Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita?

Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita?

Well mkuu, ila swali why wapewe upendeleo huu?why wasiwe kwenye traffic jam kama motorists wengine?,awamu ya kwanza ni president, vice president, PM na labda SG wa Chama tawala ndio walikua na misafara na haizidi 3 cars, mara nyingi msafara wa president Nyerere (rip)ulikua unapita kimya kimya, au una flash tu ile blue lights (na hizi blue lights zilikua ni kwa police cars only!!!,Leo bajaji nazo zina flush blue lights!!)
mambo yaenda yakiongezeka, enzi za Nyerere sikumbuki kama Mama Maria alikuwa na gari na msafara, Mama Sitti akapewa gari, Mama Mkapa magari mawili na traffick!, Mama Salma magari 3 na traffick!. Sasa Mama Janet sijui, ila mialiko yote ya 1st lady wa Tanzania, anakwenda Salma mpaka leo!.

Sasa zaidi ya wale wakuu 6,
  1. Rais wa JMT
  2. VP
  3. PM
  4. Rais za Zanzibar
  5. VP-1
  6. VP-2,
  7. Spika nae ana msafara!.
  8. CJ ana msafara!
  9. CDF ana msafara!
  10. DGIS ana msafara!
P
 
JK
Mwinyi
Mabalozi wa baadhi ya nchi
Mkuu wa Majeshi
Rais wa Zanzibar
Makamu wa Rais wa Zanzibar
Waziri Kiongozi wa Zanzibar
Vipi kuhusu supika wa bunge na lijaji likuu hawamo kwenye oradha?
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Viongozi wenyewe ni wale walioingia madarakani kwa wizi wa kura, mafisadi.
 
Mkifahamu scenario ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu utawala wa Nyerere, bwana Edward Moringe Sokoine, hakika hizi lawama zote mtazifuta, huwezi kufananisha viongozi top wa kitaifa na katibu wa kitongoji.
Mbona Magufuli akiyelindwa na vifaru na helicopters kada?
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Mazoea yasiyo na mantiki
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Mazoea yasiyo na mantiki
 
Moja ya vitu vinavyonichukiza sana ni hili.

Juzijuzi nikiwa naelekea mjini tulisimamishwa pale Selander Bridge kama nusu saa hivi tena Jumapili ambayo hakukuwa hata na foleni.

Nilighadhibika sana, baadae huo msafara ukitokea njia ya Muhimbili umefika pale kwenye mataa, ukakunja kushoto kama unaelekea Mwenge. Nikasema kwa nini sisi tuliokuwa tunakwenda mjini tulisimamishwa pale maana ni wazi traffic polisi walikuwa wanajua njia ya ule msafara.
 
me sina usafiri wowote ila huwa natumia usafiri aisee hamna kitu kinaniboaga kama hiyo issue asee, yaani dah! watu wanajipa umuhimu kuliko uhalisia asee mnaweza kuwekwa pending masaa kibao alafu wanakuja anapita duanz mmoja ambae hata anachokifanya hakionekani asee inatia hasira sana
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Ni sahihi kwa Tanzania ila kwa Kenya huenda hairuhusiwi
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

...... tunekaa almost 2 hrs kusubir nabado hajapita huu ni kujifanya mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia huu ni utumwa wa kifikra.
Siyo kwa viongozi tu hata mwenge! Sisi tulisimamishwa kwa saa tatu Misungwi kupisha mwenge ukitokea Mwanza!
 
Ile wanamaliza kupita tu unga nyuma Yao Kama unawafukuzia kuonesha ulikuwa una haraka, Hawa umuhimu na sio issue kubwa.
Usipuuzie huu ushauri wa Manchurian Candidate.
 
Je, ni sahihi kusimamisha magari barabarani ili kusubiri kiongozi kupita hii leo niko eneo la songwe airport ili kusubiri waziri mkuu apite hii imekaaje wana Jamiiforums.

Tunekaa almost 2 hrs kusubir na bado hajapita, huu ni kujifanya Mungu mtu na yeye pia jambo hili analifurahia; huu ni utumwa wa kifikra.


ni heshima tu, kama ambavyo baba yako akiingia ndani unasimama
 
Back
Top Bottom