Je, ni sahihi kwa wanandoa kuanza tendo la ndoa kwa Sala?

Je, ni sahihi kwa wanandoa kuanza tendo la ndoa kwa Sala?

Smart911 huo muda wa kuwaza Sala sasa😁😁😊😊😊!

Si mnakua mshasali Usiku wakati wa kulala na asubuhi mvoamka jamani kha
. Noumaaa nanusuuuu

Cc Smart911
Hii Ni kama kuombea chakula au unavotoka asubuhi kuelekea kwenye sehem YA riziki yako unasali jioni unavokua unatoka kurudi nyumban unasali pia
 
Mafundisho ya dini yangu yanasema hivyo brother, ni jambo zuri sana.
 
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Ndoa halali ya kanisani, ndio sio uasherati na zinaa
 
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Umhh hii hapana aisee maana Kuna ambao wakinogewa wanatukana ,Sasa kama mlianza na pambio afu badae unatukana sio poa sana
 
Hello wakuu,
Greetings,
Kama kichwa kinavojieleza Niko kujifunza na Kwa faida ya wengine pia...naombeni kufahamishwa kama ni sahihi kuombea tendo kabla hamjaanza....Na shuhuda Kwa ambao walishawahi omba
Nawakaribisha.
Na hata ukimaliza Kubanduliwa usisahau pia Kusali kwani Wabanduaji wa Kweli katika Nyakati hizi tuko Wachache sana.
 
Back
Top Bottom