anonymous_blue
Member
- May 7, 2017
- 45
- 58
Jamani naombeni msaada juu ya hili swali. Baba mzazi kumnunulia binti wake pedi hii imekaa sawa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Limekaa sawa kwani tatizo ni nini? Otherwise kama una ishu zako zingine nyuma ya paziaJamn naomben msaada juu ya hili swali. Baba mzazi kumnunulia binti wake pedi hii imekaa sawa kweli? [emoji2371]
Kwa mila za kiafrika sio sahihi.. Hana mama? Hana ndugu wa kike?Jamn naomben msaada juu ya hili swali. Baba mzazi kumnunulia binti wake pedi hii imekaa sawa kweli? [emoji2371]
Kwa Mila za kiafrica hata watoto kike ilikua hawatakiwi ku-share vyoo na Wazazi wao.Kwa mila za kiafrika sio sahihi.. Hana mama? Hana ndugu wa kike?
Baba anatakiwa awajibike kwa asilimia zote kwenye gharama za pedi..lakini kununua hilo jukumu ni la mhusika.Jamn naomben msaada juu ya hili swali. Baba mzazi kumnunulia binti wake pedi hii imekaa sawa kweli? [emoji2371]
Kila mila bila kujali ni ya wapi ina mazuri na mabaya yake.. Hakuna mila iliyo kamilifu kwa asilimia 100Kwa Mila za kiafrica hata watoto kike ilikua hawatakiwi ku-share vyoo na Wazazi wao.
Kwa Mila za kiafrica hata ukeketaji ilikua Ni Jambo bora.
So bado sijajua Mila za kiafrica Ni Nini.
Apewe ela ya matumiz binafs akajinulie mwenyeweshida iko wapi????
mnataka anunuliwe na nani???
acheni kuongeza ugumu wa maisha!!!!
Ni sahihi lakini inategemea jumuia inayo Wazungu ka. Kuna jumuia hata kama mtoto hana mama au bibi kuna wanawake wakubwa watachukua hilo jukumu.
In case of emergency je?????Apewe ela ya matumiz binafs akajinulie mwenyewe
Mkuu ni vzur ukanunua box zima na kumkabdh shemj utakuw umemalza tatzoJamani naombeni msaada juu ya hili swali. Baba mzazi kumnunulia binti wake pedi hii imekaa sawa kweli? [emoji2371]