cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiAs a wife, sitaki kuambiwa. Nahofia nisije kuwa na huruma ninapotuma invoice zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiiAs a wife, sitaki kuambiwa. Nahofia nisije kuwa na huruma ninapotuma invoice zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3105520
Kwa Slip kama hii naanzaje kumficha mwandani/mahbuba/Kipenzi changu...?[emoji23]
Ananuka madeni😂ahahaha kazi kazi w
alimu poleni sana duh
Hapana kwakweli. Wanaume wameumbiwa mateso.Ukijua si inakuwa vizuri kutuma invoice kulingana na uwezo wa mhusika
Ananuka madeni😂
utaki kutupunguzia hayo matesoHapana kwakweli. Wanaume wameumbiwa mateso.
Huyu namwambiaga.kama shemeji yetu yule
alafu utahonga nini sasa
uupo vzr sana kakaHuyu namwambiaga.
Wala sitaki kujua mshahara wa mtu.
ewaaaaUnamwambia tuu. Yeye anachotakiwa kuangalia ni kwamba huduma zote anapata
As long as kila kitu kiko sawa nyumbani sina haja ya kujua. Mwenyewe hata haulizi napata kiasi ganikwanini
ujataka kumuambia head of familyAs long as kila kitu kiko sawa nyumbani sina haja ya kujua. Mwenyewe hata haulizi napata kiasi gani
kwahiyo mke akawa anapang matumiziKuna jamaa mmoja aliniambia kati ya kosa alilolifanya ni kumuambia mkewe mshahara wake.
Anataka kujua kila senti inapoenda, na akimuambia hana anamwambia hela zako umehonga. Ila mwanamke ana shughuli zake na hachangii hata mia nyumbanikwahiyo mke akawa anapang matumizi
Ili iweje. Yeye mwenyewe hataki kujua.na
ujataka kumuambia head of family