Je, ni sahihi kwa mtoto mdogo kuona tupu za mzazi/wazazi wake?

Hahahahaha
 
Kuna mmama alikuwa analala na mwanae wa miaka 16... alafu litoto linaogaa chumbani kwa mama yake...!!
 
Hapana, inatakiwa iwe chini ya miaka miwili, kuanzia mitatu hata mkipiga shoo unamuona kabisa anamaindi, anaona kama mnagombana,

Mimi binti yangu alipokuwa na miaka miwili tu, mama yake akianza kulia na yeye anaanza kulia, nikaacha kupiga shoo mbele yake!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulijuaje kuwa walikuwa hawamshangai mama yao au ulikuwaga unawachungulia unapiga chabo
 
Sio jambo jema.. Maana katika umri wake bongo yake hunyonya kila kitu na huwezi jua atatafsiri nini na atakuja kuropoka nini mbele ya kadamnasi hasa wageni
 
Tuanze na wewe mwenyewe udogoni mwako uliingia master bedroom ya wazazi wako?ukaona
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373]
 
Kwa tuliowahi kuoga mtoni tureply wapi
 
Ushawahi kuziona nini mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…