Je, ni sahihi kwa wanandoa kuanza tendo la ndoa kwa Sala?

Je, ni sahihi kwa wanandoa kuanza tendo la ndoa kwa Sala?

Ni sahihi kabisa! Kwa wanandoa (Mme mmoja na Mke mmoja) hilo ni Tendo takatifu kabisa.
Kwa namna ile ile mnavyoshukuru na kuombea chakula kabla ya kula,shukuru kwa ajili ya ndoa then omba kwa ajili ya tendo la ndoa!
Kwa kila jambo jema mshirikishe Mungu hasa pale mnapotaka mtoto!
Fundisho hili umelitoa wapi mkuu?Kwa maana Yesu hakuwahi kuwa na mke.
 
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Kwangu naona niupotevu wa muda kabisa kwa maana hata tusipoomba Mungu kashafanya yake kashawapa viungo kwahio nikama mnaombwa ruhusa ya kuvitumia
 
Alichouliza mdau ni kitu cha msingi Sana,Sala ni muhimu kwa kila Jambo,ila nadhani cha muhimu zaidi ni kujua lengo la hiyo Sala.

Wanandoa wengi hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa "holy bed" yaani ule usafi wa kiroho wa kitanda,Kuna vitu vingi vinafanywa na wanandoa vina najisi kitanda na ni machukizo matupu mbele za M- ngu,kwa hiyo Sala inakuepusha na vishawishi vya kishetani kwny namna ya ufanyaji wa hilo tendo takatifu.
 
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Tendo la ndoa sio unzinzi. Ni muhimu kusali kabla ni moja ya maandalizi. Mungu hachoshwi na alichokiumba na kiuhalisia Mungu ni mwingi wa rehema (baraka) mwenye kurehemu (kuzitoa).

Moja ya matokeo ya tendo la ndoa ni kupata mtoto, kuna ubaya gani kuombea kheri juu yake.?
 

DUA YA KUMWINGILIA MKEWE TENDO LA NDOA​



Mume anapotaka kumuingilia mkewe, inampasa daima aseme:

بِسْمِ الله اللّهُـمَّ جَنِّبْنا الشَّيْـطانَ، وَجَنِّبِ الشَّـيْطانَ ما رَزَقْـتَنا

"Bismillahi, Allaahuuma Jannibnaa-sh-Shaytwaan, Wa Jannibish-Shaytwaana Maa Razaqtanaa"

"Kwa jina la Allaah, Ee Allaah Tuepushe na Shaytwaan, na Muepushe shaytwaan na Ulichoturuzuku (yaani kizazi)."

Mtume صلى الله عليه وآله وسلم amesema kuhusu hili:

((فإن قضى الله بينما ولداً؛ لم يضره الشيطان أبداً))

"Baada ya hapo Allaah سبحانه وتعالى Akijaalia, watapata mtoto ambaye Shaytwaan hatoweza kumdhuru abadan"

Inahitajika mapenzi na huruma katika ndoa.

Inshaallah

Na Allah ndo mjuzi zaid
 
Alichouliza mdau ni kitu cha msingi Sana,Sala ni muhimu kwa kila Jambo,ila nadhani cha muhimu zaidi ni kujua lengo la hiyo Sala.

Wanandoa wengi hawajui kuwa kuna kitu kinaitwa "holy bed" yaani ule usafi wa kiroho wa kitanda,Kuna vitu vingi vinafanywa na wanandoa vina najisi kitanda na ni machukizo matupu mbele za M- ngu,kwa hiyo Sala inakuepusha na vishawishi vya kishetani kwny namna ya ufanyaji wa hilo tendo takatifu.
Nakubaliana Na wewe that's why biblia imesema Na malazi yawe safi
 
Tendo la ndoa sio unzinzi. Ni muhimu kusali kabla ni moja ya maandalizi. Mungu hachoshwi na alichokiumba na kiuhalisia Mungu ni mwingi wa rehema (baraka) mwenye kurehemu (kuzitoa).

Moja ya matokeo ya tendo la ndoa ni kupata mtoto, kuna ubaya gani kuombea kheri juu yake.?
Eti jamanii Kuna wale ambao Kwa mkewe hasimami hamuoni kama ukitanguliza Sala hatakama kulikua Na ubaya wowote unaondoka show inakua show
 
Back
Top Bottom