Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #161
Sijasema watu wanatamani hayo maziwa, ila ni muhimu kufunika ili kuficha maumbile yaoMara nyingi ni vyema kujifunika na mtandio,japo watoto wengine wanakataa kufunikwa hasa kwenye joto.
Hamna mtu atatamani ziwa linalonyonyesha
Watu zaidi ya wawiliUnaposema mkusanyiko wa watu ni kuanzia watu wa ngapi?
Kufunika ndyo jambo la msingiWenye watoto wanajua kuwa mtoto anaweza kuhitaji kunyonya wakati wowote na mahali popote
kinachotakiwa hapo nikiwa tu na nguo ya kumfunika
Asipofunika kuna shida gani,mimi huwa najiweka kimtandio.Sijasema watu wanatamani hayo maziwa, ila ni muhimu kufunika ili kuficha maumbile yao
We ulishawahi kunyonyesha?Kufunika ndyo jambo la msingi
Kwani matiti ni uchi ?! Mbona wewe unatongoza hadharani, je ni sawa ?!View attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Kwanini wewe huwa unajiweka mtandio?Asipofunika kuna shida gani,mimi huwa najiweka kimtandio.
Mimi ni mwanaumeWe ulishawahi kunyonyesha?
Ushawahi kuniona nikitongoza hadharani?Kwani matiti ni uchi ?! Mbona wewe unatongoza hadharani, je ni sawa ?!
Mkuu mimi sina wivu ila ninajali na kuwapa heshima wanawake wote hasa wazazi.Siyo sahihi, ila na wewe mkuu punguza wivu kwa watoto ikibidi tafuta mke uoe.
Mtoto ana njaa amnyoyeshe wapiView attachment 3077317
Katika mwili wa mwananke kifua ni sehemu nyeti na haipaswi kuonwa na watu wengine zaidi ya mwenye mamlaka tu, yaani Mume.
Lakini tunaona baadhi ya wanawake wakinyonyesha watoto wao hadharani bila kuficha au kusitiri vifua vyao, mfano katika vyombo vya usafiri au sehemu zenye mikusanyiko ya watu.
Ni haki ya mtoto kupatiwa maziwa pale atakapo hitaji, lakini sidhani kama sababu hii ndyo inahalalisha mwanamke kutoa ziwa mahali popote.
Kwa walio na dini au wasio na dini wote wanafahamu kifua cha mwanamke ni sehemu nyeti na haipaswi kuonekana hovyo.
Je, ni sahihi kunyonyesha mahali popote kwa kisingizio cha kumpa mtoto haki yake?
Anyonyeshwe popote lakini Mama afunike kifua watu wasione maumbile yake.Mtoto ana njaa amnyoyeshe wapi
MmmmAnyonyeshwe popote lakini Mama afunike kifua watu wasione maumbile yake.
Sahihi kabisa,hilo ndilo jambo la muhimu.Ni chakula cha mtoto ila nashauri mama atafute namna nzuri ya kujisitiri kama kujifunika au kusogea pembeni ya kadamnasi
Kwenye Uzi wapi nimesema nimetamani kitu au mtu?Mzee umetaman nyonyo ya mtoto?
Sana,kujifunua funua dadharani sidhani kama ni nidhamu nzuri,ni utovu wa nidhamuSahihi kabisa,hilo ndilo jambo la muhimu.
Wewe unaweza ruhusu mke wako anyonyeshe mtoto na kuachia kifua wazi mbele ya wazazi wako?Mmmm
Na wanao ona ni sahihi wote hawana misingi ya heshima na nidhamu.Sana,kujifunua funua dadharani sidhani kama ni nidhamu nzuri,ni utovu wa nidhamu