mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 83,441
- 431,885
Mkuu nimekuuliza maswali hapo juu ujanijibu wimbo wa Taifa ni nini na tunu za Taifa ni niniSawa. Kaimbe mahali popote kama hujaminywa hizo pu.mbu halafu uje hapa kulialia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimekuuliza maswali hapo juu ujanijibu wimbo wa Taifa ni nini na tunu za Taifa ni niniSawa. Kaimbe mahali popote kama hujaminywa hizo pu.mbu halafu uje hapa kulialia
Wimbo wa taifa ni moja ya nembo na tunu za taifa. Haupaswi kufanyiwa dhihaka wala kubezwa na mtu yeyote yule. Ndio maana wimbo ukiwa unaimbwa mtu unapaswa kuwa mtulivu. Sasa kitendo cha Mwamposa kudhihaki wimbk wa taifa wewe unaona sawa tu?Mkuu nimekuuliza maswali hapo juu ujanijibu wimbo wa Taifa ni nini na tunu za Taifa ni nini
Umeandika kwa chuki na lugha chafu ,na ww nenda ukaimbe na magaidi wenzioLeo nimemsikia kwa masikio yangu mawili mtume Mwamposa akiimba wimbo wa taifa kanisani kwake Kawe, jijini Dar es Salaam.
Tukumbuke wimbo wa taifa ni moja ya nembo na alama za taifa. Wimbo huu unaimbwa nyakati maalumu, kwa mfano kabla ya Rais kulihutubia taifa na wakati timu ya taifa inawakilisha nchi kwenye michuano ya kima
taifa.
Sasa Mwamposa yeye ni nani hadi adhalilishe wimbo wa taifa mbele ya waumini wake? Je, yeye ni Rais au anataka kumpindua Rais aichukue hii nchi?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua. Kama tukiendelea kuacha nembo za taifa kuchezewa, ipo siku Mwamposa na misukule yake watachambia benders ya taifa. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwadhibiti wahuni wanaochezea nembo za taifa. Kama BoT imechukua batua kulinda udhalilishaji wa noti, serikali ya mama Samia inashindwa nini kiwadhibiti wahuni hawa wanaodharaulisha wimbo wa taifa?
MAONI YANGU
Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake. Hakuna haja ya kuogopa kumuadhibu Mwamposa kwa kisingizio cha kuwakasirisha wapiga kura. Nafahamu kwamba misukule wa Mwamposa ndiyo wapiga kura wakubwa wa CCM Lakini lazima serikali ichukue hatua kukomesha uhuni huu. Ukimchekea mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini.
Nawasilisha.
shida ni kwamba unaweka hisia binafsi na namna dini/dhehebu lako inafanyaKwa hiyo wimbo wa taifa kutumiwa kama pambio kanisani wewe unaona sawa tu? Acha dharau mkuu.
nyimbo ya taifa tunaimba Bar huku tunakunywa na kucheza itakuwa kanisani?Yaani watu wanaimba wimbo wa taifa huku wakicheza kanisani wrwe unaona sawa tu? Yakhe huna khaya?
Leo nimemsikia kwa masikio yangu mawili mtume Mwamposa akiimba wimbo wa taifa kanisani kwake Kawe, jijini Dar es Salaam.
Tukumbuke wimbo wa taifa ni moja ya nembo na alama za taifa. Wimbo huu unaimbwa nyakati maalumu, kwa mfano kabla ya Rais kulihutubia taifa na wakati timu ya taifa inawakilisha nchi kwenye michuano ya kima
taifa.
Sasa Mwamposa yeye ni nani hadi adhalilishe wimbo wa taifa mbele ya waumini wake? Je, yeye ni Rais au anataka kumpindua Rais aichukue hii nchi?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua. Kama tukiendelea kuacha nembo za taifa kuchezewa, ipo siku Mwamposa na misukule yake watachambia benders ya taifa. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwadhibiti wahuni wanaochezea nembo za taifa. Kama BoT imechukua batua kulinda udhalilishaji wa noti, serikali ya mama Samia inashindwa nini kiwadhibiti wahuni hawa wanaodharaulisha wimbo wa taifa?
