Hapana wapi bwana ndio ukweli kwanza genye zikipanda mawazo hayo yanatoka wapi kusali๐๐๐๐๐๐๐๐Hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana wapi bwana ndio ukweli kwanza genye zikipanda mawazo hayo yanatoka wapi kusali๐๐๐๐๐๐๐๐Hapana
Wasisahau na nguvu za kiume na kusimamia ukuchaBc itabidi na kwenye maombi mseme yote mnayotaka kama n mrembo kupelekewa moyo vzr au vp, mnataka bao ngapi, mrembo akojoe au awe mkavu ili maombi yajibiwe vzr
Kabisa, inabidi wawe specific kwenye hiyo salaWasisahau na nguvu za kiume na kusimamia ukucha
Inabidi mshirikianee Na tendon lisiwe safiIla unaweza uka sali wewe kama mwenzako hana ushirikiano kwenye hilo.
Ujue tunaanza kufanya mapenzi nje ya mfumo, halafu tunahukumiwa na dhamiri, kisha hio inakuwa hata kama upo na mwenzi wako unao ni yale yele tu, una fanya matusi kisha uombe Mungu!!!
๐ ๐ ๐ Hapanaaa nimekutana Na shuhuda za watu kama 3 wanasema Sala Ni Zaidi YA mkongoHalafu baada kumaliza hiyo misa ya kitandani mara jogoo anakataa kupanda mtungi
Ila ukijicommitt Kwa prayers Mkuu the more you pray unakua addicted to pray huchokii๐ ๐ ๐kwa hiyo kama watu wamefanya wakati wa kulala asubuhi napo morning glory mnaomba tena.
Lazima muwe walokole sana.
Kwa zile familia kabla ya kulala mnasali asubuhi mkiamka mnasali wakati wa kuanza tendo mnasali, wakati wa kula mnasali ukienda kwenye kazi zako unasali ukimaliza kazi unasali.
Hapo lazima uende huko wanaposema mbinguni.
Kwa mtazamo wangu naona ni sahihi ila ni ngumu kutekeleza kila siku na kila mara kiuhalisia in real life situation.
Ofcourse Mwanaume anaomba Nguvu nimeona shuhuda moja mwanaume aliomba Nguvu Kwa Roho mtakatifu anakwambia alipata nguvu za ajabu mechii ilikwenda sawiaWasisahau na nguvu za kiume na kusimamia ukucha
Waelewe Ni Kwa wanandoa tuuu๐Kwa waislam tendo la ndoa ni ibada .. na kuna dua maalum .. (tendo la ndoa na sio uzinzi)
Not only pure madness but also purest madness,too much complications to nonsence issuesthis is pure madness
ni sahihi sanaHello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Yesu hakuwahi kuwa na mke, unafikiri jibu utalipata kwa nani?Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.