Je, ni sahihi kwa DSTV kuziweka ITV, EATV, Clouds TV na Channel Ten kwenye chaneli za kulipia?

Je, ni sahihi kwa DSTV kuziweka ITV, EATV, Clouds TV na Channel Ten kwenye chaneli za kulipia?

DSTV king'amuzi bora kabisa,huwezi linganisha na king'amuzi chochote,kama hujawahi tumia huwezi jua ubora wake...mkuu lipia hata 9900,upate na hizo local channel.
 
Kwani washazipiga chini, last time i checked zilikuwa free hata kifurushi kikikata...
 
Huenda mimi ndio sielewi basi nielimishwe, lakini kwa upeo wangu mdogo ninavyojua mimi hizo channel ITV, eatv, clouds na channel ten ni FTA channels sasa inakuwaje kifurushi cha Dstv kikiishia wanakuachia Tbc peke yake?

Mimi nina king'amuzi pia cha Star times hawa air time ikikuishia free channel zote zinabaki na unaangalia kama kawaida, sasa iweje Dstv inakata free channels?

Mheshimiwa Nape Nnauye kuli wewe tupo pamoja hapa JF kitambo tu tunakuomba ulipokee hili na ulifanyie kazi haraka, tusilazimishane hela za kula kununua vifurushi.

Kifurushi kikikata kama bajeti hairuhusu then uwe na access ya local free channel basi ili uchague taarifa ya habari uangalie wapi.

Sijawataja Wasafi hapo kwa sababu najua Wasafi ni channel ya kulipia, siyo free channel.
Ndio mtajua hamjui..
 
Kwani washazipiga chini, last time i checked zilikuwa free hata kifurushi kikikata...
Ndio imenishangaza hata mimi, last time ni kweli local nilizipata baada ya air time kuisha, lakini this time naona wameacha Tbc peke yake.
 
Startimes mbona kwangu pia zinakata kifulushi kikihisha
 
Aliyeziondowa alikuwa Dr Mwakyembe, wewe wahi zamu ya kulinda kaburi Chato.

Yule Dr mpuuzi Mwakyembe alikata hadi redio station kusoma magazeti kurasa za ndani waishie front page tu.

Awamu ya tano ilikuwa ni serikali ya mashetani yalioongozwa na Lucifer mkuu Pombe waliotamani Tanzania tuishi kama North Korea.

Tunamshukuru mama sasa anaifunguwa nchi, hata hili naamini litafanyiwa kazi.
Kwani huyo Nape chini ya mama si alizifungulia hizo channel zilizokuwa zimetolewa fta na kuwa paid channels, imeakuwaje tena zinakuwa za kulipia? Au mama kaenda "ku-act movie" huku nyuma mnajifanyia mnavyotaka..
 
Ngoja niweke ile 8ft dish vizuri ili nisiteseke. Siku nikiwa sina hela na tune kwenye 8ft fta niendelee na maisha.

Hata hivyo nalipa kwa sababu ya cartoon kwa watoto. Otherwise huo mda hata sina, sijui lini nineangalia itv habari.
 
Halafu hawa MATAPELI ndo walitaka wapewe Haki za Kuonyesha Ligi Kuu Bara, wangetukomesha kwenye Vifurushi na Ligi yenyewe ingedorora maana wanachagua mechi za kuonyesha, akina Geita Gold na Mbeya Kwanza tungekuwa tunasikia majina ya akina Mpole redioni..... Premier League ya Kenya tu iliwashinda kui-promote iwe na mvuto kama AzamTV anavyohangaika huku.
 
Wewe matakoo, local channels Dstv wamezirudisha, kama hujui kitu tuliza wowowo lako chini au katafute basha mmu.
We ni Ku... nd... U.
Nimeongelea sababu ya kuondolewa local channels kipindi kile, now nafahamu kama zimerudishwa.

Soma uelewe ndio uanze kuhara.
 
Ni sahihi..ni biashara huria acha kulialia sukuma gang wewe
 
Back
Top Bottom