American nigga
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 673
- 974
Mzee mimi nimeshagongewa kimasihara zaidi ya hivyo, Kwa experince yangu hao tayari wanatiana ndo maana wife hajasave no ya huo mchepuko wake ili likitokea la kutokea ionyeshe hata kwenye simu yake no hana. Ila adabu ambao mkeo anamuonyesha huyo jibaba ni wazi jamaa linakula mzigo vizuri sana ila pia kwenye mambo ya financial Jamaa liko vizuri huwa linampooza mkeo anapokuwa hana hela. Haiwezekani awe mkali kwa mkeo kana kwamba yeye ndo kaoa mkeo.
Usidanganywe na wachangiaji hapa watakaokwambia hakuna shida hapo. Mimi naona kuna shida 100% kama huamini fanya upelelezi utaniambia.
Kama Unataka kufix tatizo fasta mfuate huyo nyau kamchimbe bonge la mkwara, kwa kuhofia kurogwa au kupakwa mafuta linaweza likamuacha mumeo.
Usidanganywe na wachangiaji hapa watakaokwambia hakuna shida hapo. Mimi naona kuna shida 100% kama huamini fanya upelelezi utaniambia.
Kama Unataka kufix tatizo fasta mfuate huyo nyau kamchimbe bonge la mkwara, kwa kuhofia kurogwa au kupakwa mafuta linaweza likamuacha mumeo.