Je, ni sahihi kwa mtoto mdogo kuona tupu za mzazi/wazazi wake?

Je, ni sahihi kwa mtoto mdogo kuona tupu za mzazi/wazazi wake?

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,001
Reaction score
1,430
Kwa mazingira yeyote je, ni sahihi kwa "mtoto mdogo" kuona tupu za wazazi wake?

Unaweza kuwa uko chumbani unavaa alafu mwanao mdogo akaingia chumbani, au unaweza kukaa bila nguo mbele ya mtoto wako mdogo?

Najua kila mtu ana ufafanuzi wake kuhusu mtoto, niseme chini ya miaka 5.
 
Mimi naona hii Kwa wamama na binti zao haina shida Sana na wala mtoto hashangai maumbile ya mama yake. Ila Sisi wa Baba na watoto wa jinsia yetu kuna kuwa na shida kidogo kulingana na maumbile yetu.

Mtoto wangu wa two years nilikuwa Ninaoga naye Ila alikuwa ananiangalia Sana dushe langu kama anaringanisha hivi.

Since by then sikuoga naye tena . Lakini mama yake alikuwa anaoga na dada zake mpaka wanafika miaka minne wala hawashangai chochote. Vidume huwa vinaudadisi Sana na hapo ndio wanapoanza kujenga dhana ya vibami wakati bado wadogo [emoji2]
 
Mimi naona hii Kwa wamama na binti zao haina shida Sana na wala mtoto hashangai maumbile ya mama yake. Ila Sisi wa Baba na watoto wa jinsia yetu kuna kuwa na shida kidogo kulingana na maumbile yetu.

Mtoto wangu wa two years nilikuwa Ninaoga naye Ila alikuwa ananiangalia Sana dushe langu kama anaringanisha hivi.

Since by then sikuoga naye tena . Lakini mama yake alikuwa anaoga na dada zake mpaka wanafika miaka minne wala hawashangai chochote. Vidume huwa vinaudadisi Sana na hapo ndio wanapoanza kujenga dhana ya vibami wakati bado wadogo [emoji2]
😂😂😂😂😂😂😂
 
Kwa mazingira yeyote, je ni sahihi kwa "mtoto mdogo" kuona uchi wa wazazi wake.

Unaweza kuwa uko chumbani unavaa alafu mwanao mdogo akaingia chumbani au unaweza kukaa uchi mbele ya mtoto wako mdogo.

Najua kila mtu ana 'definition' yake kuhusu mtoto, niseme chini ya miaka 5
Kwan kunashida kuona sehem uliyotokea🙃
 
Mimi naona hii Kwa wamama na binti zao haina shida Sana na wala mtoto hashangai maumbile ya mama yake. Ila Sisi wa Baba na watoto wa jinsia yetu kuna kuwa na shida kidogo kulingana na maumbile yetu.

Mtoto wangu wa two years nilikuwa Ninaoga naye Ila alikuwa ananiangalia Sana dushe langu kama anaringanisha hivi.

Since by then sikuoga naye tena . Lakini mama yake alikuwa anaoga na dada zake mpaka wanafika miaka minne wala hawashangai chochote. Vidume huwa vinaudadisi Sana na hapo ndio wanapoanza kujenga dhana ya vibami wakati bado wadogo [emoji2]
Hahahha Sasa Kama baba una kibamia jamani ataacha kushangaaa nimecheka kweli
 
Mimi naona hii Kwa wamama na binti zao haina shida Sana na wala mtoto hashangai maumbile ya mama yake. Ila Sisi wa Baba na watoto wa jinsia yetu kuna kuwa na shida kidogo kulingana na maumbile yetu.

Mtoto wangu wa two years nilikuwa Ninaoga naye Ila alikuwa ananiangalia Sana dushe langu kama anaringanisha hivi.

Since by then sikuoga naye tena . Lakini mama yake alikuwa anaoga na dada zake mpaka wanafika miaka minne wala hawashangai chochote. Vidume huwa vinaudadisi Sana na hapo ndio wanapoanza kujenga dhana ya vibami wakati bado wadogo [emoji2]
Yani wewe unahitaji maombi
 
Sio vizuri coz watoto na watu wazima tumetofautiana kimaumbile hata kama mashua ana yoo100 bado sio poa kabisa.

Watoto huanza udadisi wakati bado wadogo, leo utaoga nae wewe, kesho kaka yake ataoga nae, akilinganisha anaona mbna ya mshua na hii ni tofauti?? Mbona ya huyu/ya mshua ni kubwa, mbona mshua ana nywele halafu mimi na kaka hatuna.

Siku mko mnakula dogo analipuka na hilo lijiswali mbele ya wageni maana yeye anaona ni kawaida tu.

Kumchapa huwezi maana ni haki yake kujua, kumfokea huwezi inabidi umjibu ili asibaki na makandokando akilini. Utaishia kujichekesha na kusema ila junya ila junya mtundu sana wewe kye kye kye kye ila junya.
 
Mimi naona hii Kwa wamama na binti zao haina shida Sana na wala mtoto hashangai maumbile ya mama yake. Ila Sisi wa Baba na watoto wa jinsia yetu kuna kuwa na shida kidogo kulingana na maumbile yetu.

Mtoto wangu wa two years nilikuwa Ninaoga naye Ila alikuwa ananiangalia Sana dushe langu kama anaringanisha hivi.

Since by then sikuoga naye tena . Lakini mama yake alikuwa anaoga na dada zake mpaka wanafika miaka minne wala hawashangai chochote. Vidume huwa vinaudadisi Sana na hapo ndio wanapoanza kujenga dhana ya vibami wakati bado wadogo [emoji2]
...Ya Mama Iko 'Ndani' haichungulii Nje Kwa hiyo Mtoto wa Like haoni Cha kushangaa tofauti na Kidume ambaye hujiuliza Kwa Nini ya Baba no Kubwa na yake Ndogo !!!
 
Sio vizuri kabisa, ubongo wa mtoto ni msafi sasa utaanza kuchafukia hapo, ww fikiria ukikaa uchi kabisa hata paka lazima atapigwa na butwaa na kutumbua macho isiwe huyo mtt binadamu...watoto siku hizi wanakua mapema siku inakuja una wageni, mezani pale mtt anaweza kuropoka mf "Eti baba mbona siku ile ulivokuwa chumbani ulikuwa na mkia mweusi mrefu ka wa punda ila upo kwa mbele" kwa lafudhi ya kitoto lakini...au akiona vidudu vya wenzake atasema kuwa baba yangu iko kubwa kama kuliko baba yako...siyo vizuri kabisa, Kuna umri ukifika hata chumba mnamuamisha na asiingie tena bila hodi mnamfunza kabisa ili ajue Kuna adhabu asipopiga hodi....
 
Haifai mtoto aone uchi wa mzazi wake, mtoto akianza kupata fahamu na kutambua mambo hayo atengwe haraka awe na chumba chake kulingana na jinsia yake. Hata mama yake naye hatakiwi kukakaa uchi akiwa na watoto wake wa jinsia zote. Ni bora kulala na nguo ili mtoto asione kabisa uchi
 
Mmhh wtt wadadisi sana.

Anaweza kuingia chumbani ghafla baba yupo utupu, baba huona ageuke kumpa mgongo halafu ainame kuficha dushe lisionekane mara mtt anashangaa na kuuliza 'baba umejinyea'

Ila yt tisa mie kujiziba ziba mbele ya wtt siwezi awe mkubwa ama mdogo.

Sema wtt wenyewe wana uelewa ama hutoka room au hufumba macho [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom