mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
no conviction😃[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ila me sichepuki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
no conviction😃[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ila me sichepuki
no conviction[emoji2]
but "may be" kuchepuka ni namna flani ya kwenda kuongeza ujuzi 🙄, capacity building 😃[emoji28][emoji28][emoji28]na hata nikiolewa sitachepuka ila ntaacha kuita boss
majanamake.... dah 😁Ngoja ni nifuatilie mkuu. Wasiri sana haya maajianamake
Mm Kuna mmoja jirani kabisa na kwangu na mlaga Hadi nyuma ya nyumba yake nae ananiita boss, akitumia sms utasikia "niambie Boss"Kuna watu watakuambia Ukimchunguza bata ...sijui ,mwanamke achungwi...
Sawa..ni heri mwanamke ALIWE hukohuko anakokua ,LAKINI NDANI YA NYUMBA YAKO ANAHESHIMU .
Na ili aheshim ni lazima UWE MKOLONI NDANI KWAKO YAAN UWE MKOLONI KWELIKWELI.
Hawa wanawake ukiwalegezea wanakaza na wakikaza hautaamini kuna siku ataomba msamaha kwa kuchelewa kupeleka Papa mbele yako .
Nirudi kwa Mada yake....Je ni sahihi ???.
Sio sahihi, alafu kana mke kako ni vile vyanamke vyenye nyege mdundo vile vinavyojishobokesha kwa Wanaume .
Kuna watakuambia...Mwanaume Jiamini, ohooo wee mwanaume ni Insecure !!!...
Amini nakuambia, Ndivo wanavyochati na kuongea na michepuko yao ivoivo
CHAKUFANYA ????.
Njia ya MTU muongo na msaliti huwa ni fupi mnooo kama maisha ya nzi.
Wewe tulia tu, unaweza ingia kwenye Call setting yake, ukaset simu zake zote anazoongea ziwe zinajirekodi .
SEMA NN, UKIAMUA KUFATILIA , HAKIKISHA UNA MOYO WA CHUMA, AU HUMPENDI KWAMBA UNAWEZA MUACHA ,LKN KAMA UNAJIJUA UNAMPENDA HATA UKIMFUMA HUWEZ MUACHA ,USIFATILIE,......
nimeyasema hayo kwa sababu siku hizi mwanamke kua na mchepuko/michepuko , tena mademu hawa wasokua na hofu na Mungu, ni kawaidaaaa. Kwanza asipokua naye, anaonekana ni mshambaa ,wa Dunia ya wapi sijui...
Niivi saizi mwanamke yaan kua na washikaji zaidi ya mumewe ,ni utamaduni.
mbona mnataka kumuua mwenzenu na mwaka ndio umeanza huu......Me namuitaga baby wangu boss wangu nikiwa naongea nae kwa simu haswa nikiwa na mtu ambae sitaki ajue naongea na nani[emoji28][emoji28][emoji28]
Ila mkeo as long as amekwambianni boss wake basi ni boss wake [emoji28][emoji28]
but "may be" kuchepuka ni namna flani ya kwenda kuongeza ujuzi [emoji849], capacity building [emoji2]
mbona mnataka kumuua mwenzenu na mwaka ndio umeanza huu......
Nyama ileile, mapishi tofauti na ladha nayo ni tofautiSio kweli
Kuepuka haya, wanaume tutafute pesa ili tuwafungulie wake zetu miradi wasimamie.Akiwa kwako na nje ya muda wa Kaz huyo boss hakutakiwa kumgombeza mkeo Kwan yupo chin ya himaya yako
Akiwa ofisn sawa au ndan ya muda wa Kaz Hilo halina. Shida
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nyama ileile, mapishi tofauti na ladha nayo ni tofauti
labda..!Nyama inaweza kuwa ileile kila siku, mpishi akawa yule yule kila siku,akaipika tofauti kila siku na ladha ikawa ya tofauti vilevile
labda..!
Basi kuna watu wanafaidi pekee yao[emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kumbe wapo wengi.Me namuitaga baby wangu boss wangu nikiwa naongea nae kwa simu haswa nikiwa na mtu ambae sitaki ajue naongea na nani[emoji28][emoji28][emoji28]
Ila mkeo as long as amekwambianni boss wake basi ni boss wake [emoji28][emoji28]
Apokee kwan cm yake? [emoji23][emoji23][emoji23]Ungeipokea ili ujue kama kweli ni boss wake...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii kumbe wapo wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23] utasikia "boss kubwa"[emoji23][emoji23][emoji23]Na we unafanyaga hivyo