Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu paka Tbc mmhHata TBC baada ya muda nayo wanakata
Unachanganya hizo ni FTA channels na kwa kanuni zilizopo TCRA zinapaswa kuwa bure. Na bahati mbaya waziri Nape siku za nyuma aliwaaminisha watu kuwa hizo ni bure.Mbona mnapenda Bure sana ??! Hamjui hata vituo mnavyoviangalia vinaandaliwa kwa gharama na hawa DSTV nao wanauziwa hizo channel ?!
HahahhaahMimi hata TBC huwa inakata
Ndiyo hivyoMkuu paka Tbc mmh
DSTV Tanzania wana hela ya kuwalipa TFF? na ikitokea wamewalipa wanaweza kuwa na gharama ya chini kama Azam?Mie namshauri Nape awape kibali DSTV nao warushe mpira ligi ya bongo
Huenda mimi ndio sielewi basi nielimishwe, lakini kwa upeo wangu mdogo ninavyojua mimi hizo channel ITV, eatv, clouds na channel ten ni FTA channels sasa inakuwaje kifurushi cha Dstv kikiishia wanakuachia Tbc peke yake?
Mimi nina king'amuzi pia cha Star times hawa air time ikikuishia free channel zote zinabaki na unaangalia kama kawaida, sasa iweje Dstv inakata free channels?
Mheshimiwa Nape Nnauye kuli wewe tupo pamoja hapa JF kitambo tu tunakuomba ulipokee hili na ulifanyie kazi haraka, tusilazimishane hela za kula kununua vifurushi.
Kifurushi kikikata kama bajeti hairuhusu then uwe na access ya local free channel basi ili uchague taarifa ya habari uangalie wapi.
Sijawataja Wasafi hapo kwa sababu najua Wasafi ni channel ya kulipia, siyo free channel.
Wapi wanauza Decoder bila dishNdo kilichopo, ununua tu Decoder ya Azam, dish lile lile tu la DSTV.
😝😝😝😝Kwanini umeamua kuwa mjinga?
Mbwembwe nyingi zilitumika kuaminisha watu kuwa hizi ni FTA Channels..... Halafu Waziri mwenyewe ndo alitumika kututapeli.
Zinapatikana ila kifurushi kikiisha nazo zinakata, haipaswi kuwa hivi, hizi ni local channels wanapaswa kuziacha hata kifurushi kikiisha.
Sijui umeelewa sasa?
Kwa Star TV ni ishu kubwa lakin kwa Multchoice DSTV ni ishu ndogo sanaunadhani kurusha ligi ni ishu ndogo.
Unalinganisha DSTV na ITV nini? Sidhani kama unaifahamu kampuni ya DSTVDSTV Tanzania wana hela ya kuwalipa TFF? na ikitokea wamewalipa wanaweza kuwa na gharama ya chini kama Azam?
Maana ili uone UEFA gharama yake ni zaidi ya kisimbuzi kipya full kit ya DSTV
Aliyeziondowa alikuwa Dr Mwakyembe, wewe wahi zamu ya kulinda kaburi Chato.
Yule Dr mpuuzi Mwakyembe alikata hadi redio station kusoma magazeti kurasa za ndani waishie front page tu.
Awamu ya tano ilikuwa ni serikali ya mashetani yalioongozwa na Lucifer mkuu Pombe waliotamani Tanzania tuishi kama North Korea.
Tunamshukuru mama sasa anaifunguwa nchi, hata hili naamini litafanyiwa kazi.
uzaa dstv nunua unachoweza, hacha kulialia... wakiona wateja wamepungua watafunga ofisi au wata jitathimini kuboresha huduma...
mkulima kala mbegu