Kama huyo ni mkeo halali na mmefunga ndoa kidini na kisheria, maana yake mshahara wako anao uhalali wa 100% sio tu kuujua hata kuuchukua na kuupangia matumizi.Je, nisahihi kumuambia mkeo mshahara wako au kumuonyesha salary slip yako?
Na je, mliowaambia wake zenu hali ikoje walichukuliaje baada ya kujua kiasi unachopata?
ambao ni mauti..π€£Labda mshahara wa dhambi
Aaaah wapisina mshahara bhna
naw weee utaki?Aaaah wapi
Kama huna mshahara ni ngumu kuanzisha mada ya mshahara kwa hiyo hii ni chai ππnaw weee utaki?
Ukipata mwanamke kichwa ni ruksa kumwambia mshahara akiwa na akili nidhamu NUNUA HATA KUKU (JOGOO) MPE AENDEE KWA MGANGA KUKUTULIZA KAMA HAUJATULIA.Je, nisahihi kumuambia mkeo mshahara wako au kumuonyesha salary slip yako?
Na je, mliowaambia wake zenu hali ikoje walichukuliaje baada ya kujua kiasi unachopata?
sina mshahara mmKama huna mshahara ni ngumu kuanzisha mada ya mshahara kwa hiyo hii ni chai ππ
kama shemeji yetu yuleUkipata mwanamke kichwa ni ruksa kumwambia mshahara akiwa na akili nidhamu NUNUA HATA KUKU (JOGOO) MPE AENDEE KWA MGANGA KUKUTULIZA KAMA HAUJATULIA.
Ila wanawake wavaa vikuku, vipini kitovuni, watoboa pua, waweka breach kichwani,singomaza,mwanamke mlevi, Malaya usiwaonyeshe kipato
Ngoja nikuamini tu ππsina mshahara mm
Umwambie usimwambie ile budget unaacha kwa mwezi msosi, school bus, pampers, uber, pocket money, kibubu cha family, emergency.. apo hujasema maji, umeme, michango harusi, outings, mavazi familia nzima, school fees, hospital etc havimuhusu kwa namna yoyote ile! Your life speaks for itfself.
atajua tu huyu nigga anachezea 6 digits au 7 digits na kuendelea..
Ngoja nikuamini tu ππ
alimu poleni sana duh
kSio mshahara tu, haruhusiwi kujua hata kazi unayofanya
Ukijua si inakuwa vizuri kutuma invoice kulingana na uwezo wa mhusikaAs a wife, sitaki kuambiwa. Nahofia nisije kuwa na huruma ninapotuma invoice zangu.