MAONI YANGU
Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake. Hakuna haja ya kuogopa kumuadhibu Mwamposa kwa kisingizio cha kuwakasirisha wapiga kura. Nafahamu kwamba misukule wa Mwamposa ndiyo wapiga kura wakubwa wa CCM Lakini lazima serikali ichukue hatua kukomesha uhuni huu. Ukimchekea mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini.
Nawasilisha.
Majini yako yana hasira na Mwamposa, unafananishaje kuimba wimbo wa taifa na kuchambia bendera ya taifa? Kati ya Mwamposa na wewe nani anadhalilisha tunu za Taifa?Leo nimemsikia kwa masikio yangu mawili mtume Mwamposa akiimba wimbo wa taifa kanisani kwake Kawe, jijini Dar es Salaam.
Tukumbuke wimbo wa taifa ni moja ya nembo na alama za taifa. Wimbo huu unaimbwa nyakati maalumu, kwa mfano kabla ya Rais kulihutubia taifa na wakati timu ya taifa inawakilisha nchi kwenye michuano ya kima
taifa.
Sasa Mwamposa yeye ni nani hadi adhalilishe wimbo wa taifa mbele ya waumini wake? Je, yeye ni Rais au anataka kumpindua Rais aichukue hii nchi?
Mficha ugonjwa kifo humuumbua. Kama tukiendelea kuacha nembo za taifa kuchezewa, ipo siku Mwamposa na misukule yake watachambia benders ya taifa. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwadhibiti wahuni wanaochezea nembo za taifa. Kama BoT imechukua batua kulinda udhalilishaji wa noti, serikali ya mama Samia inashindwa nini kiwadhibiti wahuni hawa wanaodharaulisha wimbo wa taifa?
MAONI YANGU
Rais anawakilisha nchi na timu ya taifa inawakilisha nchi. Mwamposa anawakilisha tumbo lake. Serikali inapaswa kumchukulia hatua huyu bwana kwa dharau aliyoionyesha kusigina wimbo wa taifa mbele ya misukule yake. Hakuna haja ya kuogopa kumuadhibu Mwamposa kwa kisingizio cha kuwakasirisha wapiga kura. Nafahamu kwamba misukule wa Mwamposa ndiyo wapiga kura wakubwa wa CCM Lakini lazima serikali ichukue hatua kukomesha uhuni huu. Ukimchekea mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini.
Nawasilisha.
Sasa usije ukawa unautumia vibaya huko bafuni!Tena mimi nikiwa naoga ndio huwa unanijia sana huu wimbo.
Huwa mnaimba bila kujua.Naomba nijifunze bro, lengo la kuimba Wimbo wa Taifa Makanisani ni nini?
Kwa miaka yangu yote ya kuwepo Duniani na kutumika kwangu Kanisani kama mwandani(Inner Circle) sijawahi kuona tukiimba "Wimbo wa Taifa"
Acha kuwa na ufinyu wa kufikiri, Mwamposa anawaambia waumini simameni tuimbe wimbo wa Taifa, Sasa dhihaka iko wapi?Wimbo wa taifa ni moja ya nembo na tunu za taifa. Haupaswi kufanyiwa dhihaka wala kubezwa na mtu yeyote yule. Ndio maana wimbo ukiwa unaimbwa mtu unapaswa kuwa mtulivu. Sasa kitendo cha Mwamposa kudhihaki wimbk wa taifa wewe unaona sawa tu?
Wimbo wa taifa umeimbwa kama PAMBIO kanisani. Hilo ni sawa?shida ni kwamba unaweka hisia binafsi na namna dini/dhehebu lako inafanya
mimi siamini kwenye Mungu
ila naamini kwenye kumfanyia mwenzako vile wewe ungependa kufanyiwa
yeye kaimba kanisani kwake,walioimba hajawalazimisha ni free will sasa mkuu ni nini hapo kinachokukwaza kama si personal feelings?
Umeshindwa kujibu maswali yangu?Wimbo wa taifa unaimbwa mahali gani na unaimbwaje mkuu?