba mzazi kulala kitanda kimoja na binti yake from mdogo up to 6 years, akianza primary, anakuwa sasa ni mkubwa, hivyo hana sababu ya kulala na dady.
P
Nilitaka kuandika hivi, umeniwahiSasa huyo ni binti au mtoto,Wafrica tunakuza mambo sana.
Na niny muna muangalia tyKuna jamaaa kapanga chumba kimoja analala dada yake mama mmoja baba mmoja! [emoji1787]
Si mnasemaga kalale na dady wewe gKulala aje?? Na kwanin alale na baba yake si akalale chumba kingine cha kwake
[emoji1787][emoji1787]Sasa tufanyeje tumpangie Cha pili au tumpokonye dada??Na niny muna muangalia ty
Mchapeni makofi[emoji1787][emoji1787]Sasa tufanyeje tumpangie Cha pili au tumpokonye dada??
Karibu sana mitaa hii Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. na Enyi Waume Wapendeni Wake Zenu!-Wife Kanirudia Saa12:00 Asubuhi!-Bado Nampenda! na Anatomical Question on Squirting: Why Only Some and Why So Much Fluid!.Sijawahi kukuona Kwenye jukwaa tofauti na la siasa😅🧢
Kuna siku nitakuja kutoa shuhuda ya ilo unalo sema ni lishuhudia[emoji1787][emoji1787]Sasa tufanyeje tumpangie Cha pili au tumpokonye dada??
Lete mamboKuna siku nitakuja kutoa shuhuda ya ilo unalo sema ni lishuhudia
Ni story ndefu sana inatoka uko uparen nilistaajabu samaLete mambo
Hila now days mnawaendekeza watoto wa kikechini ya miaka mitano hakuna tatizo ni kwa usalama pia.
Kuna kijana miaka around 22 alibaka mtoto miaka mi 3-4 na jamaa Ni Yuko timamu kbs Sasa Kama sio ibilisi Ni nini[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unanifurahishaga chalii
Kama huyo binti amekwisha vunja ungo sio sahihi kabisaHello
Naomba kujua ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi kama mama yake hayupo kwa mazingira ya sasa hivi?
View attachment 2436803
Too late nilishaisevu.Hello
Naomba kujua ni sahihi binti kulala na baba yake mzazi au mlezi kama mama yake hayupo kwa mazingira ya sasa hivi?
View attachment 2436803
Fikiria umetoka Dar unaelekea mbeya vijijin, ukifik Mbeya inatakiwa ulale gest halafu upo na mwanao wa miaka 6 au 7.Kwanini
?
Ibilisi alimshikilia mkia sema wengine ni wajinga bhna na mental problemKuna kijana miaka around 22 alibaka mtoto miaka mi 3-4 na jamaa Ni Yuko timamu kbs Sasa Kama sio ibilisi Ni nini[emoji3][emoji3][emoji3]