Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,026
- 5,299
Wimbo wa taifa kwa namna nyingine ni kama sala(maombi) kwa taifa, tena ilibidi uimbwe kila asubuhi na raia wote. Ndo maana kwa zamani mashuleni ilikuwa kila asubuhi unaimbwa, sijui kwa sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa suguye ?Ni sahihi
Makanisa .mengi tu wanaimba hata kule kwenu Matembele ya 2
Thubuuuutu! We usiwahadae wenzako halafu leo-leo wakajikuta pabaya na pengine hiyo bar na mmiliki wake wakapigwa BAN.Wimbo wetu wa Taifa siyo TUNU ya Taifa. Hatuna hatimiliki yake. Wenye hati miliki nayo wenye wimbo wao Afrika ya Kusini. Hivyo, unaweza kuupiga hata Bar na kwenye Disco.

Mkuu unajua nembo ta TaifaTatizo wimbo wa taifa ni nembo ya taifa. Haupaswi kuimbwa kama singeli au bongofleva na una unaimbwa kwenye matukio mbalimbali sio kila mahali na kila wakati. Umeelewa mkuu?
Mkuu, hiyo Ni special kama ilivyo kwa sala nyingine i.e. unamtanguliza Mungu katika shughuli zako. e.g. Shule za msingi nyingi hapa Tz, huianza siku kwa kuimba wimbo huo kila siku asubuhi kabla ya kuingia madarasani kuanza masomo.Hata ww unaweza nyumbani kwako asubhi kabla ya kwenda job.
Hiyo ni kama sala tu yakuombea nchi nothing special

Sijui kama ipo sheria inayoelekeza matumizi ya wimbo wa taifa.Leo nimemsikia kwa masikio yangu mawili mtume Mwamposa akiimna wimbo wa taifa kanisani kwake Kawe, jijini Dar es Salaam.
Tukumbuke wimbo wa taifa ni moja ya nembo na alama za taifa. Wimbo huu unaimbwa nyakati maalumu, kwa mfano kabla ya Rais kulihutubia taifa na wakati timu ya taifa inawakilisha nchi kwenye michuano ya kima
taifa.
Sasa Mwamposa yeye ni nani hadi adhalilishe wimbo wa taifa mbele ya waumini wake? Je, yeye ni Rais au anataka kumpindua Rais aichukue hii nchi?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua. Kama tukiendelea kuacha nembo za taifa kuchezewa, ipo siku Mwamposa na misukule yake watachambia benders ya taifa. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwadhibiti wahuni wanaochezea nembo za taifa. Kama BoT imechukua batua kulinda udhalilishaji wa noti, serikali ya mama Samia inashindwa nini kiwadhibiti wahuni hawa wanaodharaulisha wimbo wa taifa?
MAONI YANGU
Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake. Hakuna haja ya kuogopa kumuadhibu Mwamposa kwa kisingizio cha kuwakasirisha wapiga kura. Nafahamu kwamba misukule wa Mwamposa ndiyo wapiga kura wakubwa wa CCM Lakini lazima serikali ichukue hatua kukomesha uhuni huu. Ukimchekea mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini.
Nawasilisha.
Mwamposa kalamba sadaka yake ya Kujimaliza.Wewe ndio tatizo, how comes unamfuatilia Mwaposa

