Je, ni sahihi Mwamposa kuimba wimbo wa taifa kanisani kwake?

Unaweza imbwa kokote kule muhimu ni kufuata taratibu hasa kutulia wakati unaimbwa,
 
Hapa n wimbo tu kaimba unatokwa povu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],akichambia hyo benderaaa SI utatokwa damuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwache mtume aendele kuwaburuza watu wake usimwaribie ulaji wakee bhanaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa n wimbo tu kaimba unatokwa povu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],akichambia hyo benderaaa SI utatokwa damuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Mwache mtume aendele kuwaburuza watu wake usimwaribie ulaji wakee bhanaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijamzuia kuwakanua misukule wake lakini akome kuchezea wimbo wa taifa
 
🤣🤣🤣labda mtumeeh wenu anakaribia kupewa uenezi,manake Jimbo liko wazi,anapractice protocal
 
Uko sahihi wimbo wa taifa unaimbwa ktk matukio muhimu tu ya kiserikal pia ktk taasisi kama shule chuo na kadhalika
 
Bongo zozo ulishawahi kumuona anapeperusha bendera ya taifa akiwa nyumbn kwake tu bali huwa anafanya hivyo kama kuna tukio la kitaifa kama vile timu ya taifa inacheza
 
🤣🤣🤣labda mtumeeh wenu anakaribia kupewa uenezi,manake Jimbo liko wazi,anapractice protocal
Yawezekana kabisa; sio kwa utetezi huo wanaomtetea. Yaani mtu anachezea alama ya taifa badala akemewe, misukule yake inakuja hapa kumpa bichwa? Inaudhi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…