Je, ni sahihi kumwambia mkeo kiasi cha mshahara wako?

Je, ni sahihi kumwambia mkeo kiasi cha mshahara wako?

hapo nimekuelewa sas
Ndio ni sahihi kumwambia mkeo halali wa ndoa mshahara wako kwa sababu kutapunguza malalamiko juu ya mahitaji ambayo yako juu ya mshahara wako, ikiwa ni mke mwenye busara itakuwa rahisi kukaa na kupanga matumizi pamoja, na kwa kuwa umekuwa mkweli anaweza naye akachangia kwa kadri anavyoweza au itakuwa rahisi kumshawishi vipato vyenu mvipange pamoja. Ukweli tu wa kipato chako utakuweka huru. Kwa kuwa mwanamume unatakiwa uishi na mkeo kwa akili.... mapato mengine nje ya mshahara ni siri yako!!!
 
Ndio ni sahihi kumwambia mkeo halali wa ndoa mshahara wako kwa sababu kutapunguza malalamiko juu ya mahitaji ambayo yako juu ya mshahara wako, ikiwa ni mke mwenye busara itakuwa rahisi kukaa na kupanga matumizi pamoja, na kwa kuwa umekuwa mkweli anaweza naye akachangia kwa kadri anavyoweza au itakuwa rahisi kumshawishi vipato vyenu mvipange pamoja. Ukweli tu wa kipato chako utakuweka huru. Kwa kuwa mwanamume unatakiwa uishi na mkeo kwa akili.... mapato mengine nje ya mshahara ni siri yako!!!
Ni vyema ukamjua mtu unayeishi naye,kuna mwingine 1M anaona kama unamiliki uchumi wa mchi,hiyo hiyo atakuoangia matumizi mpaka uchoke,ukimwambia sina hakuelewi.
 
Ni vyema ukamjua mtu unayeishi naye,kuna mwingine 1M anaona kama unamiliki uchumi wa mchi,hiyo hiyo atakuoangia matumizi mpaka uchoke,ukimwambia sina hakuelewi.
Nafikiri hadi umeamua kuingia naye kwenye ndoa, umeshamjua nje ndani.... ila kama ulifuata pesa zake au hali yake bila kumjua itakula kwako na tatizo ndipo linapoanzia..... kuoa usiemjua.
 
Je, nisahihi kumuambia mkeo mshahara wako au kumuonyesha salary slip yako?

Na je, mliowaambia wake zenu hali ikoje walichukuliaje baada ya kujua kiasi unachopata?
Kwani mzee mkeo ulipomuoa ulimdanganya unapokea million 10 wakati unapokea laki tano?

Na kwanini unahisi mke atashangaa kuona mshahara wa mumewe kama ni mkubwa au mdogo,kwani yeye alifata nini hapo kwako,mshahara ama alifata maisha ya kuanzisha familia?ni kosa kubwa kumdanganya mwanamke unayetaka kuanzisha nae maisha ya kudumu.
 
Je, nisahihi kumuambia mkeo mshahara wako au kumuonyesha salary slip yako?

Na je, mliowaambia wake zenu hali ikoje walichukuliaje baada ya kujua kiasi unachopata?

Kumwambia mkeo au mumeo inategemea na uwezo wake wa akili wa kupambanua mambo
Mke au Mume ambaye kichwa chake ni kutafuta maendeleo/kuchakarika, ni haki yake kujua kipatochako
Ila wale wengine wa kula out, kuvaa, na mitoko.........usidhubutu.....
 
Ndio ni sahihi kumwambia mkeo halali wa ndoa mshahara wako kwa sababu kutapunguza malalamiko juu ya mahitaji ambayo yako juu ya mshahara wako, ikiwa ni mke mwenye busara itakuwa rahisi kukaa na kupanga matumizi pamoja, na kwa kuwa umekuwa mkweli anaweza naye akachangia kwa kadri anavyoweza au itakuwa rahisi kumshawishi vipato vyenu mvipange pamoja. Ukweli tu wa kipato chako utakuweka huru. Kwa kuwa mwanamume unatakiwa uishi na mkeo kwa akili.... mapato mengine nje ya mshahara ni siri yako!!!
I second you. Kama umeoa MKE kumwambia ni kheri zaidi kuliko kutokumwambia ila kama umeoa MWANAMKE ndg usithubutu.
 
Ndivyo unavyotakiwa kufanya kwa Mke wako wa ndoa!
Na baada ya kumwonyesha unapaswa kupanga bajeti pamoja naye.
Ukifanya hivyo Mkeo atakuamini na atakuwa Mwangalifu katika matumizi ya fedha!
Mimi ndivyo navyofanya! Tunaenda benk ku draw pamoja na ndiye anayeshika mkoba na Mimi kadi.
Tuna amani sana na mke wangu! Ugomvi tunausikia kwa majira.
 
Ndivyo unavyotakiwa kufanya kwa Mke wako wa ndoa!
Na baada ya kumwonyesha unapaswa kupanga bajeti pamoja.
Ukifanya hivyo Mkeo atakuamini na atakuwa Mwangalifu katika matumizi ya fedha!
Mimi ndivyo navyofanya! Tunaenda benk ku draw pamoja na ndiye anayeshika mkoba na Mimi kadi.
Tuna amani sana na mke wangu! Ugomvi tunausikia kwa majira.
Mashaallah!
 
Mshahara nauo ni kitu ya kuficha ...wa hivo huwa wanapigwa na kitu kizito..wanaozunguka nyuma ya migongo ya wake zao wanaenda kununua viwanja vya urithi vyenye migogoro kwa kukwepa ushauri wa wake zao mwisho wa siku vinabuma..nshirikishe mkeo kwa kila kitu hata kama ni kilaza si ulimchagua ww bila shuruti ukiamini utajenga nae maisha sa iweje kumbagua katika maamuzi..waliofanikiwa wako sambamba na wake zao kushare na kushauriwa
 
Back
Top Bottom