Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita?

Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita?

Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Kiukweli huu ni ushamba tuu na kuwatesa bure wananchi bila sababu ya Msingi!.

P
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Ndivyo ilivyo hapa Tzn ila askari wa huko ni washamba masaa yote hayo?
 
wewe ukiona wanakuchomesha mahindi tanua uwahi,polisi wengi hawajui sheria na hawajasoma wala akili hawana.

unakaaje barabarani masaa 4 wakati kuna sehemu muhimu unawahi kufanya mambo ya maana??
Huyu kazaliwa leo hajua ulinzi wa viongoz
 
Ni kweli Adv.Mayala, ni matokeo ya kuishi in a police state, msafara wa Zambian president hauzidi 4 cars, na hauzuii magari mengine hapo Cairo road kuendelea na shughuli zao, nao kimya kimya upo ndani ya traffic jam!!!
🤣🤣🤣
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Sio sahihi, ni huku nchi mikundu tu ndio kuna hayo mambo.
 
Kenya walishahama huko muda mwingi viongozi hutumia helcopter za jeshi msafara hubakia eneo la tukio tu, viongozi wa Tanzania kwa mwaka misafara yao yote inapoteza muda mwingi wa uzalishaji mali kwa wananchi na hivo misafara yao huchangia umaskini wa watanzania, wajitafakari dunia imebadilika kujifanya miungu watu ni ujima wa hali ya juu
 
Wapande helicopter
Mkifahamu scenario ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu utawala wa Nyerere, bwana Edward Moringe Sokoine, hakika hizi lawama zote mtazifuta, huwezi kufananisha viongozi top wa kitaifa na katibu wa kitongoji.
 
Moja kati ya dalili nyingi kuthibitisha sisi viongozi wetu ni vilaza na wajivuni moja wapo ni hapa.

Hawajali kabisa kitu kinaitwa muda.. Mnaweza kuzuiwa kupita, wakati mtu ndio kwanza anapiga cha mwisho kwa mkewe hata kuoga hajaoga, matokeo yake ni masaa kibao mnapoteza, masaa mawili ni mengi mnooo
 
Ni uzembe wa paka. Wanaweza kufanya timing vizuri ili magari yasisubiri kwa muda mrefu.
Mimi naishi hapa karibu kwa Mwinyi na Kikwete.
Hawa waheshimiwa wanapotoka na kurudi traffic wanapewa notisi ya dakika moja au mbili,( literally)wanasimamisha magari.
 

Ni uzembe wa paka. Wanaweza kufanya timing vizuri ili magari yasisubiri kwa muda mrefu.
Mimi naishi hapa karibu kwa Mwinyi na Kikwete.
Hawa waheshimiwa wanapotoka na kurudi traffic wanapewa notisi ya dakika moja au mbili,( literally)wanasimamisha magari.
Well mkuu, ila swali why wapewe upendeleo huu?why wasiwe kwenye traffic jam kama motorists wengine?,awamu ya kwanza ni president, vice president, PM na labda SG wa Chama tawala ndio walikua na misafara na haizidi 3 cars, mara nyingi msafara wa president Nyerere (rip)ulikua unapita kimya kimya, au una flash tu ile blue lights (na hizi blue lights zilikua ni kwa police cars only!!!,Leo bajaji nazo zina flush blue lights!!)
 
Back
Top Bottom