Ndio maana nimekwambiaWewe ulikuwa unamsikiliza ukiwa kama nan!?
Hoja ya misukule iliingiaje!?
Mkuu kuimba wimbo wa taifa ukiwa shuleni sio tatizo kwa kuwa ni mahali sahihi naunaimbwa kwa kufuata utaraibu uliowekwa. Mtu huwezi kwenda kuimba wimbo wa taifa kanisani kwenye mapambio kwani huu si wimbo wa singeli bali ni mojawapo ya nembo za taifa. Umenielewa?Mbona tumeuimba sana tukiwa mashuleni huko??
Kwani kanisani kwa Mwamposa waliimba ovyo ovyo? Umetumia vigezo gani na kuona wameimba ovyo ovyo?Kwani wimbo huo unaimbwa ovyo ovyo na kila mtanzania? Unapaswa urudi shule ukasome vizuri somo la uraia.
Mkuu TPaul inaonyesha umepata fursa ya kuyatoa machungu yaliyokujaa moyoni mwako dhidi ya mtumishi Mwamposa kupitia kuimba kwake wimbo wa taifa akiwa ibadani. Ndiyo! Wimbo wa taifa ni mojawapo ya nembo za taifa, lakini huweza kuimbwa kwa heshima mahali popote pale kuendana na mazingira ya wakati huo yanavyohitaji matumizi yake.Leo nimemsikia kwa masikio yangu mawili mtume Mwamposa akiimna wimbo wa taifa kanisani kwake Kawe, jijini Dar es Salaam.
Tukumbuke wimbo wa taifa ni moja ya nembo na alama za taifa. Wimbo huu unaimbwa nyakati maalumu, kwa mfano kabla ya Rais kulihutubia taifa na wakati timu ya taifa inawakilisha nchi kwenye michuano ya kima
taifa.
Sasa Mwamposa yeye ni nani hadi adhalilishe wimbo wa taifa mbele ya waumini wake? Je, yeye ni Rais au anataka kumpindua Rais aichukue hii nchi?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua. Kama tukiendelea kuacha nembo za taifa kuchezewa, ipo siku Mwamposa na misukule yake watachambia benders ya taifa. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwadhibiti wahuni wanaochezea nembo za taifa. Kama BoT imechukua batua kulinda udhalilishaji wa noti, serikali ya mama Samia inashindwa nini kiwadhibiti wahuni hawa wanaodharaulisha wimbo wa taifa?
MAONI YANGU
Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake. Hakuna haja ya kuogopa kumuadhibu Mwamposa kwa kisingizio cha kuwakasirisha wapiga kura. Nafahamu kwamba misukule wa Mwamposa ndiyo wapiga kura wakubwa wa CCM Lakini lazima serikali ichukue hatua kukomesha uhuni huu. Ukimchekea mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini.
Nawasilisha.
Kwahiyo umenipinga au umekubaliana nami?!Mkuu, hiyo Ni special kama ilivyo kwa sala nyingine i.e. unamtanguliza Mungu katika shughuli zako. e.g. Shule za msingi nyingi hapa Tz, huianza siku kwa kuimba wimbo huo kila siku asubuhi kabla ya kuingia madarasani kuanza masomo.![]()
Mkuu! umesema misukule yake? Na umeemdelea kuwa na amani moyoni mwako?Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake.
Sio kweli. Tena ujue kwamba Wimbo wa Taifa sio nembo ya Taifa. wewe Huionagi nembo ya Taifa kwenye Barua au Nyaraka zote rasmi za Kiserikali?Nyie mnaona ni sahihi mtume wenu kudhalilisha nembo ya taifa? Imba wimbo wa taifa hadharani kama hujakamatwa na kutiwa ndani.
Sijui kajuaje-msukuleWewe ndio tatizo, how comes unamfuatilia Mwaposa
Acha mawazo mfu hayo,yaani hii police state umekutia woga mkubwa sanaTatizo wimbo wa taifa ni nembo ya taifa. Haupaswi kuimbwa kama singeli au bongofleva na una unaimbwa kwenye matukio mbalimbali sio kila mahali na kila wakati. Umeelewa mkuu?
Wewe umeandika "nothing special" nami nimekuonesha kwamba hiyo ni special. Kwa mantiki hiyo NAKUBALIANA NA wewe.Kwahiyo umenipinga au umekubaliana nami?!
We bhana, si umeulizwa hapo juu kwamba je, unaifahamu nembo ya Taifa? Ww Ukapiga kimya.Ndio maana nimekwambia
Mkuu kuimba wimbo wa taifa ukiwa shuleni sio tatizo kwa kuwa ni mahali sahihi naunaimbwa kwa kufuata utaraibu uliowekwa. Mtu huwezi kwenda kuimba wimbo wa taifa kanisani kwenye mapambio kwani huu si wimbo wa singeli bali ni mojawapo ya nembo za taifa. Umenielewa?