Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Inategemea na misingi yenu ya kiimani na msingi wa kila mmoja kwenye swala la tendo kwa ujumla wake.Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
π π π π Kwani ukiombea Ni dhambiInategemea na misingi yenu ya kiimani na msingi wa kila mmoja kwenye swala la tendo kwa ujumla wake.
Binafsi naona ni kumchosha Mungu tu aisee, huo muda wa kusali kuombea shughuli ya kufanya ngono si heri uombee wagonjwa na wenye mahitaji.
How sirthis is pure madness
WhatS h I t
Sio dhambi lakini mimi naona kama kujichoresha hivi!π π π π Kwani ukiombea Ni dhambi
SawasawaKabla hujafanya chochote sali kwa imani yako, sio vibaya. Ukiomba kama Dr Hananja itapendeza zaidi.
π π π π πSio dhambi lakini mimi naona kama kujichoresha hivi!
ππππππππHapanaEh! Ukimaliza sala na nyege zote kwishney π€£π€£π€£ mie najilalia zangu tuu
Ila unaweza uka sali wewe kama mwenzako hana ushirikiano kwenye hilo.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Bc itabidi na kwenye maombi mseme yote mnayotaka kama n mrembo kupelekewa moyo vzr au vp, mnataka bao ngapi, mrembo akojoe au awe mkavu ili maombi yajibiwe vzrHalafu baada kumaliza hiyo misa ya kitandani mara jogoo anakataa kupanda mtungi