kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
Jenga hoja usiishie kutukana maana ligi ya matusi hutaiwezaakili hauna hata kidogo aiseee fikiri kabla ya kutenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jenga hoja usiishie kutukana maana ligi ya matusi hutaiwezaakili hauna hata kidogo aiseee fikiri kabla ya kutenda.
Sauti ya Waziri ni rahisi zaidi kusikilizwa kwenye mamlaka husika kuliko sauti ya mwananchi wa kawaida ndo maana mara nyingi watu either kwa kutumia majukwaa mbalimbali au katika nafasi za kawaida wanawashauri wananchi.Yaani kwa uelewa wako Nape ndo anatoa kibali cha kurusha matangazo ya mpira Bongo?
DSTV ni kampuni kubwa sana barani Afrika haiwezi kurusha ndondo hii ya Bongo ambayo bingwa wa ligi anapata milion 500Unafikiri mipira inarushwa tuu kama unavyorusha tako huku na huko.
Multichoice Tanzania haina hela kuishinda I
Unachekesha wewe. DSTV ipo Africa nzima huwezi linganisha na IPP ambayo hata Namtumbo tu hapo haipoMultichoice Tanzania haina hela kuishinda IPP unabisha?
Wewe jitambue acha ubishani wakijinga kampuni ya Multichoice inayomiliki hiyo DSTV yako ipo mataifa mengi tu.Unachekesha wewe. DSTV ipo Africa nzima huwezi linganisha na IPP ambayo hata Namtumbo tu hapo haipo
Haa haa[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]Mm nawashauri Dstv, hata ile channel ya matangazo (dish - 100) nayo waikate.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waache mazoea yakupenda vya rahisi kama huna pesa yakulipia mtu atulie mpaka apate.Unafikiri mipira inarushwa tuu kama unavyorusha tako huku na huko.
Duu!Multichoice Tanzania haina hela kuishinda IPP unabisha?
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni fool!Aliyeziondowa alikuwa Dr Mwakyembe, wewe wahi zamu ya kulinda kaburi Chato.
Yule Dr mpuuzi Mwakyembe alikata hadi redio station kusoma magazeti kurasa za ndani waishie front page tu.
Awamu ya tano ilikuwa ni serikali ya mashetani yalioongozwa na Lucifer mkuu Pombe waliotamani Tanzania tuishi kama North Korea.
Tunamshukuru mama sasa anaifunguwa nchi, hata hili naamini litafanyiwa kazi.
Unapanic nini sasa manka?Wewe matakoo, local channels Dstv wamezirudisha, kama hujui kitu tuliza wowowo lako chini au katafute basha mmu.
Unabisha?Duu!
DStv ni ya matajiri tu.Dstv wanashida gani mbona local channel wanazitoa si wamepewaa tamko wazirudishe.
Soon ntapiga chini hichi kingamuzi chao naona wanajeuri hawa.
#MaendeleoHayanaChama